Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
unaweza kuta pia ni Katibu wa WizaraNchi hii ina watu wajinga! Halafu mtu kama huyu utakuta ana Mke na watoto na akirudi nyumbani anaitwa Baba π. We still have a long way to Go πππ
Mkuu baada ya kubaki na mbunge mmoja wa kuchaguliwa na wananchi, wamekosa ishu ya kuongelea na kumkosoa JPM. Angalia threads za kupinga alichoongea JPM leo zilivyoanzishwa kwa fujo!?.., bora hata huyu kaishia kupindisha maana tu wengine wanalilia lockdown wengine wanataka chanjo, ilimradi wapinge pinge tu. Ila uzuri JPM huwa hayumbishwi.
Wewe ndio huelewi!!ina maana hata hujui kuwa chanjo ina husika na magonjwa yanayosababishwa na VIRUS, sasa malaria iko kwenye kundi hilo??toka lini parasaiti, akatibiwa kwa chanjo?!!JAMANI , Hata haya majina mnayojiita wakati mwingine hamyatendei haki walaaah!!eti newton!!
Kazi mnayo. Si bure!Mkuu baada ya kubaki na mbunge mmoja wa kuchaguliwa na wananchi, wamekosa ishu ya kuongelea na kumkosoa JPM. Angalia threads za kupinga alichoongea JPM leo zilivyoanzishwa kwa fujo!?.., bora hata huyu kaishia kupindisha maana tu wengine wanalilia lockdown wengine wanataka chanjo, ilimradi wapinge pinge tu. Ila uzuri JPM huwa hayumbishwi.
Inawezekana bado yuko hai. Ipo siku ataibuka, tuzidishe maombiRIP Ben Saanane!
Hivi kwa nini huwa haruhusu maswali kama wenzake kina Biden?Mkuu akiongea dakika tano tu inatosha kuonyesha magufuli hawez kuongea sensible na vitu vyenye logic hata kwa dakika moja...
Acheni kung'ang'aniza ugonvi...Wewe ndio huelewi!!ina maana hata hujui kuwa chanjo ina husika na magonjwa yanayosababishwa na VIRUS, sasa malaria iko kwenye kundi hilo??toka lini parasaiti, akatibiwa kwa chanjo?!!JAMANI , Hata haya majina mnayojiita wakati mwingine hamyatendei haki walaaah!!eti newton!!...
Mfano mwanfunzi wake ni Kangi Lugola hebu ajadiliweHivi hata wanafunzi wake alikuwa anawafundisha nini kama sio kuwapa matango pori.
Malaria, kama ilivyo Korona, ni moja ya Magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya Virusi (aina gani, hajafafanua).,,[emoji3][emoji848][emoji3064][emoji3064][emoji30][emoji30][emoji30]Sina utaalamu wowote kuhusu mambo ya afya, lakini tangu nikiwa mtoto wa Miaka 10, Mwanafunzi wa darasa la 4, nilifundishwa na Mwalimu wangu wa Sayansi Kimu kuwa Ugonjwa wa Malaria huambukizwa na Vimelea(Parasites) aina ya Plasmodium wanaoenezwa na Mbu jike aina ya Anopheles...
Sizani km alisema Malaria inaambukizwa na virus ila alihoji " Kama(Wazungu) wameweza kutengeneza chanjo ya Covid-19 mbona wameshindwa kutengeneza chanjo ya Virus vya ukimwi,Kifua kikuuu au Malaria"?
[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]Chanjo ni dhidi ya maambukizi ya virusi na bakteria. Sijawahi kusikia kuna chanjo dhidi ya vimelea.
Hiyu ni kilaxa tu. Amezoea kucrame kemia.Sina utaalamu wowote kuhusu mambo ya afya, lakini tangu nikiwa mtoto wa Miaka 10, Mwanafunzi wa darasa la 4, nilifundishwa na Mwalimu wangu wa Sayansi Kimu kuwa Ugonjwa wa Malaria huambukizwa na Vimelea(Parasites) aina ya Plasmodium wanaoenezwa na Mbu jike aina ya Anopheles...
Unaonaje ukahamia Kenya?Nchi hii ina watu wajinga! Halafu mtu kama huyu utakuta ana Mke na watoto na akirudi nyumbani anaitwa Baba π. We still have a long way to Go πππ
Kenya walikataa chanjo ya saratani ya shingo ya kizazi kwa wasichana wa miaka 14.Hivi ni nchi gani hiyo waschana walichanjwa ili wasizae?
Imekula kwako. Anatoa amri na unafuataKwani tuna Rais? nani kamchagua? Unadhani watanzaniawenye akili wanaweza kumchagua Rais wa hivyo?
Ameropoka au ametoa angalizo kuhusu vaccine ya Covid-19? Rais amesema wizara isikubali tu chanjo yeyote inayotoka nje kabla ya kujiridhisha kuhusu ubora na usalama wake. Rais kutoa tahadhari kwa watu wake ni vibaya?Kwa hiyo wewe kwako mtu akiropokaropoka basi ameshakuwa kiboko ya Mabeberu..jinga kabisa wewe