makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Una kipato cha milioni 5 kwa mwezi huna hata baiskeli, 🤣🤣 sasa hapo hata mungu si anakushangaa,
Chunguza akili yako vizuri nahisi shida inaanzia hapo🤣
Chunguza akili yako vizuri nahisi shida inaanzia hapo🤣