Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kilimo cha matikitiMillion 70? Hizo ni bajaji 7 siyo ghali sana.
Sio mikoa yote mkuu, nenda moshi na arusha bado utaonekana unatembelea kiberiti tu😅😅😅😅Mkuu kwa barabarani mimi amani ya moyo huwa napata nikiwa mkoani. mkoani inabidi uwe na gari yoyote tu ila kwa dar unajihisi mnyonge kwa gari zetu za 15M hizi maana kuna watu wanaendesha michuma ni laana.
hahhaah duuh! bila kuwasahau na wale wa plate number, kweli wabongo kupigwa wanajitakiaHizo mashine za diagnosis zipo zinazoweza kurudisha hizo mileage nyuma za gari ila ni risk sana maana ni mambo ya kuvuruga control box maana Watanzania wengi wametoka kwenye kuuliza namba gari na zinazotoka Nje ya Nchi wanauliza hiyo mileage na si mwaka wa gari...kwa hiyo wahuni wanacheza na akili zao..
Ni Kali SanaSahivi Harrier tako la nyani namba E za kutafuta, kuna hizi 3rd gen za kuanzia 2013 kuja juu.
View attachment 3160153
Chuma naziona aisee kibao utasema zinauzwa bei za CX5 kumbe unapata CX5 mbili hapo.
View attachment 3160155
Mfano cheapest unaweza ipata BF hizi hapa, mil 30 kasoro.
View attachment 3160156
Sasa ukija na ushuru wa TRA ndio utajua haujui
View attachment 3160158
Ila wajomba wanazo kibao namba E kila ukitoka lazima upishane nazo.
Kila la heri mkuu hiyo kwa kipato chako jipe muda zaidi au uza nyumba ununue gari 😂Hatari mkuu ngoja niendelee kujichunguza, nikifikisha ela ya kuagiza Hilux zero km, ntakuja kuleta mrejesho.
Unajua mkuu watu tunatofautiana sana, Mimi nataka nijifunze kuweka standard naamini ndani ya Miaka 2 au 3 ijayo hiyo gari ntaipata. Hichi kipindi naendelea kutumia gari ya ofisi na wese bure pamoja service bure, ilimradi sipandi BANCHIKICHA a.k.a Daladala kwenye mizunguko yangu basi naamini ntaipata tu.Kila la heri mkuu hiyo kwa kipato chako jipe muda zaidi au uza nyumba ununue gari 😂
Hiyo ni pikipiki sio gari.Imradi gari, mi nataka mwakani nitafute cha 3mil
Kwa utaratibu huo utafanikiwa kumiliki hiyo gari mkuu.Unajua mkuu watu tunatofautiana sana, Mimi nataka nijifunze kuweka standard naamini ndani ya Miaka 2 au 3 ijayo hiyo gari ntaipata. Hichi kipindi naendelea kutumia gari ya ofisi na na wese bure pamoja service bure, ilimradi sipandi BANCHIKICHA a.k.a Daladala kwenye mizunguko yangu basi naamini ntaipata tu.
Sema gari za ofisi Zina nasharti uhuru hamna ndio tatizo, unapanda gari isitoke nje ya mkoa labda kwa shughuri za kiofisi ndio shida ilipo.
Hela ya gari hiyo mkuuHiyo ni pikipiki sio gari.
Daah kuliko ununue gar ya mil 3 kher uchukue boxer mpya, gar ya mil 3 mafundi ndio watakua watu wako wa karibu.Hela ya gari hiyo mkuu
inategemea ni gari aina ganiDaah kuliko ununue gar ya mil 3 kher uchukue boxer mpya, gar ya mil 3 mafundi ndio watakua watu wako wa karibu.
Mkuu hamna gar ya mil 3 niamini Mimi, ukinunua hiyo gar utakua na namba za mafundi zaid ya watano. Maana week haiishi upo na fundi.inategemea ni gari aina gani
Labda ila kuna wadau wanazo na hazisumbuiMkuu hamna gar ya mil 3 niamini Mimi, ukinunua hiyo gar utakua na namba za mafundi zaid ya watano. Maana week haiishi upo na fundi.