Hiv NAOT wana posho nzuri kaka? Maana mishara yao ni midogo sana kawaida sana.Na serikalini kinachowaokoa WATUMISHI baadhi ya taasisi NI maposho na upigaji taasisi km NAOT pale MISHAHARA NI ya kawaida
ila Kazi zao NI za field trip Sana hivyo kinawabeba posho...
fiSa II wa TRA yoyote anaanzia 2.7 hiyo ndo tra scale ya sasa 4.1 scale, unakatwa laki 4 ya tra hapo hpo, inabaki 2.3 nfo makato mengine yanafuata baada ya makato ni around 1.68 mil take home hiyo, naongea nikiwa nasoma mkataba wa mwaka huu wa mshikaji wangu wa karibu sana.kwa maelezo yako mkuu inaonyesha huna uhakika ulichokiandika!
ulishafanya proff yoyote ukajua kiasi wanacholipwa ngorongoro?
ook hivi hujui Afisa tuu wa TRA mwenye dip anavuta mpunga mrefu!!? Mbali na hayo makando kando uliyoyaorodhesha!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umekaririshwa mkuuMtoa mada nikupe tu TAARIFA WATUMISHI wengi NI WATUMISHI wa kawaida wasokua na vyeo
Na mshahara wa MWISHO wa mtumishi wa serikali NI sh 2,727,500/- unless km ana cheo km mkuu wa KITENGO au idara au mkuu wa taasisi msikaririshane Mambo ambayo hayapo na nkupe tu TAARIFA huyo ambaye yupo TRA mwenye degree anaeanza Kazi Hana tofauti na mwenye degree ya maendeleo ya JAMII wa Moshi vijijini
Sent using Jamii Forums mobile app
NashuKru sana mkuu inatia moyo kwa kweli,NAOT safari nyingi sana, ukipata nenda
Tatizo la kuja na mada bila utafiti wa kutosha ndiyo hili hapo hakuna chochote kwenye hiyo list hapo kuna watu wana mishahara bana katengeneze list nyingine hizo taasisi inawezekana hao watu wa Karibu yako wanakuzidi mshahara unadhani ndiyo wanalipa vizuri just kwa sababu unalipwa kidogo ya wao..
Mkuu una uhakika?fiSa II wa TRA yoyote anaanzia 2.7 hiyo ndo tra scale ya sasa 4.1 scale, unakatwa laki 4 ya tra hapo hpo, inabaki 2.3 nfo makato mengine yanafuata baada ya makato ni around 1.68 mil take home hiyo, naongea nikiwa nasoma mkataba wa mwaka huu wa mshikaji wangu wa karibu sana, tuzidi kusaidiana kwa data zaidi ili tuujue ukweli...
Nilishawahi fanya TBS temporary, kazi ya kuingiza data tu, ata siyo kubwa, kwa mwezi tulikuwa tunapewa laki nane na kituMimi naikubali TBS
Kwa sieijiiNAOT safari nyingi sana, ukipata nenda
Bado ndogoNilishawahi fanya TBS temporary, kazi ya kuingiza data tu, ata siyo kubwa, kwa mwezi tulikuwa tunapewa laki nane na kitu
OSHA vp mishahara yao
Wako njema nao
Serikali hailipi mkuu, taasisi za serikali ni njaa tu labda zikiwa ofisi kama hizo zenye madeal muda wote...ila mshahara hawana, kwenye mashirika ya wakimbizi haya mkuu ni hatariWakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA