Hizi hospital za serikali omba Mungu sana usipelekwe huku ukiwa serious. Unaweza kufa na wahudumu wa afya Wala hawajali

Hizi hospital za serikali omba Mungu sana usipelekwe huku ukiwa serious. Unaweza kufa na wahudumu wa afya Wala hawajali

Niko hospital ya wilaya ya Butiama mda huu. Mama yake na rafiki yangu amepata ajali ya pikipiki, mguu kuanzia kwenye mapaja mpaka kikanyagio haufai, nyama hakuna mifupa Iko nje.

Picha linaanza anafikishwa hospitali anawekwa pembeni mnaambiwa daktari hayupo, hamna huduma yoyote na ukimuangalia mgonjwa hutamani kumuangalia mara ya pili. Baada ya masaa daktari anafika, anasema Kwa hali hii hapa hatuwezi.

Kuandika rufaa kwenda hospitali ya mkoa watu wanajivuta, mpaka ndugu wanawakoromea lakini masaa yanapita.

Mama watu anaugulia maumivu, na vile huku hamna hospitali nzuri ya Private ni shida tupu. Masaa manne mpaka Sasa mgonjwa bila huduma na Yuko serious.

Hivi Hawa madaktari Huwa haumwi? Unaweza kumchapa mtu risasi.

Wazee tutapambane kutafuta hela, tuishi mikoa yenye huduma muhimu. Hizi hospitali za serikali ni utopolo, wengi huku wanakufa Kwa kukosa huduma na hakuna anayejali.

Haya ninayojionea yanatia hasira
Hizo ni milango ya kuzimu,iyo mijitu ina roho mbaya sanasana
 
Rw
Shukrani mkuu
Rekodi tukio zima ,ikiwezekana nenda mpaka kwa daktari ongea naye maswaibu yote ,ukimrecord na kuona anasema nini ?
Hamia kwa manesi onesha kauli ya mamlaka kwao kuwamuru juu ya hali ya mgonjwa alafu nrekodi mgonjwa na sauti yako ukieleza hali halisi kwa jamii na pia mtunie DMO kwa namba isiyokuwa yako Wala simu yako .

Then tutumie jamiiforums tumalizane na mfawidhi ,pamoja na incharge wa hiyo shift na timu nzima .
Pole Sana Kaka imeniuma ,natamani mpae mje niwatibu Mimi .

Pole Kaka ,kikubwa katika kurecord naomba sura ya mama mgonjwa isionekane ila za hao mburu mwitu zionekane
 
Naendelea kuamini kuwa moja kati ya wafanyakazi wenye roho ngumu na ambao utu wao ni mdogo sana ni watu wa sekta ya afya. Kwao suala linaitwa haraka ni dogo sana.
Ongezea: Hususani ukiwa hauna hela mfukoni utaishia kumnufaisha mtu wa mochwari ambae nae amekaa muda wote anasubiri uvute ili uhamishiwe kule apate chochote kitu km muuza majeneza
 
Naendelea kuamini kuwa moja kati ya wafanyakazi wenye roho ngumu na ambao utu wao ni mdogo sana ni watu wa sekta ya afya. Kwao suala linaitwa haraka ni dogo sana.
Sio wote Kaka ni baadhi ya mburu mwitu waliobahatika kuajiriwa kutokea huko uswekeni wakiwa hapo uhisi wamemaliza kila kitu kwa kupenda kubembelezwa ndiyo wafanye kazi .

Ni hao wanaharibu taswira ya neno muhudumu wa afya .

Mimi na pombe zangu na utoto wangu japo mtu mzima najari Sana uhai na afya ya mtu ndiyo badaye mengine yafuate
 
Niko hospital ya wilaya ya Butiama mda huu. Mama yake na rafiki yangu amepata ajali ya pikipiki, mguu kuanzia kwenye mapaja mpaka kikanyagio haufai, nyama hakuna mifupa Iko nje.

Picha linaanza anafikishwa hospitali anawekwa pembeni mnaambiwa daktari hayupo, hamna huduma yoyote na ukimuangalia mgonjwa hutamani kumuangalia mara ya pili. Baada ya masaa daktari anafika, anasema Kwa hali hii hapa hatuwezi.

Kuandika rufaa kwenda hospitali ya mkoa watu wanajivuta, mpaka ndugu wanawakoromea lakini masaa yanapita.

Mama watu anaugulia maumivu, na vile huku hamna hospitali nzuri ya Private ni shida tupu. Masaa manne mpaka Sasa mgonjwa bila huduma na Yuko serious.

Hivi Hawa madaktari Huwa haumwi? Unaweza kumchapa mtu risasi.

