Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Kwahiyo kujua mambo ya jeshi ndiyo maana yake mimi ni mwanajeshi? Au unaumia mimi kuwepo TRA mkuu sababu mnadanganyana mitaani kuwa TRA kuna pesa nje nje?
- kwa maisha na ajira ya Tanzania kipato cha kuanzia milioni 2 sio pesa ndogo,
 
-
-Kama haihusiani na sociology Wala finance, basi taja Taaluma yako mkuu mfano Mimi (registered Land surveyor),kwa majibu yako inaonesha huna a,b,c,d za Bajeti (Nina uhakika 100%), First Unakumbuka ulisema bajeti ya Jeshi ni shilingi ngapi? nikaja kukusahihisha, second unakumbuka ulisema bajeti ya Jeshi haijadiliwi bungeni? Kitu ambacho ni Uongo 100% kwa hoja hizo mbili nimeamini hujui Mambo ya bajeti 100%
- hakuna taratibu za fedha za Jeshi, taratibu zinazotumika ni zile za fedha za umma (ambazo ni Sheria za Public finance act, public finance Regulations', Appropriation Act,Katiba)ambazo zinatumika Sehemu nyingine Kama Tamisemi etc, kwenye fedha hakuna kitu kinachoitwa taratibu za Jeshi, Ni Uongo, hata mifumo ya ukaguzi (IPSAS,IFRS) ni ile ile ya sekta za kiraia, hence CAG wanawakagua kwa hizo Sheria na mifumo ya ukaguzi ni ile ile ya sekta ya kiraia.
-sasa umekubali kwamba Meja hawezi kumfikia Kamishna wa Forodha, halafu kwenye Sheria zetu za Umma hakuna utaratibu wa kulipwa mishahara miwili hakuna, Sheria ya utumishi wa Umma na Kanuni zake za utumishi wa umma,Wala Standing Orders hazirihusu mtu kulipwa two salaries, narudia tena hakuna hicho kifungu kwenye Sheria zetu Ni uongo
  • Sheria ya the national Defense Act'ulikuwa huijui, and infact nilikupa muda wa kuuliza hao maafisa ukashindwa kulijua Hilo Kama ungekuwa unajua ungesema
  • kwani Nani hajui TRA Kuna magumashi? Nenda kasome Report ya Jaji Warioba inaitwa (The State and Corruption ukisoma hiyo utakuta ame articulate vitengo vyote jinsi wanavyokula rushwa)
  • Sasa unaona ulivyomuongo bajeti ya majenerali nishakujibu ni Bilioni 4 na Waliomba bilioni 6 Sasa Kama ingekuwa kujichotea si wangepewa bilioni 10? eti Afisa feki wa TRA?
  • kwa hiyo Kama kilichoandikwa kwenye Bajeti hakina uhalisia, ww unadhani bajeti ya trilioni 2 ni ndogo? By the way mbona hueleweki mwanzoni si ulikuja na hoja kwamba Jeshi sio pana lina Taasisi (mafungu matatu) i.e Ngome, Wizara na JKT? Kwamba Taasisi ni ndogo kuliko Wizara ya uchukuzi? au umesahau?

 
Aahh wapi mkuu siko desperate na urafiki kiasi hicho! By the way jamaa ukweli unaujua sema anataka kuleta ligi tu anataka tujadili fantasies badala ya kujadili uhalisia wa mambo!
- afisa feki wa tra usilie,
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Binadamu hatuna shukrani mzee
 
