Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Mkuu Mo, anazo Scania labda kwakuwa ni matoleo ya nyuma. Kwenye kampuni zake kama Gleinrich na Maisha Transportation ana Scania,Daf XF/CF, Mercedes Benz Actros na hizo brand mbalimbali za kichina.Nimefanya kazi na moja ya kampuni za mwamedi, yule jamaa nasikia amewekeza kwenye nchi za Africa zaidi ya 30. Na makampuni kama 38 hv ndani na nje ya bongo. Hizo gari za mizigo analeta kwa makundi ya 100 mia. Mfano magari 300 au 500 n.k.
Ila hana Scania hata 1 ! Siri ya nyuma ya pazia ni kuwa, Bakhresa hufanya biashara ya magari pia. Ananunua jipya then akitumia miaka 10 analiuza. Kitu ambacho ni tofauti na mwamedi.
Ila kibiashara sio economy.. maana bei yake moja unapata mchina mbili ambayo kibiashara ni advantageAdvantage ya hizi Scania na Mercedes ni warranty kubwa/ndefu. Tofauti na mchina.
Kitu auto baba wee acha tuu mlimani unasikia gia zinavyojipanga tuu zenyewe na kuna sehemu unabonyeza butan hukanyaji exlator wala nini miguu unakunja 4 kwa raha zako kitu kinaserereka tuu chengewe wewe na staling yako kungoosha[emoji2][emoji2]Mercedes Benz washaanza nayo wanaiita MirrorEye. Sasa nikaambiwa na Scania 2020 wanazo kama Optional Package.
View attachment 1769839View attachment 1769840
Cruise Control (CC) π€£π€£π€£Kitu auto baba wee acha tuu mlimani unasikia gia zinavyojipanga tuu zenyewe na kuna sehemu unabonyeza butan hukanyaji exlator wala nini miguu unakunja 4 kwa raha zako kitu kinaserereka tuu chengewe wewe na staling yako kungoosha[emoji2][emoji2]
duh kwaio izo zlzopo apo n botion tu brazaNilisikia hazina side mirrors, zinatumia cameras.
Sizipendi zile zina kelele balaa sijui kwa nini hazipigwi stopHalafu eti bloangu Mwamedi na zile Bajaji zake zilizofungwa Injini za Machine za kusaga ndio Bilionea wetu namba moja..!!!
Ha aha aa.., Mzee zile zikikupita lazima utafute Kivuli upumzike!!!Sizipendi zile zina kelele balaa sijui kwa nini hazipigwi stop
Kwa madereva watakaopata ajira.Hayo matumaini ya biashara ni kwa mnunua scania au mwuuzaji.
Kwa madereva watakaopata ajira.
Asante mkuu. Ila kuna watu wana pesa Aisee. Inaweza kuwa kununua hayo magari kwake siyo ishu. Ishu kuyamentain wabongo ni wezi sana wataiba vipuri na mafuta.Mimi si mzoefu wa magari. Ila semi huwa nawasikia zinaenda mpaka 300M kwa kila kitu mpaka mkononi.
Please be serious unataka kuniambia mo alikurupuka kununua vile vigari bila kupewa ushauri wowote ule wa kitalamu?!! Unakosea sana so ulitaka atumie scania xt model kama hizo za azam kusambaza product kutoka mtaa mmoja kwenda mwingine are you serious na mo hawezi kushindwa kununua scania kama hizo za azam coz unamuongelea mmoja kati ya matajiri wadogo barani Afrika alafu na hizo scania XT MODEL mbona matajiri wengi wanazo heven asas anazo kibao na hata matajiri wa kawaida tu wanazimiliki mfano manyanya oil wa mbeya though yeye ni XT MODEL P320 coz abebi mzigo mzito na safari zake ni fupi fupi like dar-mbeya so be polite and smart enough unapokuwa unamzungumzia mtu kama mo!!!!!!![emoji23] Yale madude sijui Nani alimshauri
Sio rahisi upate kafiri yani ufike Babati upaki ukatafute kitimoto!!...Kiukweli βKafiriβ hupati ajira hapo ππππππ
Hahaa ukaambiwaje mkuu au uliona kweli hazina?Me niliposikia nikataka kujilidhisha nikaenda ofisi za scania kupata uhakika, πkama ni kweli hazina side mirrors?
Uongo mtakatifu huu.Mkuu mo kwenye mawasiliano yupo na ukiondoa kuwa moja ya msambazaji vocha ilaaba hisi nyingi voda yeye ndiye akiyenunua hisa za billion 300 kutoka kwa rostam kama nitakuwa nakumbuka vizur
Unadhani wamiliki hawajui hilo?Ila kibiashara sio economy.. maana bei yake moja unapata mchina mbili ambayo kibiashara ni advantage
Mo anatumia lori za kichina kusambaza bidhaa zake mikoaniKama unahitaji huo Mjadala njoo na data, ukisema swala la Viwanda bado huyo Mo hagusi, hizo Scania ni Mpya Ila unajuwa anazo Benz ngapi ambazo zipo barabarani?
Umeshawahi kuona gari anzotumia Mo kusambaza bidhaa zake Mikoani?
Is it?Hapa inaweza kuwa kweli mwamedi anavuta mpunga mrefu maana kawekeza sehemu nyingi na kampuni tofauti ila mzee said Salim yeye ni one man show tu