Hizi Harrier 3rd gen zilivyojazana hapa mjini utasema haziuzwi Mil 70+

Hizi Harrier 3rd gen zilivyojazana hapa mjini utasema haziuzwi Mil 70+

Hizo mashine za diagnosis zipo zinazoweza kurudisha hizo mileage nyuma za gari ila ni risk sana maana ni mambo ya kuvuruga control box maana Watanzania wengi wametoka kwenye kuuliza namba gari na zinazotoka Nje ya Nchi wanauliza hiyo mileage na si mwaka wa gari...kwa hiyo wahuni wanacheza na akili zao..
Hii changamoto ya kurudisha mileage unaweza kui-outsmart vipi mkuu?, maana mwakani hapo na mimi nataka nijichukulie angalao kitoyota allex
 
Maisha ya DUNIANI banaaaa!!!! Wengine wanatamani gari yako na wewe unatamani magari ya wengine..
Hapa DAR unaweza kufa Kwa presha hasa ukiwa barabarani maana kuna watu wanasukuma ndinga za hatari sana
Mkuu kwa barabarani mimi amani ya moyo huwa napata nikiwa mkoani. mkoani inabidi uwe na gari yoyote tu ila kwa dar unajihisi mnyonge kwa gari zetu za 15M hizi maana kuna watu wanaendesha michuma ni laana.
 
Mkuu kwa barabarani mimi amani ya moyo huwa napata nikiwa mkoani. mkoani inabidi uwe na gari yoyote tu ila kwa dar unajihisi mnyonge kwa gari zetu za 15M hizi maana kuna watu wanaendesha michuma ni laana.
Daaa aisee uko sahihi kabisa. Mi mwanangu tumesoma wote sekondari na chuo sasa yeye ni mbunge yaani mashine anayoendesha ni balaaa. Kuna watu huku duniani wanatamani wale maisha milele.
 
Mimi ndoto zakuwa tajiri naona zimepotea maana umri unakimbia sana hata baskeli Sina, licha ya kipato changu kufikia 5Mil kwa mwezi lkn ndoto at least za kupata mil 30 kwa mwezi zinaniishia.

Wenzetu wanawezaje kununua gari za mil 100 au 80 cash. Mambo ya mikopo ya sitaki kuyasikia.

Tupen code wakuu.
Duuuh 5 milion per month..
Huu uchumi mzuri sana
 
Kma unanunulia Bongo - Ndio unaweza kupigwa. Kama unaagiza moja kwa moja Japan, Hakuna huo ujnga.
Mimi nimenunua magari Hong Kong,Japan na SA kwa kwenda mwenyewe nachozungumza sio kwamba nasimuliwa pana ujanja mwingi upo kwenye magari mazee ila sio makampuni mengi yanafanya huo ujinga na pia wanaangalia soko lao linataka nini kama ni Mileage wanashusha tu.
 
Sahivi Harrier tako la nyani namba E za kutafuta, kuna hizi 3rd gen za kuanzia 2013 kuja juu.

View attachment 3160153
Chuma naziona aisee kibao utasema zinauzwa bei za CX5 kumbe unapata CX5 mbili hapo.
View attachment 3160155

Mfano cheapest unaweza ipata BF hizi hapa, mil 30 kasoro.
View attachment 3160156

Sasa ukija na ushuru wa TRA ndio utajua haujui
View attachment 3160158
Ila wajomba wanazo kibao namba E kila ukitoka lazima upishane nazo.
Hizi chuma hata huku Mkoani kwetu nimeanza kuziona ona! Nadhani sasa tako la nyani litaanza kushuka kwa kasi..
 
mimi sina maisha kiiivoo wala nini, lakin hizo harrier 3rd gen wala hazivutii, bora hata mdogo ake 2nd gen matak* ya nyani iko vizuri.
lakini gari bora za nyota5 kwa Africa zitabaki zile zile;- ambazo ni
*Mercede$e BENZ
*Range Rover
*BMW
*VW
*JEEP
#CHANANJA motors.
Hapo kwa lugha nyepesi wewe ni anti-japanese
 
Back
Top Bottom