Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Yeah hilo la kutojiamulia nafahamu mkuu, hata hapa hapa nchini tu ukitaka kutoka mkoa mmoja kuenda mwingine lazima uwe na kibali huwezi kujiamulia tu, nilitaka kushangaa hilo la kutokuruhusiwa kusafiri nje ya nchi hata kwa kibali
Yah hata ndani ya mkoa lazima uwe na kibali na unapofika unaripoti.
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Nyie vijana nani kawaambia Takukuru iingie hapo,ni salary za kawaida tuu
 
@bidam90 Kuna hawa jamaa wengine wanaitwa PURA vipi wao ukiwacompare na Ewura & TPDC? Msaada hapo Mkuu kama una ABCD yoyote?
PURA pia sio pabaya sana ila mwanzoni wakati inaanzishwa ndo ilikuwa vizuri zaidi sababu walikuwa wachache na ndo walikuwa wanaandaa miongozo so safari zilikuwa nyingi. Bado wanaendelea kutafuta vyanzo vipya vya kuingiza pesa ukiachana na tozo tu za kampuni zinazozalisha gesi Lindi na Mtwara.Labda kwa baadae mradi wa kubadili gesi kuwa maji(LNG) ukikamilika hapo watakuwa vizuri zaidi. Ila ni pazuri Ukilinganisha na TPDC.Ila hizo taasisi zote mbili (TPDC NA PURA) huwezi linganisha na EWURA😀.
 
NIRC&HALMASHAURI the same tu kwenye salary. hakuna miujiza yoyote ya posho wala nini! kuna mwanangu nimemkuta huku anauza maziwa ili asavaivu

serikali ifanye tathmin scale za watumishi wa halmashauri. wengi macho yamekua mekundu kisa stress
Halmashauri inategemea na makusanyo yao yakoje na Mkurugenzi pia kama habani .. mfano kama Manispaa ya Kinondoni kila mwezi wanapewa posho laki tatu kwa wote mpaka watu wanaojitolea

Pia kuna kile kipindi cha kuelekea mwisho wa quarter huwa kuna vikao vya Kamati za Kudumu + Ziara

Kwaiyo si haba sana kwa Halmashauri za mjini ila huko bush hali mbaya
 
PURA pia sio pabaya sana ila mwanzoni wakati inaanzishwa ndo ilikuwa vizuri zaidi sababu walikuwa wachache na ndo walikuwa wanaandaa miongozo so safari zilikuwa nyingi. Bado wanaendelea kutafuta vyanzo vipya vya kuingiza pesa ukiachana na tozo tu za kampuni zinazozalisha gesi Lindi na Mtwara.Labda kwa baadae mradi wa kubadili gesi kuwa maji(LNG) ukikamilika hapo watakuwa vizuri zaidi. Ila ni pazuri Ukilinganisha na TPDC.Ila hizo taasisi zote mbili (TPDC NA PURA) huwezi linganisha na EWURA😀.
Mie nahani sehemu za mamlaka ndio zina maokoto sana hata kuliko mashirika.. ni kweli EWURA wako vyema sana.
Napatamania sana basi connection tu imegoma.
 
PURA pia sio pabaya sana ila mwanzoni wakati inaanzishwa ndo ilikuwa vizuri zaidi sababu walikuwa wachache na ndo walikuwa wanaandaa miongozo so safari zilikuwa nyingi. Bado wanaendelea kutafuta vyanzo vipya vya kuingiza pesa ukiachana na tozo tu za kampuni zinazozalisha gesi Lindi na Mtwara.Labda kwa baadae mradi wa kubadili gesi kuwa maji(LNG) ukikamilika hapo watakuwa vizuri zaidi. Ila ni pazuri Ukilinganisha na TPDC.Ila hizo taasisi zote mbili (TPDC NA PURA) huwezi linganisha na EWURA😀.
Shukrani sana kiongozi. Respect
 
PURA pia sio pabaya sana ila mwanzoni wakati inaanzishwa ndo ilikuwa vizuri zaidi sababu walikuwa wachache na ndo walikuwa wanaandaa miongozo so safari zilikuwa nyingi. Bado wanaendelea kutafuta vyanzo vipya vya kuingiza pesa ukiachana na tozo tu za kampuni zinazozalisha gesi Lindi na Mtwara.Labda kwa baadae mradi wa kubadili gesi kuwa maji(LNG) ukikamilika hapo watakuwa vizuri zaidi. Ila ni pazuri Ukilinganisha na TPDC.Ila hizo taasisi zote mbili (TPDC NA PURA) huwezi linganisha na EWURA😀.
Ewura mhandis anaeanza anaweza kuvuta ngap?
 
PURA pia sio pabaya sana ila mwanzoni wakati inaanzishwa ndo ilikuwa vizuri zaidi sababu walikuwa wachache na ndo walikuwa wanaandaa miongozo so safari zilikuwa nyingi. Bado wanaendelea kutafuta vyanzo vipya vya kuingiza pesa ukiachana na tozo tu za kampuni zinazozalisha gesi Lindi na Mtwara.Labda kwa baadae mradi wa kubadili gesi kuwa maji(LNG) ukikamilika hapo watakuwa vizuri zaidi. Ila ni pazuri Ukilinganisha na TPDC.Ila hizo taasisi zote mbili (TPDC NA PURA) huwezi linganisha na EWURA😀.
Hivi kaka TPDC take home kwa technician ni ngap kwa mwezi..?
 
Laiti ungepata fursa ya kuja kushuhudia kidogo, ungekuja kusema ukweli wake humu[emoji23]
naot sijui kwanin mnajificha ficha ktk njaa msiyokuwa nayo 😂 5yrs ago ndio mlikuwa tia maji tia maji, ila hivi karibuni mnajivutia allowances sio haba kama zamani, mmefanya transformation kubwa kimaisha, sikuhiz hadi Education officer wenu ana uhakika wa kula Perdiem...
Ila ni kawaida mtu ukiwa sehem nzuri unapazoea unaona pakawaida unataka uende pazuri zaidi...
 
Hello guys! Naomba kujua kama Kuna mtu anayefahamu salary scale ya EWURA na remunerations nyingine kama per diem's, extra duty n.k....je uki compare na TPDC wapi kuna Maslahi bora zaidi?
Salary ya TPDC kwa upande wa B's anayeanza unaifahamu..?
 
Back
Top Bottom