Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

- Afisa wa TRA vipi mbona Bado unalia? Kwa hiyo unataka kusema hata basics za taxation zilikupitia pembeni, Kuhusu ww kuwa Afisa wa TRA ni hoja tena hoja mujarabu kabisa, kwa sabbu ww mwenyewe umejinasibu uko TRA japo Mimi nilipinga, Sasa nakutishia na Maswali ya Taxation ukafyata mkia Afisa vipi tena? Sasa hutaki ni Conclude kwamba ww ni 'Incompetent'? Unaposema wataalam kwani wewe si mtaalam? eti Afisa wa TRA? Ukiajiriwa TRA na degree/ Diploma etc ww ni mtaalam hivyo huwezi kukosa basics za taaluma unayofanyia kazi, na ndiyo maana kwenye hoja yangu nikasema kwamba sio Lazima upate 100% hata ukipata 60% inatosha au Uliogopa nilivyokutajia Chuo cha Kodi (ITA), Sasa Kati ya Mimi na ww Nani mwenye uwezo mdogo? Kwanza ww ni muoga, ukitingishwa unatingishika.
- Hoja yangu na ugomvi wangu ulikuwa kwenye hayo maneno"Miaka hii" eti Afisa wa TRA? Mimi nimeomba tena kwa faida ya wanajf utaje exactly walizuia mwaka gani? haya neno miaka hii nini maana yake? Kuhusu Sheria inayo-govern utolewaji wa kamisheni inahusika 100% kwa sabbu huo Ni utaratibu ambao umeandikwa kwenye Sheria au miundo ya utumishi jeshini (hebu jaribu kumuuliza Mkuu wa Utumishi Jeshini) utajibiwa, Sheria ndiyo inaongoza utaratibu wowote pale, hiyo Sheria ndiyo itasema hivi mfano. Ili upande kutoka Private Hadi Koplo unatakiwa ufanye Nini (uende kozi gani), ili upande uwe commissioned Officer unatakiwa uwe na sifa zipi, i.e Kunakuwa na kitu Kama scheme of service ambayo nayo ni Sheria, Sheria Kama ikizuia form 6 itasema kabisa mfano hivi "Ili upate kamisheni ni lazima uwe na Shahada ya kwanza ya Taaluma yoyote kutoka chuo kikuu kinachotambulika na hiyo ni baada ya kwenda kwenye Mafunzo kwenye Chuo cha Taaluma ya kijeshi (TMA)" hivyo basi Sheria ndiyo inatoa masharti ya upandaji wa vyeo
-
-Kuhusu privilege za Majenerali Mimi hiyo hoja siku raise kabisa, any way ngoja nikujibu ukienda kwenye Fungu 57 utakuta Posho za majenerali, zipo zimetajwa kwa jumla kuwa ni kiasi gani kwa ujumla,mfano mwaka 2020 fedha za Majenerali zilizopokewa zilikuwa bilioni 4,
  • Yani acha kudhalilisha wanajeshi aisee yani ofisa wa Jeshi asiijue Sheria ya 'The National Defense Act'? ni Kama Afisa wa police (nyota kwenda juu) ashindwe kujua Police and 'auxilliary police act' ni aibu kubwa, kwa hiyo unataka kuniambia hao maofisa hawajafundishwa wakiwa RTS? hoja ya kusema sijui uingie Jeshini ndiyo utayajua Haina msingi wowote ule,
  • Sheria ndiyo ingekuongoza kuelewa Muundo wa Jeshi, ungepata kujua Unapandaje kwenda Koplo,sajenti,staffu sajenti (sajini taji), Warranty Officer,etc
-
 
- Kama maelezo ni marefu basi achana nayo
  • Wapi nimeonyesha kutojiamini? hivi mimi na wewe nani hajiamini? Yani umeshindwa hata kusema wewe Ni Customs Officer, Sasa hapo Kati ya wewe na Mimi nani Muoga.
  • hivi mimi sijajibu hoja gani ambayo ww umeleta? Haya umeuliza hoja ya maslahi ya majenerali japo siku raise lakini nimekujibu kwamba mfano.mwaka 2020/2021 (Mwaka wa fedha) pesa zilizopelekwa ni 4 bilioni Tanzanian shiling au hujaona hiyo? eti Afisa wa TRA! , Hoja ya maluteni ilikuwa very simple kutaja tu mwaka gani walirekebisha muunda wa kwenda kamisheni through kufanya marekebisho ya Sheria.
  • Miaka hii' ni miaka gani? Hivi hujui Sheria ndio inayoongoza utaratibu mzima wa kupata kamisheni? eeh Sasa tutaiachaje Sheria lengo tujue Regulations' ( au kwa jina lolote linalotumika) zilirekebishwa lini? Mwaka gani? Kwa hiyo umeshindwa kuuliza hao maafisa waliokupa baadhi ya taarifa? Hebu ulizia maafisa wakujibu, ww si inaonekana una access na maafisa

