Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Save 4M kwa miaka miwili unakuwa na 80M unanunuaMimi ndoto zakuwa tajiri naona zimepotea maana umri unakimbia sana hata baskeli Sina, licha ya kipato changu kufikia 5Mil kwa mwezi lkn ndoto at least za kupata mil 30 kwa mwezi zinaniishia.
Wenzetu wanawezaje kununua gari za mil 100 au 80 cash. Mambo ya mikopo ya sitaki kuyasikia.
Tupen code wakuu.
Ahahahah ila kwel bwana , haka ka spacio kashaanza kunichosha now nataman nipande juu juu kidogo..tatizo pesa sasaHHha unasema tu. Ukipata IST unaanza iangalia Rav 4
Sio tu body, hii imetumua ata chasis nyingine kabisa wanashare nadhan na Rav 4Hii 3rd gen sijui wanaipendea nn, 2nd ndo ilikua nzuri ukiondoa yale matatizo ya kupinda pinda kwenye suspension systems zake, unakuta chuma imelalia upande mmoja kabisa.
Ni kama fortuner tu, latest model siikubali kabisa bora ile previous ilokua kama hilux kwenye dash na engine ila tofauti ni body tu
Million 70? Hizo ni bajaji 7 siyo ghali sana.Sahivi Harrier tako la nyani namba E za kutafuta, kuna hizi 3rd gen za kuanzia 2013 kuja juu.
View attachment 3160153
Chuma naziona aisee kibao utasema zinauzwa bei za CX5 kumbe unapata CX5 mbili hapo.
View attachment 3160155
Mfano cheapest unaweza ipata BF hizi hapa, mil 30 kasoro.
View attachment 3160156
Sasa ukija na ushuru wa TRA ndio utajua haujui
View attachment 3160158
Ila wajomba wanazo kibao namba E kila ukitoka lazima upishane nazo.
Sahivi Harrier tako la nyani namba E za kutafuta, kuna hizi 3rd gen za kuanzia 2013 kuja juu.
View attachment 3160153
Chuma naziona aisee kibao utasema zinauzwa bei za CX5 kumbe unapata CX5 mbili hapo.
View attachment 3160155
Mfano cheapest unaweza ipata BF hizi hapa, mil 30 kasoro.
View attachment 3160156
Sasa ukija na ushuru wa TRA ndio utajua haujui
View attachment 3160158
Ila wajomba wanazo kibao namba E kila ukitoka lazima upishane nazo.
Pambana mkuu,we ndio uliebaki peke yako hapo mjini hauna hiyo chombo...Sahivi Harrier tako la nyani namba E za kutafuta, kuna hizi 3rd gen za kuanzia 2013 kuja juu.
View attachment 3160153
Chuma naziona aisee kibao utasema zinauzwa bei za CX5 kumbe unapata CX5 mbili hapo.
View attachment 3160155
Mfano cheapest unaweza ipata BF hizi hapa, mil 30 kasoro.
View attachment 3160156
Sasa ukija na ushuru wa TRA ndio utajua haujui
View attachment 3160158
Ila wajomba wanazo kibao namba E kila ukitoka lazima upishane nazo.
Lete nikuvue hiyo spacio, utauza na kiwanja upate harrier.Ahahahah ila kwel bwana , haka ka spacio kashaanza kunichosha now nataman nipande juu juu kidogo..tatizo pesa sasa
Nashangaa mtu ànalalamika eti 70 nyingi? Ni boxer 35 tu.Au Boxer BM 150 za bodaboda 35. Uwongo?
Kma unanunulia Bongo - Ndio unaweza kupigwa. Kama unaagiza moja kwa moja Japan, Hakuna huo ujnga.Hizo mashine za diagnosis zipo zinazoweza kurudisha hizo mileage nyuma za gari ila ni risk sana maana ni mambo ya kuvuruga control box maana Watanzania wengi wametoka kwenye kuuliza namba gari na zinazotoka Nje ya Nchi wanauliza hiyo mileage na si mwaka wa gari...kwa hiyo wahuni wanacheza na akili zao..
Kama unaearn 5m kwa mwezi kupata 30 ni rahisi sanaMimi ndoto zakuwa tajiri naona zimepotea maana umri unakimbia sana hata baskeli Sina, licha ya kipato changu kufikia 5Mil kwa mwezi lkn ndoto at least za kupata mil 30 kwa mwezi zinaniishia.
Wenzetu wanawezaje kununua gari za mil 100 au 80 cash. Mambo ya mikopo ya sitaki kuyasikia.
Tupen code wakuu.
Mkuu mbona unajua sana kushawishi?? 😂Lete nikuvue hiyo spacio, utauza na kiwanja upate harrier.
Mkuu Kuna Hilux mpya ya mil 30?. Ndio nayohitaji.Kama unaearn 5m kwa mwezi kupata 30 ni rahisi sana
Tatizo tamaa. Sema acha nitulie kwanza, maana kuna mwamba kasema nimuuzie halaf niuze nankiwanja kimoja niongezee pesa nivute chuma nyingine eti 😂😂😂Msanii 20 Percent anakuambia “… sifa ya moyo tamaa…”