mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Usikate tamaa mkuu kama umeajiriwa chukua mkopo kama umejiajiri save kwa mwaka mmojaMkuu Kuna Hilux mpya ya mil 30?. Ndio nayohitaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikate tamaa mkuu kama umeajiriwa chukua mkopo kama umejiajiri save kwa mwaka mmojaMkuu Kuna Hilux mpya ya mil 30?. Ndio nayohitaji.
Naomba mualiko wa huko kijijini na mimi ningependa kuwa tajiri kama nyieKama una moyo wa Siri ,njoo huku kijijini kwetu nitakuambia kila kitu ,mwaka Mimi na wewe tunachekelea kikubwa ujue lazima huo utajiri unishirikishe na Mimi .
Note :sio Mambo ya uganga ila kuiba Kama Wana siasa
🤣Ningekuwa nishatajirika kama laiti ningeuweza huo uchawaMkuu kuwa chawa ni kapaji na hicho kipaji namshukuru Mungu hajanijalia. Mkuu wewe unaweza kuwa chawa?.
Hii changamoto ya kurudisha mileage unaweza kui-outsmart vipi mkuu?, maana mwakani hapo na mimi nataka nijichukulie angalao kitoyota allexHizo mashine za diagnosis zipo zinazoweza kurudisha hizo mileage nyuma za gari ila ni risk sana maana ni mambo ya kuvuruga control box maana Watanzania wengi wametoka kwenye kuuliza namba gari na zinazotoka Nje ya Nchi wanauliza hiyo mileage na si mwaka wa gari...kwa hiyo wahuni wanacheza na akili zao..
Mkuu kwa barabarani mimi amani ya moyo huwa napata nikiwa mkoani. mkoani inabidi uwe na gari yoyote tu ila kwa dar unajihisi mnyonge kwa gari zetu za 15M hizi maana kuna watu wanaendesha michuma ni laana.Maisha ya DUNIANI banaaaa!!!! Wengine wanatamani gari yako na wewe unatamani magari ya wengine..
Hapa DAR unaweza kufa Kwa presha hasa ukiwa barabarani maana kuna watu wanasukuma ndinga za hatari sana
Mkuu kwa barabarani mimi amani ya moyo huwa napata nikiwa mkoani. mkoani inabidi uwe na gari yoyote tu ila kwa dar unajihisi mnyonge kwa gari zetu za 15M hizi maana kuna watu wanaendesha michuma ni laana.
Sahivi macho kwenye mafuta na speed basi..Maisha ya DUNIANI banaaaa!!!! Wengine wanatamani gari yako na wewe unatamani magari ya wengine..
Hapa DAR unaweza kufa Kwa presha hasa ukiwa barabarani maana kuna watu wanasukuma ndinga za hatari sana
Chukua tu mkuu huwezi kupingana na mfumo uliopo..Hii changamoto ya kurudisha mileage unaweza kui-outsmart vipi mkuu?, maana mwakani hapo na mimi nataka nijichukulie angalao kitoyota allex
Daaa aisee uko sahihi kabisa. Mi mwanangu tumesoma wote sekondari na chuo sasa yeye ni mbunge yaani mashine anayoendesha ni balaaa. Kuna watu huku duniani wanatamani wale maisha milele.Mkuu kwa barabarani mimi amani ya moyo huwa napata nikiwa mkoani. mkoani inabidi uwe na gari yoyote tu ila kwa dar unajihisi mnyonge kwa gari zetu za 15M hizi maana kuna watu wanaendesha michuma ni laana.
Duuuh 5 milion per month..Mimi ndoto zakuwa tajiri naona zimepotea maana umri unakimbia sana hata baskeli Sina, licha ya kipato changu kufikia 5Mil kwa mwezi lkn ndoto at least za kupata mil 30 kwa mwezi zinaniishia.
Wenzetu wanawezaje kununua gari za mil 100 au 80 cash. Mambo ya mikopo ya sitaki kuyasikia.
Tupen code wakuu.
Mimi nimenunua magari Hong Kong,Japan na SA kwa kwenda mwenyewe nachozungumza sio kwamba nasimuliwa pana ujanja mwingi upo kwenye magari mazee ila sio makampuni mengi yanafanya huo ujinga na pia wanaangalia soko lao linataka nini kama ni Mileage wanashusha tu.Kma unanunulia Bongo - Ndio unaweza kupigwa. Kama unaagiza moja kwa moja Japan, Hakuna huo ujnga.
Hizi chuma hata huku Mkoani kwetu nimeanza kuziona ona! Nadhani sasa tako la nyani litaanza kushuka kwa kasi..Sahivi Harrier tako la nyani namba E za kutafuta, kuna hizi 3rd gen za kuanzia 2013 kuja juu.
View attachment 3160153
Chuma naziona aisee kibao utasema zinauzwa bei za CX5 kumbe unapata CX5 mbili hapo.
View attachment 3160155
Mfano cheapest unaweza ipata BF hizi hapa, mil 30 kasoro.
View attachment 3160156
Sasa ukija na ushuru wa TRA ndio utajua haujui
View attachment 3160158
Ila wajomba wanazo kibao namba E kila ukitoka lazima upishane nazo.
Kwenye hii chuma tupo wote mkuu, Mungu atupe uhai tuMpaka 2029 nikiwa hai nitavuta jeep Wrangler at least ya mwaka 2015! Unyama hapa hata ist sina!
Sawa mkuu chuma ya miaka ya karibuni inagonga milioni 100+Kwenye hii chuma tupo wote mkuu, Mungu atupe uhai tu
Hapo kwa lugha nyepesi wewe ni anti-japanesemimi sina maisha kiiivoo wala nini, lakin hizo harrier 3rd gen wala hazivutii, bora hata mdogo ake 2nd gen matak* ya nyani iko vizuri.
lakini gari bora za nyota5 kwa Africa zitabaki zile zile;- ambazo ni
*Mercede$e BENZ
*Range Rover
*BMW
*VW
*JEEP
#CHANANJA motors.