 
-Umeogopa kutaja position, huo ni Uoga, kwa sabab uliogopa mishale ambayo ingekujia baada ya kutaja, and infact umeniogopa kwa sabbu ya Maswali, unasema ni assumption zangu assumption wapi? Wakati ni kweli muoga umeonesha hujui 'Public Finance and Taxation' ungekuwa unajua vizur Public Finance and Taxation, usingeshindwa kujua Sheria zinazohusu bajeti mfano. Public finance Regulations',Katiba, Appropriation Act, Public finance Act, hivyo siyo assumption ni kweli umeonesha huna uwezo/ uelewa wa hizo Sheria, and infact Competence yako inatia shaka, endapo ungeonyesha basi uelewa wa hizo Sherria ambazo nimeziorodhesha hapo juu, ningeacha labda pengine ya kutaka kujua cheo chako huko TRA
  • Ofisa gani wa TRA hajui public finance? Au umesoma Sociology
  • Umeeleza mlolongo wa vitu ambavyo vingine Ni 'redundancy' Sasa ulipaswa ikiwezekana utaje Sheria, kwa Maana Mimi raia hizo Sheria nikizisoma mwenyewe ndiyo nitaelewa,
  • Kama walibadii utaratibu lazima walifanyia marekebisho ya Sheria Jeshi haliwezi kwenda kiholela
-kumbe baba kanituma wapo humo aibu
  • kwani kuingia kwa magumashi, hata kazi za kiraia magumashi yapo, ila Kama awali nilivyokwambia wanatofautiana viwango vya Uwazi taasisi Kama PSRS walau wanajitahidi kwa Uwazi, kuhusu kuvurugwa kwa utaratibu mbona hata sometimes sekta za kiraia wanavuruga utaratibu, mfano interview ya mwaka Jana ile ya TRA iliyosimamiwa na PSRS, utaratibu ulivurugwa, mithani ilivuja, kwenye ile interview kulikuwa na mtoto wa Prof kabudi, Mtoto wa Kamishna wa Maadili Jaji Mwangesi, Sasa kutokana na aibu ya mtihani kuvuja PSRS kujisafisha wakabatilisha ule usaili wakaitisha tena(nafasi nyingi) kile kitendo walau kilionesha uwazi kwenye utendaji
  • Lazima ujadili Sheria kwa sababu Sheria ndiyo zinakulinda, hata hiyo ajira yako uliyonayo inalindwa na Sheria, employer hawezi kukufukuza bila kufuata Sheria za utumishi wa umma (Kama uko sekta za kiraia),

 
- Kama ni Uoga umeonesha hata Wasomaji wenyewe wameona, Mimi najiamini kwa lolote lile, Ndiyo mana nakuruhusu kuleta hoja yoyote ile
  • Unasema nimeishiwa majibu majibu kwenye hoja gani? Mfano.umeuliza maslahi ya Majenerali nikakwambia kabisa kwa kukupa mfano kwamba 2020/2021 ilikuwa kiasi gani? au hukuuliza hili swali? japo Mimi kwenye hoja zangu siku li - raise Sasa wapi sijiamini, hivyo hoja ya kuishiwa majibu nayo imefeli
  • Kuhusu interviews za TRA (PSRS) yeah Kwenye post iliyopita nilisema walau, wanajitahidi kwa Uwazi, Ndiyo mana Mimi nime doubt ww kuwepo TRA, and infact umeogopa hata kutaja position yako, (Mimi sijakuuliza unafanya kazi TRA mkoa gani au H.Q hapana,) na kiuhalisia umelikimbia hili swali kabisa na umekiri
  • Unasema unajua Sheria Mkuu, swali ww unajua Sheria kweli? From the beginning ulishaonekana kwamba huna uelewa, mfano nakuuliza basics tu utaje General (jina la Sheria) hujataja, hakuna sehemu yoyote ile ambayo umeweza kujua Sheria zinazotumika hadi Mimi nikutajie, halafu wakati huo huo Unasema unauliza kwa Wahusika, Yani nakupa assignment ukatafute majibu lakini Bado unashindwa.
  • Kuhusu Privilege za majenerali narudia Tena kasome vitabu vya bajeti,zimewekwa Ni bilioni4 Tsh (zilizopokelewa),nimegundua huna uzoefu na masuala ya Bajeti, bajeti huwezi kukuta imeandika mshahara wa mfanyakazi mmoja mmoja, itachukua makaratasi zaidi ya maelfu, Ndiyo mana unakuta Bajeti sehemu imeandikwa 'Mishahara' ni let's say bilioni 10 Tsh,miradi ya mendeleo bilioni 2, and infact hiyo hoja ya maslahi ya Majenerali siku raise lakini majibu nimekupa, (Mimi nilicho raise ni Meja vs Kamishna wa Forodha na lilikuwa swali la mtego na ww ukalijibu bila umakini kwa kusema Meja Yuko juu ya Kamishna baadae ukagundua uka - retract), kwa hiyo nikikutajia bajeti yao ni sahihi kwa sababu Ndiyo stahiki zao hizo na narudia Tena hiyo hoja siku raise Kama unaweza onyesha
-
- yeah PSRS wanajitahidi kwenye Uwazi walau, huwezi kulinganisha na Majeshi,
 