-umekiri mwenyewe hujui Mambo ya Bajeti, Bajeti iliyotolewa na trilioni 2.3 sh Tz, huo ndio ukweli, au unataka kusema Bajeti ya Jeshi trilioni 15? Unajua maana ya Bajeti lakini? Kwanza hata Bajeti yenyewe wanayoomba hawapewi yote kwa 100%, Kuna baadhi ya fedha hawapewi kutokana na ukosefu wa Mapato ya kutosha,
  • Jeshi wakikiuka Sheria CAG akiingia kwenye ukaguzi huwa anasema kabisa Kwamba amegundua Kuna udhaifu sehemu fulani, hata ppra nao walishawahi kufanya ukaguzi kwenye manunuzi ya Jeshi na zabuni za Jeshi wakakosoa utaratibu
  • unavyosema bilioni 4 ni kidogo, swali je unajua Tanzania Kuna majenerali wangapi?(kuanzia brigedia Hadi cdf)? Ukitaka kufanya uchambuzi ni Lazima ujue idadi yao
-
  • haya Sasa eti mifumo ya ukaguzi ya Jeshi ni tofauti na ya kiraia? Hata huoni aibu? Labda nikuulize swali je umewahi kusoma hata Ripoti za CAG? au Ripoti za Ppra?, Mifumo unaotumika TANZANIA kukagua ni IAS- International Accounting standard, IFRS- international financial reporting standard, na IPSAS,) hivyo hakuna mfumo Unaitwa wa Jeshi, na kwa hoja nii nimegundua huna hata a,b,c,d za Uhasibu Wala Auditing, na hujui hata principle za ukaguzi wa fedha, narudia Tena hakuna utaratibu unaoitwa wa Jeshi kwenye Jeshi mifumo inayotumika sehemu zote ndio hiyo niliyokutajia ya IPSAS,IFRS,na IAS, ungekuwa umesoma (katafute Sehemu ujifunze Auditing, Cooporate reporting usije ukatia aibu Tena)
  • Mimi nilkuachia assignment utaje tu Sheria inayotumika mbona ulishindwa? eti afisa kutaja maneno manne tu ukashindwa
  • Kama siyo Bilioni 4 basi taja Ni bilioni ngapi? hebu uliza uliza basi huko unakoulizaga au tuseme bajeti ya majenerali Ni bilioni 500 kwa mwaka t.sh au sio
  • Acha Uongo kwenye utumishi wa Umma hakuna Sheria inayosema Kwamba mtu atalipwa mishahara miwili hakuna hicho kifungu hakuna, kasome Sheria zote hakuna, na hapa umezidi kuonesha huna hata a,b,c,d za Sheria za Kazi za Tanzania eti afisa? Kinachofanyika Ni Kwamba unalipwa salary ambayo ni kubwa, huwezi kulipwa mishahara Mara mbili, Hakuna huo utaratibu kwenye Sheria, kinachofanyika Ni Kwamba unachukua' the higher salary' halafu hata majina ya majenerali huwajui Ngoja nikutajie yule aliyekuwa (Pccb anaitwa Mej.jen.Mbungo, na wa msd anaitwa Jen.mhidze,) eti afisa wa TRA mbona unatia aibu hivi!

-hizo higher Post Hakuna uholela kwenye kulipana hazina hawawezi kuidhinisha mishahara miwili kwa mtu mmoja, Yani kwa uelewa wako ukiona ni jenerali anakwapua tu mishahara eti afisa? Huwezi kulipa mtu mmoja two salaries, HAZINA HAWAIDHINISHI KWA SABABU HAKUNA UTARATIBU HUO
  • kwa hiyo unataka kusema walipewa trilioni 10? hivi huoni aibu? CAG akikagua vitabu huoni atakuta kuna kasoro na hiyo inaenda kuathiri Hadi kwenye mahesabu kwa SABABU hayata balance,
  • wewe Sheria gani hasa unayoijua? Sheria za Kazi hujui, Katiba hujui, Taxation hujui,eti afisa? ungekuwa unajua Sheria ungesema bajeti ya Jeshi haijadiliwi? haya maneno yakitakiwa yasemwe na mtu wa form 4 ambayo uelewa wake ni mdogo.

 
Ndiyo maana tangu mwanzo nilisema kuwa kama hiyo pesa nayo ni kubwa basi hata jeshi nalo linalipa vizuri! Tofauti na baadhi ya watu wanavyosema kwamba eti jeshini "hakuna kitu"!
- basi tuseme mshahara uko hivi
-luteni Milioni 20
-kapteni milioni 40
-meja milioni 50
  • Luteni Kanali milioni70
  • Kanali milioni 90
 
- basi tuseme mshahara uko hivi
-luteni Milioni 20
-kapteni milioni 40
-meja milioni 50
  • Luteni Kanali milioni70
  • Kanali milioni 90
Waringe.. mishahara ya wanajeshi ni ya kawaida sana sema kwa kujishaua wanalipwa mishahara mikubwa tuliopita jkt tunajua hali zao
- basi tuseme mshahara uko hivi
-luteni Milioni 20
-kapteni milioni 40
-meja milioni 50
  • Luteni Kanali milioni70
  • Kanali milioni
 