Wazee tutapambane kutafuta hela, tuishi mikoa yenye huduma muhimu. Hizi hospitali za serikali ni utopolo, wengi huku wanakufa Kwa kukosa huduma na hakuna anayejali.

Haya ninayojionea yanatia hasira
Kwenye hili la hospitali za serikali nadhani hutofautiana mikoa kwa mikoa pia wilaya. Mfano mwanafamilia wetu alihudumiwa vizuri kabisa hospitali ya wilaya ya Hai pale Boma mkoa wa Kilimanjaro.
 
Acheni kutupia wa hudumu lawama tatizo ni serikali yenu isio wezesha hizo hospitali, huyu clinical ofisa unao muona analipwa sio zaidi ya laki saba......hana allowance yoyote na vitendea kazi ni duni. Unakuta hospitali kama hiyo haina hata gari la wagonjwa wala ICU unit, ajibusheni viongozi wenu acha kupokea rushwa na kuuza kura zenu
 
Niko hospital ya wilaya ya Butiama mda huu. Mama yake na rafiki yangu amepata ajali ya pikipiki, mguu kuanzia kwenye mapaja mpaka kikanyagio haufai, nyama hakuna mifupa Iko nje.

Picha linaanza anafikishwa hospitali anawekwa pembeni mnaambiwa daktari hayupo, hamna huduma yoyote na ukimuangalia mgonjwa hutamani kumuangalia mara ya pili. Baada ya masaa daktari anafika, anasema Kwa hali hii hapa hatuwezi.

Kuandika rufaa kwenda hospitali ya mkoa watu wanajivuta, mpaka ndugu wanawakoromea lakini masaa yanapita.

Mama watu anaugulia maumivu, na vile huku hamna hospitali nzuri ya Private ni shida tupu. Masaa manne mpaka Sasa mgonjwa bila huduma na Yuko serious.

Hivi Hawa madaktari Huwa haumwi? Unaweza kumchapa mtu risasi.

Wazee tutapambane kutafuta hela, tuishi mikoa yenye huduma muhimu. Hizi hospitali za serikali ni utopolo, wengi huku wanakufa Kwa kukosa huduma na hakuna anayejali.

Haya ninayojionea yanatia hasira
Mkuu watu wapo hapo kusubiri mwisho wa mwezi tu, hakuna utu
 
Sio wote Kaka ni baadhi ya mburu mwitu waliobahatika kuajiriwa kutokea huko uswekeni wakiwa hapo uhisi wamemaliza kila kitu kwa kupenda kubembelezwa ndiyo wafanye kazi .

Ni hao wanaharibu taswira ya neno muhudumu wa afya .

Mimi na pombe zangu na utoto wangu japo mtu mzima najari Sana uhai na afya ya mtu ndiyo badaye mengine yafuate
Nakubaliana na wewe mkuu. Ni kweli hii tabia si ya wahudumu wote kaka bali ni wengi wao.
 
Niko hospital ya wilaya ya Butiama mda huu. Mama yake na rafiki yangu amepata ajali ya pikipiki, mguu kuanzia kwenye mapaja mpaka kikanyagio haufai, nyama hakuna mifupa Iko nje.

Picha linaanza anafikishwa hospitali anawekwa pembeni mnaambiwa daktari hayupo, hamna huduma yoyote na ukimuangalia mgonjwa hutamani kumuangalia mara ya pili. Baada ya masaa daktari anafika, anasema Kwa hali hii hapa hatuwezi.

Kuandika rufaa kwenda hospitali ya mkoa watu wanajivuta, mpaka ndugu wanawakoromea lakini masaa yanapita.

Mama watu anaugulia maumivu, na vile huku hamna hospitali nzuri ya Private ni shida tupu. Masaa manne mpaka Sasa mgonjwa bila huduma na Yuko serious.

Hivi Hawa madaktari Huwa haumwi? Unaweza kumchapa mtu risasi.

Wazee tutapambane kutafuta hela, tuishi mikoa yenye huduma muhimu. Hizi hospitali za serikali ni utopolo, wengi huku wanakufa Kwa kukosa huduma na hakuna anayejali.

Haya ninayojionea yanatia hasira
Hii ni hali ya hospital zote na dawa siyo kupigana kutafuta fedha tu. Kwenye nchi kubwa kama Tanzania wote hatuwezi kuwa na fedha. Kinachotakiwa ni huduma za hospital nzuri. Tuungane kupigana kuwawajibisha viongozi. Tunapoambiwa tudai katiba mpya basi tuungane. Poleni.
 
Back
Top Bottom