Hizi ndio bei za mbolea ambazo wakulima watanunulia kuanzia Agosti 15, 2022 baada ya bilioni 150

Hizi ndio bei za mbolea ambazo wakulima watanunulia kuanzia Agosti 15, 2022 baada ya bilioni 150

Mh Rais wetu anaupiga mwingi Sanaa, Hakika anaipenda nchi hii na kuwajari wananchi anaowaongoza, amekonga nyoyo za wakulima, Amegusa maisha yao, Amewapa fulaha na matumaini makubwa Sana, Ni shujaa wa watanzania, Ni shujaa wa wakulima, Ni shujaa wa watanzania wazalendo, Ni shujaa wa uchumi shirikishi,
Kwani aliyekapandisha alikuwa nan?
 
kupambana sio tatizo wote tunaunga mkono ila je nani alifikisha bei ya mbolea huko kwenye laki na ushehe?
Bei imepanda kwa sababu ya ugonjwa wa Covid-19 na mgogoro unaondelea kati ya Ukraine na Russia ambao umeathiri kwa kiasi kikubwa uzalishaji na upatikanaji wa mbolea

Lakini Rais Samia amefanikisha kuleta wawekezaji kwaajili ya kujenga viwanza vya kuzarisha na kusambaza mbolea nchini
 
Waziri wa kilimo amesema bei ya mazao itapangwa lakini haitakua ya kumkandamiza mkulima maana hii campaign ya kilimo ni biashara ni kwaajili ya kuwainua wakulima na sio kuwadidimiza kama ilivyokua awali ata ukiangalia zao la pamba bei imepanda pia zao la korosho nk.
SIku zote, aliyepita ndiyo hubebeshwa lawama.. HIZO STATEMENT ZA KAMA ILIVYOKUWA AWALI ZIPO KILA PAHALA
 
"Ingeuzwa"......"ingeuzwa"/...."ingeuzwa"......blah blah

Hakuna kitu kama hicho.....
Kiasi kikubwa cha mbolea kinazalishwa nje kwaiyo Rais Samia hana uwezo huo wa kupandisha mbolea

lakini kilichosababisha kupanda kwa mbolea ni ugonjwa wa Covid-19 na mgogoro unaondelea kati ya Ukraine na Russia
 
Utashangaa kiukweli hii inaonyesha ni Kwa namna gani serikali inawasikiliza watu wake hasa katika kuhakikisha inawapunguzia makali wakulima kutokana na hali ya kupanda kwa bei za mbolea katika soko la dunia si Tanzania pekee bali ni ulimwenguni kote...​
Wapinzani wa serikali wanaiweza sana kazi ya kutanua magoli, watakuja na sababu nyingine ya kulalamika kwani ni jadi yao siku zote.
 
Bei imepanda kwa sababu ya ugonjwa wa Covid-19 na mgogoro unaondelea kati ya Ukraine na Russia ambao umeathiri kwa kiasi kikubwa uzalishaji na upatikanaji wa mbolea

Lakini Rais Samia amefanikisha kuleta wawekezaji kwaajili ya kujenga viwanza vya kuzarisha na kusambaza mbolea nchini
60 years tunaimba kilimo ni uti wa mgongo!
 
Utashangaa kiukweli hii inaonyesha ni Kwa namna gani serikali inawasikiliza watu wake hasa katika kuhakikisha inawapunguzia makali wakulima kutokana...​
Itakuwa hivi 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220811-125427.png
    Screenshot_20220811-125427.png
    114.1 KB · Views: 9
Utashangaa kiukweli hii inaonyesha ni Kwa namna gani serikali inawasikiliza watu wake hasa katika kuhakikisha inawapunguzia makali wakulima kutokana na hali ya kupanda kwa bei za mbolea katika soko la dunia si Tanzania pekee bali ni ulimwenguni kote. Zipo sababu kadhaa zilizosababisha bei kupanda ikiwemo ugonjwa wa Covid-19 na mgogoro unaondelea kati ya Ukraine na Russia ambao umeathiri kwa kiasi kikubwa uzalishaji na upatikanaji wa mbolea.

Kwa jitihada za serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan wakulima wa Tanzania sasa watanunua mbolea hizo kwa bei nafuu licha ya yote yanayoendelea ili tu isiathiri msimu wa kilimo na pia kuongeza uzalishaji wa chakula nchini.

AINA ZA MBOLEA NA BEI ZAKE
1. DAP ingeuzwa sh 131,676 bila ruzuku lakini sasa itauzwa sh 70000 ambapo ruzuku ya serikali ni sh 61676.