- Hakuna hoja hata moja yangu umejibu, halafu unasema Nina uwezo wa ku - Conclude Mambo chambua niliyokuandikia hapo juu usome uelewe
-Mbona hujajibu hoja yangu hata moja hapo juu?
- hebu jibu basi Kama kweli umeiva kwenye Uhasibu na Auditing, Yani hujajibu hata hoja moja hapo juu eti afisa wa TRA?
-
  • mengine yote ni repetition sijui Kuvunja Sheria za Usalama barabarani nilishajibu tayari tena zaidi ya Mara moja?,
  • Mambo ya rushwa kwenye Jeshi nilishajibu kwa mfumo tofaut Tena nikakupa hata na Ripoti ya kusoma,
  • hamna hoja Mpya.

 
- brigedia analipwa milioni 200
  • meja jenerali milioni 300
  • Luteni jenerali milioni 400

 
Hakuna jipya
 
Huenda umewahi kufanya kazi ngome saccos mkuu?so ni obvious mishahara ya wajeda utaijua tu.
 
Yaani unataka kuniambia mwanasheria wa ngazi ya degree alipwe mshahara mdogo kuliko mwalimu wa degree ambaye anaanzia sio chini ya 740k?
Mwanasheria (legal officer au officer yoyote) salary wanaanzia sawa hakuna mshahara wa legal officer mfano legal officer akiajiruwa wizarani anaanzia TGS D ambayo gross ni 710k

Braza hapa nadhani unaongelea Hawa legal officers wa TAMISEMI @ Mkoani na Halmashauri.

Hawa akiwa na Bach huanza na TGS D ila kama ana Muhuri ni TGS E ni kama muhasibu tu.

Akiwa na Bach TGS D ila kama ni CPA holder mi TGS E.

Ila legal officers wa Taasisi Wana mpunga mrefu.

Mfano; BRELA Legal Officer II (entry) ni Mil 1.8

#YNWA
 
TAJIRI SERIKALI ya Leo haiajiri form 4 inaajiri professional fulani au major fulani upande wa JWTZ hawana salary kubwa hapa tunaongelea entry level
Kulingana ma miongozo ya Utumishi level ya chini kabisa ya ajira serikalini ni Form 4.

Zamani ilikua la Saba, May/2012 yakafanyika marekebisho ya Sheria na sasa ni form 4.

#YNWA
 
Vipi mwanasheria mwenye level ya degree anaanzia kiasi gani kwa anayefahamu.
TAMISEMI (Wizarani, Mkoani na Halmashauri) + pamoja na Taasisi zenye kufata salary scale za TGS

Legal officer II (entry level)
Akiwa na Bach tu TGS D = 710K

Akiwa na Muhuri pia = TGS E = 950K

#YNWA
 
Huko ndio maana watu wanapakomaliaga sana
 
-hamna jipya yote ya zamani, sioni kipya,
-
  • Una basic knowledge ya Uhasibu halafu hujui mifumo ya ukaguzi ya IPSAS,IAS,IFRS hivyo Ni vitu basic,
  • Nani kakwambia Mimi Auditor? Mimi Ni registered land surveyor nimesajiliwa na bodi ya wapima ardhi Kama Land surveyor.
  • Mada ishaisha hakuna hoja mpya
 
Hakuna jipya wakati hujajibu kitu? Wewe hoja zako unataka nizijibu directly nisizunguke ila wewe zangu haujibu directly unazunguka tu halafu unasingizia umejibu kwa mfumo tofauti kwahiyo na mimi niseme nilikujibu kwa mfumo tofauti siyo?
  • Uelewa wako mdogo kwenye Uhasibu, halafu unasema umesoma basics za Uhasibu ungekuwa umesoma usingeshindwa kujua IFRS, IPSAS,na IAS,
  • Mimi mpima ardhi hayo ya UHASIBU basic nilisoma nikiwa ARIMO (ARDHI INSTITUTE MOROGORO)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…