Hizi Harrier 3rd gen zilivyojazana hapa mjini utasema haziuzwi Mil 70+

Hizi Harrier 3rd gen zilivyojazana hapa mjini utasema haziuzwi Mil 70+

Mimi ndoto zakuwa tajiri naona zimepotea maana umri unakimbia sana hata baskeli Sina, licha ya kipato changu kufikia 5Mil kwa mwezi lkn ndoto at least za kupata mil 30 kwa mwezi zinaniishia.

Wenzetu wanawezaje kununua gari za mil 100 au 80 cash. Mambo ya mikopo ya sitaki kuyasikia.

Tupen code wakuu.
Save 4M kwa miaka miwili unakuwa na 80M unanunua
 
Hii 3rd gen sijui wanaipendea nn, 2nd ndo ilikua nzuri ukiondoa yale matatizo ya kupinda pinda kwenye suspension systems zake, unakuta chuma imelalia upande mmoja kabisa.

Ni kama fortuner tu, latest model siikubali kabisa bora ile previous ilokua kama hilux kwenye dash na engine ila tofauti ni body tu
Sio tu body, hii imetumua ata chasis nyingine kabisa wanashare nadhan na Rav 4

Pia kuna improvement kwenye engine, na sasa wanatumia engine ndogo cc 2000 na ina hybrid yenye 2500.

Sema nn, hii 4th gen ndio naona kama facelift tu ya 3rd gen
IMG_0733.jpeg
 
Sahivi Harrier tako la nyani namba E za kutafuta, kuna hizi 3rd gen za kuanzia 2013 kuja juu.

View attachment 3160153
Chuma naziona aisee kibao utasema zinauzwa bei za CX5 kumbe unapata CX5 mbili hapo.
View attachment 3160155

Mfano cheapest unaweza ipata BF hizi hapa, mil 30 kasoro.
View attachment 3160156

Sasa ukija na ushuru wa TRA ndio utajua haujui
View attachment 3160158
Ila wajomba wanazo kibao namba E kila ukitoka lazima upishane nazo.
Million 70? Hizo ni bajaji 7 siyo ghali sana.
 
Sahivi Harrier tako la nyani namba E za kutafuta, kuna hizi 3rd gen za kuanzia 2013 kuja juu.

View attachment 3160153
Chuma naziona aisee kibao utasema zinauzwa bei za CX5 kumbe unapata CX5 mbili hapo.
View attachment 3160155

Mfano cheapest unaweza ipata BF hizi hapa, mil 30 kasoro.
View attachment 3160156

Sasa ukija na ushuru wa TRA ndio utajua haujui
View attachment 3160158
Ila wajomba wanazo kibao namba E kila ukitoka lazima upishane nazo.

Sasa 10,370 X 2,620 = Tshs. 27,169,400. Ukichukua 27,169,400 + 27,235,025 = Tshs 54,404,425. Hiyo Mil 70 Unaipatia wapi?
 
Sahivi Harrier tako la nyani namba E za kutafuta, kuna hizi 3rd gen za kuanzia 2013 kuja juu.

View attachment 3160153
Chuma naziona aisee kibao utasema zinauzwa bei za CX5 kumbe unapata CX5 mbili hapo.
View attachment 3160155

Mfano cheapest unaweza ipata BF hizi hapa, mil 30 kasoro.
View attachment 3160156

Sasa ukija na ushuru wa TRA ndio utajua haujui
View attachment 3160158
Ila wajomba wanazo kibao namba E kila ukitoka lazima upishane nazo.
Pambana mkuu,we ndio uliebaki peke yako hapo mjini hauna hiyo chombo...
 
Hizo mashine za diagnosis zipo zinazoweza kurudisha hizo mileage nyuma za gari ila ni risk sana maana ni mambo ya kuvuruga control box maana Watanzania wengi wametoka kwenye kuuliza namba gari na zinazotoka Nje ya Nchi wanauliza hiyo mileage na si mwaka wa gari...kwa hiyo wahuni wanacheza na akili zao..
Kma unanunulia Bongo - Ndio unaweza kupigwa. Kama unaagiza moja kwa moja Japan, Hakuna huo ujnga.
 
Mimi ndoto zakuwa tajiri naona zimepotea maana umri unakimbia sana hata baskeli Sina, licha ya kipato changu kufikia 5Mil kwa mwezi lkn ndoto at least za kupata mil 30 kwa mwezi zinaniishia.

Wenzetu wanawezaje kununua gari za mil 100 au 80 cash. Mambo ya mikopo ya sitaki kuyasikia.

Tupen code wakuu.
Kama unaearn 5m kwa mwezi kupata 30 ni rahisi sana
 
Back
Top Bottom