- Kwanza kabisa inaonekana, husomi ninachoandika kwa ufasaha, wapi Mimi nimesema kuwa kila mtu anayefanya kazi TRA anajua finance? Ukinisoma vizuri utakuta Kuna sehemu nimeuliza/ nimejenga hoja kwamba pengine labda umesomea Sociology (rudia kusoma post ya juu), Kuhusu bajeti/ kuzuka mijadala ya Bajeti imezuka kutokana na ubishani kwamba bajeti ya Jeshi haijadiliwi ( na hapa uoionesha kwamba una kasoro Kwenye uelewa) halafu hii mada (mada kuu) ni Taasisi zenye mishahara minono TANZANIA au kichwa cha Habari hujakisoma?,
- Kinachofanya uonekane huna uelewa wa bajeti ni hivi mosi umeonesha wazi wazi kutokujua Sheria zinazotumika kwenye masuala ya bajeti na hii inathibitishwa na ww kutokujua Sheria zinazotumika kwenye Bajeti eg.appropriation Act, Katiba, public finance act, public finance Regulations', (hata Mbunge msukuma anazijua aibu), pili kitendo cha kusema bajeti inafichwa ndiyo imezidisha kuonesha kwamba wewe hujui kitu Kuhusu bajeti au (elimu yako Form 6), kwa hiyo unataka kusema bajeti ya Jeshi Ni trilioni 10? eti afisa wa TRA? Kwa taarifa yako mfano kwenye Bajeti ya 2020/2021 Mishahara/ Stahiki za majenerali zilizoombwa Ni Bilioni 6 walizopewa Ni Bilioni 4 au hulijui Hilo afisa wa TRA? ingekuwa hivyo unavyodhani wangepewa zote bilioni 6, hivyo hoja ya kusema Kuna bajeti ya Siri imefeli.
-Nakuuliza kuhusu Sheria kwa sababu Sheria ndiyo inayoongoza, ndiyo maana hata ww Afisa wa TRA, ukifukuzwa Kazi kinyume hoja utakayojenga ni kwamba muajiri hajafuata Sheria,
-Meja hawezi kumzidi Kamishna wa Forodha na ushuru wa bidhaa, (labda Meja wa US army,) hata awe kitengo gani Nilishakwambia kuwa Kamishna wa Forodha ni mkuu wa department ya Forodha nchi nzima, hivyo hata Meja awe kitengo gani hawezi hata kumfikia kwa nusu Kamishna wa Forodha, kumbe unakubali Kamishna wa Forodha siyo level ya Meja, halafu mwanzoni ulisema kanali halafu ukaongeza Meja jenerali unasahau sahau hovyo, Kama ni Magumashi Forodha na Ushuru wa bidhaa ndiyo penyewe makusanyo yake siyo mchezo hivyo hata magumashi yake siyo ya nchi hii.
  • Umekubali kuwa Sheria huzijui, hata a,b,c,d hunazo,
  • Nafanya conclusion baada Kukuuliza swali kwa mfumo wa assignment, nakupa muda wa kwenda kuuliza, ku-google,kufanya observation nk i.e nakupa haki ya kusikiliza halafu ukishindwa kujibu ndiyo nafanya conclusion sifanyi Conclusion kwa kukuonea kabisa Mkuu Mimi muungwana nakupa muda kabisa masaa kadhaa ya kufanya utafiti,
  • Hivyo vitu naviingiza / naviuliza kwa lengo la kupata majibu Afisa wa TRA?

