Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hv annual increment inakuwa Kila mwaka kwa mtumishi..?
Na Huwa inakuwa ni asilimia
ngapi kwa mshahara wa mtumishi..?
Yes unahama na mshahara wako na haupungui... ila ukikuta wana mshahara mdogo wewe hutaweza ongezewa daraja jipya zaidi ya kupata annual increment ambayo ni haki kwa kila mtumishi
 
Back
Top Bottom