Hizi kesi za Mwanamke anataka mtoto asome shule ya gharama ilihali mwanaume hana uwezo, Je na nyie watu wazima wenzangu huwa zinawafikia?

Hizi kesi za Mwanamke anataka mtoto asome shule ya gharama ilihali mwanaume hana uwezo, Je na nyie watu wazima wenzangu huwa zinawafikia?

Ndondombi Mulin

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2016
Posts
413
Reaction score
1,868
Habari za wakati huu ndugu wana Jamiiforums,

Nimepokea kesi nyingi sana kutoka kwa vijana wakiume january hii, wengi wao malalamiko yako ni kuwa Wanawake/wake wanaoishi nao wanataka watoto wakasome shule za gharama (wengi ada ni 2.5M+), ilihali wao uwezo wao kiuchumi ni wastani na wakijikamua kumudu hizo gharama basi wanatakiwa kusimamisha shughuli zingine za kimaendeleo na wengine kuingia madeni.

Hizi kesi zimepeleka kuleta migogoro isiyo ya lazima kwenye kaya nyingi za vijana wa kileo.

Mara zote nikifatwa nimekuwa nikishauri kwamba, Mwanaume somesha kutokana na uwezo wa kipato chako na matamanio yako jinsi unataka mwanao apate Elimu ipi.

Swali ni
Je, huko mlipo ndugu zangu, nanyi mnakutana na kesi za namna hii? Nini chanzo.
 
Habari za wakati huu ndugu wana Jamiiforums,

Nimepokea kesi nyingi sana kutoka kwa vijana wakiume january hii, wengi wao malalamiko yako ni kuwa Wanawake/wake wanaoishi nao wanataka watoto wakasome shule za gharama (wengi ada ni 2.5M+), ilihali wao uwezo wao kiuchumi ni wastani na wakijikamua kumudu hizo gharama basi wanatakiwa kusimamisha shughuli zingine za kimaendeleo na wengine kuingia madeni.

Hizi kesi zimepeleka kuleta migogoro isiyo ya lazima kwenye kaya nyingi za vijana wa kileo.

Mara zote nikifatwa nimekuwa nikishauri kwamba, Mwanaume somesha kutokana na uwezo wa kipato chako na matamanio yako jinsi unataka mwanao apate Elimu ipi.

Swali ni
Je, huko mlipo ndugu zangu, nanyi mnakutana na kesi za namna hii? Nini chanzo.
Chanzo ni sifa za kijinga na kujitutumua,hizi zipo Mimi nilipelekwa hadi kwa mkuu wa wilaya , Dodoma mjini wakanivuruga! Mwisho wa siku nikawapangua na ndoa ikaiishia hapohapo!
 
LIKUD huko alipo saa hii.


A4662734-457F-4171-B67B-DD7F53D26CFE.jpeg
 
Habari za wakati huu ndugu wana Jamiiforums,

Nimepokea kesi nyingi sana kutoka kwa vijana wakiume january hii, wengi wao malalamiko yako ni kuwa Wanawake/wake wanaoishi nao wanataka watoto wakasome shule za gharama (wengi ada ni 2.5M+), ilihali wao uwezo wao kiuchumi ni wastani na wakijikamua kumudu hizo gharama basi wanatakiwa kusimamisha shughuli zingine za kimaendeleo na wengine kuingia madeni.

Hizi kesi zimepeleka kuleta migogoro isiyo ya lazima kwenye kaya nyingi za vijana wa kileo.

Mara zote nikifatwa nimekuwa nikishauri kwamba, Mwanaume somesha kutokana na uwezo wa kipato chako na matamanio yako jinsi unataka mwanao apate Elimu ipi.

Swali ni
Je, huko mlipo ndugu zangu, nanyi mnakutana na kesi za namna hii? Nini chanzo.
ASILIMIA 95 YA WATOTO WA KITANZANIA WAKO SHULE ZA UMMA.
HAKUNA SHERIA INAYOLAZIMISHA WAPI KWA KUSOMESHA MTOTO.
KUSOMESHA WATOTO SHULE ZA BINAFSI ZA GHARAMA NI SIFA!
KUISHI KWA KUANGALIA MACHO YA WATU NI KUJITESA
 
Kila mtu atoe nusu ya ada. Mama nusu baba nusu case closed.

Unachokipenda uwe na uwezo wa kukigharimikia, siamini mama ambaye hana kipato chochote anaweza kuleta pressure ya shule za gharama. Ask her "what is your contribution in all this madam?
usijidanganye kwa kufikiri kwamba mtaingia katika magubaliano ya aina hiyo na mwanamke kwamba na yeye atakuwa akichangia pasu kwa pasu ukikubali tu, jua huo ni mzigo wako peke yako utabeba mwanzo mwisho
 
Habari za wakati huu ndugu wana Jamiiforums,

Nimepokea kesi nyingi sana kutoka kwa vijana wakiume january hii, wengi wao malalamiko yako ni kuwa Wanawake/wake wanaoishi nao wanataka watoto wakasome shule za gharama (wengi ada ni 2.5M+), ilihali wao uwezo wao kiuchumi ni wastani na wakijikamua kumudu hizo gharama basi wanatakiwa kusimamisha shughuli zingine za kimaendeleo na wengine kuingia madeni.

Hizi kesi zimepeleka kuleta migogoro isiyo ya lazima kwenye kaya nyingi za vijana wa kileo.

Mara zote nikifatwa nimekuwa nikishauri kwamba, Mwanaume somesha kutokana na uwezo wa kipato chako na matamanio yako jinsi unataka mwanao apate Elimu ipi.

Swali ni
Je, huko mlipo ndugu zangu, nanyi mnakutana na kesi za namna hii? Nini chanzo.
Hatari
 
Back
Top Bottom