Hizi hospital za serikali omba Mungu sana usipelekwe huku ukiwa serious. Unaweza kufa na wahudumu wa afya Wala hawajali

Hizi hospital za serikali omba Mungu sana usipelekwe huku ukiwa serious. Unaweza kufa na wahudumu wa afya Wala hawajali

Sio wote Kaka ni baadhi ya mburu mwitu waliobahatika kuajiriwa kutokea huko uswekeni wakiwa hapo uhisi wamemaliza kila kitu kwa kupenda kubembelezwa ndiyo wafanye kazi .

Ni hao wanaharibu taswira ya neno muhudumu wa afya .

Mimi na pombe zangu na utoto wangu japo mtu mzima najari Sana uhai na afya ya mtu ndiyo badaye mengine yafuate
Wewe Daktari kituo chako cha kazi ni wapi au wewe ni Nesi?
 
Ulisomea ili ukomoe watu, hukujua kuwa maslai madogo , kama madogo acha kazi waachie wenzio nafasi wanaihitaji na kuridhika na maslai hayo madogo acha kuleta ushetani kwa matatizo ya watu mtu kaumia hivyo unatetea ujinga pumbabu
 
Hii ni hali ya hospital zote na dawa siyo kupigana kutafuta fedha tu. Kwenye nchi kubwa kama Tanzania wote hatuwezi kuwa na fedha. Kinachotakiwa ni huduma za hospital nzuri. Tuungane kupigana kuwawajibisha viongozi. Tunapoambiwa tudai katiba mpya basi tuungane. Poleni.
Umesema jambo kubwa sana ndugu. Shida vichwa vyetu vinawaza ubinafsi tu kaka.
 
Acheni kutupia wa hudumu lawama tatizo ni serikali yenu isio wezesha hizo hospitali, huyu clinical ofisa unao muona analipwa sio zaidi ya laki saba......hana allowance yoyote na vitendea kazi ni duni. Unakuta hospitali kama hiyo haina hata gari la wagonjwa wala ICU unit, ajibusheni viongozi wenu acha kupokea rushwa na kuuza kura zenu
Ila kazi haachi.. frustrations msizitolee kwa wagonjwa..bora hio kazi apewe mtu ambaye yupo tayari kuifanya
 
Simu: 0767300061/756357458
Mkuu toka asubuhi nakuona unazunguka kwenye komenti zangu unanicheka ,nakausha .
Sasa umeamua kuniita nurse ilihali Mimi si nurse ,ukweli najua umeamua kunishusha status zangu .

Sasa sitaki tugombane kwenye huu uzi kikubwa tushikamane tumsaidie mama aweze walau kupata huduma ya kwanza au apate refferral aende rufaa alafu baada ya hapo ndiyo tutaanza kugombana .

Note:Niko tayari kwa pambano hata nje ya jamvi hili
 
Mkuu toka asubuhi nakuona unazunguka kwenye komenti zangu unanicheka ,nakausha .
Sasa umeamua kuniita nurse ilihali Mimi si nurse ,ukweli najua umeamua kunishusha status zangu .

Sasa sitaki tugombane kwenye huu uzi kikubwa tushikamane tumsaidie mama aweze walau kupata huduma ya kwanza au apate refferral aende rufaa alafu baada ya hapo ndiyo tutaanza kugombana .

Note:Niko tayari kwa pambano hata nje ya jamvi hili
Nijuavyo mimi madaktari hata ukiwaita nurse huwa hawamaindi
 
Niko hospital ya wilaya ya Butiama mda huu. Mama yake na rafiki yangu amepata ajali ya pikipiki, mguu kuanzia kwenye mapaja mpaka kikanyagio haufai, nyama hakuna mifupa Iko nje.

Picha linaanza anafikishwa hospitali anawekwa pembeni mnaambiwa daktari hayupo, hamna huduma yoyote na ukimuangalia mgonjwa hutamani kumuangalia mara ya pili. Baada ya masaa daktari anafika, anasema Kwa hali hii hapa hatuwezi.

Kuandika rufaa kwenda hospitali ya mkoa watu wanajivuta, mpaka ndugu wanawakoromea lakini masaa yanapita.

Mama watu anaugulia maumivu, na vile huku hamna hospitali nzuri ya Private ni shida tupu. Masaa manne mpaka Sasa mgonjwa bila huduma na Yuko serious.

Hivi Hawa madaktari Huwa haumwi? Unaweza kumchapa mtu risasi.

Wazee tutapambane kutafuta hela, tuishi mikoa yenye huduma muhimu. Hizi hospitali za serikali ni utopolo, wengi huku wanakufa Kwa kukosa huduma na hakuna anayejali.

Haya ninayojionea yanatia hasira
Mkuu pole,hii imewahi Nikuta mtoto kasiginwa na tipper hospitali wamenipa rufaa,polisi wanakataa kuandika pf3 eti mpaka wajue nani kasababisha ajali,na askari wakike,wanaojinasibu Wana uchungu na watoto,nilitamani kummeza ila niliogopa bunduki tu
 
Acheni kutupia wa hudumu lawama tatizo ni serikali yenu isio wezesha hizo hospitali, huyu clinical ofisa unao muona analipwa sio zaidi ya laki saba......hana allowance yoyote na vitendea kazi ni duni. Unakuta hospitali kama hiyo haina hata gari la wagonjwa wala ICU unit, ajibusheni viongozi wenu acha kupokea rushwa na kuuza kura zenu
Sawa hata kama hayo yote unayosema ni kweli, hivi hata issue ya kumpa huduma ya kwanza washindwe? Okay hawawezi mtibia kwann wasitoe referral mapema hadi wavutane?
 
Nijuavyo mimi madaktari hata ukiwaita nurse huwa hawamaindi
Muktadha wa swali la muulizaji kwangu .
Alafu na wewe nacopy jina lako pembeni ,embu kwanza simu ziite kwa marafiki na wafanyakazi wenzetu ,hospitali ya wilaya butihama mama atibiwe kwanza alafu baada ya hapo ndiyo nitawatafuta ili Kama ni Vita ya ngumi Basi location ipangwe ila Kama ni ya maneno basi hapa hapa patatosha ila nitawaalika rafiki zangu pia
 
Acheni kutupia wa hudumu lawama tatizo ni serikali yenu isio wezesha hizo hospitali, huyu clinical ofisa unao muona analipwa sio zaidi ya laki saba......hana allowance yoyote na vitendea kazi ni duni. Unakuta hospitali kama hiyo haina hata gari la wagonjwa wala ICU unit, ajibusheni viongozi wenu acha kupokea rushwa na kuuza kura zenu
Clinical Officer na ICU wapi na wapi ndugu yangu? Hospital ya wilaya wanatakiwa wawepo MD na kuendelea huyo CO labda umkute mapokezi.
 
Back
Top Bottom