2. UREA ingeuzwa sh 124,734 bila ruzuku lakini sasa itauzwa sh 70000 ambapo ruzuku ya serikali ni sh 54,734.

3. CAN ingeuzwa sh 108,256 bila ruzuku lakini sasa itauzwa sh 60,000 ambapo ruzuku ya serikali ni sh 48,156.

4. SA ingeuzwa sh 82,852 bila ruzuku lakini sasa itauzwa sh 50,000 ambapo ruzuku ya serikali ni sh 32,852.

5. NPK's ingeuzwa sh 122,695 bila ruzuku lakini sasa itauzwa sh 70,000 ambapo ruzuku ya serikali ni sh 52,695.​
Ndugu zangu hizi zote ni Chenga na pumba tupu wanasiasa uchwara wanaendelea kutuchezesha akili zetu kama mazwazwa hakuna cha bilion wala trilion ni Upuuzi tu wa kushindwa kusimamia mambo ktk taifa,haya sasa huo ndio usanii wa kwenye mbolea na bidhaa nyingine je nini kitafanyika.Watu wakisha piga pesa yao ndio wanaleta ngonjela kuwahadaa watanzania.Ndugu zangu tupambanie katiba tutoke kwenye upumbavu huu unaoendelea ndani ya Tanzania.
 
Utashangaa kiukweli hii inaonyesha ni Kwa namna gani serikali inawasikiliza watu wake hasa katika kuhakikisha inawapunguzia makali wakulima kutokana na hali ya kupanda kwa bei za mbolea katika soko la dunia si Tanzania pekee bali ni ulimwenguni kote. Zipo sababu kadhaa zilizosababisha bei kupanda ikiwemo ugonjwa wa Covid-19 na mgogoro unaondelea kati ya Ukraine na Russia ambao umeathiri kwa kiasi kikubwa uzalishaji na upatikanaji wa mbolea.

Kwa jitihada za serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan wakulima wa Tanzania sasa watanunua mbolea hizo kwa bei nafuu licha ya yote yanayoendelea ili tu isiathiri msimu wa kilimo na pia kuongeza uzalishaji wa chakula nchini.

AINA ZA MBOLEA NA BEI ZAKE
1. DAP ingeuzwa sh 131,676 bila ruzuku lakini sasa itauzwa sh 70000 ambapo ruzuku ya serikali ni sh 61676.

2. UREA ingeuzwa sh 124,734 bila ruzuku lakini sasa itauzwa sh 70000 ambapo ruzuku ya serikali ni sh 54,734.

3. CAN ingeuzwa sh 108,256 bila ruzuku lakini sasa itauzwa sh 60,000 ambapo ruzuku ya serikali ni sh 48,156.

4. SA ingeuzwa sh 82,852 bila ruzuku lakini sasa itauzwa sh 50,000 ambapo ruzuku ya serikali ni sh 32,852.

5. NPK's ingeuzwa sh 122,695 bila ruzuku lakini sasa itauzwa sh 70,000 ambapo ruzuku ya serikali ni sh 52,695.​
Misukule ya magufuli lazima itapinga
 
Ndugu zangu hizi zote ni Chenga na pumba tupu wanasiasa uchwara wanaendelea kutuchezesha akili zetu kama mazwazwa hakuna cha bilion wala trilion ni Upuuzi tu wa kushindwa kusimamia mambo ktk taifa,haya sasa huo ndio usanii wa kwenye mbolea na bidhaa nyingine je nini kitafanyika.Watu wakisha piga pesa yao ndio wanaleta ngonjela kuwahadaa watanzania.Ndugu zangu tupambanie katiba tutoke kwenye upumbavu huu unaoendelea ndani ya Tanzania.
Tahila wewe,nyie wapuuzi kila Jambo mnalaumu na kupinga
 
Bei ni nzuri je wasambazaji katika maduka ya wilayani na agro dealers watanunua tshs.ngapi toka wakala ili nao wafanye biashara au zitapatikana hizo mbolea katika ofisi za vijiji.?
 
Bwanku M Bwanku.

Aina za Mbolea na Bei Zake
Ruzuku inaenda kuwa msaada mkubwa kwa wananchi, hongereni sana serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kupitia kwa Wizara ya Kilimo.


1. DAP ingeuzwa Sh 131,676/- bila ruzuku lakini sasa itauzwa Sh 70,000/- ambapo ruzuku ya serikali ni Sh 61,676/-.

2. UREA ingeuzwa Sh 124,734/- bila ruzuku lakini sasa itauzwa Sh 70,000/- ambapo ruzuku ya serikali ni Sh 54,734/-.

3. CAN ingeuzwa Sh 108,256/- bila ruzuku lakini sasa itauzwa Sh 60,000/- ambapo ruzuku ya serikali ni Sh 48,156/-.

4. SA ingeuzwa Sh 82,852/- bila ruzuku lakini sasa itauzwa Sh 50,000/- ambapo ruzuku ya serikali ni Sh 32,852/-.

5. NPK's ingeuzwa Sh 122,695/- bila ruzuku lakini sasa itauzwa Sh 70,000/- ambapo ruzuku ya serikali ni Sh 52,695/-.

Bwanku M Bwanku.
 

Attachments

  • a8ce7f35de4c4375987f3184f80e5eb0.jpg
    a8ce7f35de4c4375987f3184f80e5eb0.jpg
    81.5 KB · Views: 10
Back
Top Bottom