 
Ila pia kinachowafanya Hawa jamaa wa survive Ni rushwa
 
Mwaka Kat ya 2012 nilikuwa field Happ tra Arusha principal tax officer alipata nyongeza ya mshara wa laki tano na alkuwa analalamika nikamuuliza ssa hyo wakt mwalimu graduate hat Mia tano abebi kwa mwezi alicheka tu akanimbia pambana hz mamb itaikuta mbele
 
Ikawaje,ulizikuta kweli?
 
  • Afisa umekunywa chai lakini? Okay kwende kwenye mada, Mimi swali langu nililiuliza vizuri tu kwamba Kama hujasoma Mambo ya finance pengine umesomea let say sociology, kitu ambacho sio kibaya, lakini kweli hata Kama umesomea Sociology ukose a,b,c,d za bajeti eti Afisa wa TRA? Kuhusu utaalam kwani ww muajiriwa wa TRA sio mtaalam? au utaalam wako una kasoro ndani yake?
  • Afisa vipi? Mbona unayumba, unajua Genesis ya kujadiliwa bajeti? hebu nenda kanisome vhhizur utanielewa and infact majibu yapo kwenye Post zilizopita, unaposema bajeti ya Jeshi siyo trilioni 2 inamaanisha ni trilioni 10? Hapo lengo langu ni ku - disprove hoja ya kusema bajeti ni zaidi ya hiyo waliyopewa, Bajeti ya majenerali nishakujibu walipewa bilioni 4 na Tena waliomba bilioni 6 wakapewa Bilioni 4, hiyo Ndiyo bajeti yao au unataka kusema bajeti ya majenerali ni Bilioni 200? eti Afisa wa TRA?
  • umechagua kujadili utaratibu halafu utaratibu wenyewe huujui, Sheria pia huzijui kote haupo
  • kuhusu wanajeshi kuendesha upande wowote ukishapata ajali na kun'goka meno Ndiyo utakuja kujua madhara yake, unaambiwa usitumie njia ya mwendokasi ww unatumia matokeo yake ni Kupata ajali, na kuleta madhara yako binafsi ya kuumia na madhara kwa Jeshi pia kwa maana hili suala sio la Mchezo,
  • Mimi sijawahi kuji contradict hata sehemu moja ,na nikiandika kitu huwa sibadilishi, huu mjadala ulifikia kwenye Bajeti ukasema kwamba bajeti yao haijadiliwi (kitu ambacho ni Uongo na ubabaishaji), ukaingiza suala la wanajeshi kuvunja Sheria za Usalama barabarani hivi mkuu huoni hapo hayo masuala ni mawili ambayo kila moja lina Sheria zake au nalo pia hujui? Haya Kama ni kuji contradict ww ndiye mwenye kujichanganya Mara useme haijadiliwi, Mara haipingwi, Mara useme Meja ana mzidi Kamishna wa Forodha mara ubadili useme kanali vipi Afisa unacho simamia Ni kipi?
- Meja hawezi kulingana kwa mshahara na Kamishna, Meja ni wa kumlinganisha na Meneja wa TRA Wilaya, ukiwa Mkuu wa kitengo cha Forodha ni boss mkubwa Sana huwezi kumlinganisha na Meja, hivyo basi kuwa Kamishna wa Forodha kuwa na
cheo kikubwa TRA Ndiyo sababu ya kumzidi Meja
  • privilege za kanali unamlinganisha na Kamishna wa Forodha? Kamishna wa Forodha ni big boss responsibility allowance ya Kamishna wa Forodha inalingana na ya kanali? ww si uko TRA hebu taja (Kama unajua Kama hujui acha)
  • Hebu taja hayo maswali yasiyohusiana?

 
Kuna traffic huku chanika alifariki bhaana, ile kwenda kwake kabisa watu hawakuamini nyumba alokuwa akiishi. Pale kaweka kama 150,000,000 na unaambiwa ana nyumba 3.
Ndio maan amefariki kwa ulaji rushwa na kilazimisha makosa sas kaacha hyo nyumba
 
samahani ww ni mwanajeshi? nmeuliza tu mana unatema madini kama msemaji wa jeshi
 
samahani ww ni mwanajeshi? nmeuliza tu mana unatema madini kama msemaji wa jeshi
Haha mimi ni raia kama wewe tu mkuu! Sema ninafuatilia sana na nina uelewa wa mambo yanayohusiana na jeshi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…