Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Kwahiyo kujua mambo ya jeshi ndiyo maana yake mimi ni mwanajeshi? Au unaumia mimi kuwepo TRA mkuu sababu mnadanganyana mitaani kuwa TRA kuna pesa nje nje?
- kwa maisha na ajira ya Tanzania kipato cha kuanzia milioni 2 sio pesa ndogo,
 
-
Aliyekuambia kwamba sizijui abc za bajeti nani kama siyo assumptions zako eti kwa sababu unaona kuna vitu nimekataa kukujibu! Mimi ni mtaalam kwenye fani yangu niliyosomea na kwenye position niliyoajiriwa ambayo labda kwa kukupa hint tu haihusiani na mambo ya finance wala sociology!

Ila hilo halinizuii mimi kujadili kuhusiana na mambo ya bajeti ninayoyafahamu hasa kwenye taasisi ya jeshi ambayo angalau nina uelewa kuihusu kutokana na kuzijua baadhi ya sheria na taratibu zao! Na mengi niliyoyapata kutoka kwa baadhi ya maafisa wao wakuu wa vitengo fulani jeshini ninaowafahamu!

Ndiyo maana tangu mwanzo nakuambia hizo sheria zipo hata google mtu unaweza ukazigoogle hizo acts ukazipata na ukasoma hizo sheria! Sasa mimi ningetaka kuleta ujuaji kama wewe unafikiri ningeshindwa kugoogle acts na kuzisoma hizo sheria ili nije kukujibu ili twende sawa unafikiri nimeshindwa?

Mbona hata National Defence Act ninayo niliwahi kutumiwa na vile vile hata google ukiitaka utaipata! Mimi najadili vile vitu ambavyo havipo google wala havijaandikwa kwenye sheria ila kiuhalisia vinafanyika na serikali ndiyo inaviruhusu!
Hivyo usijifiche kwenye sheria tu katika muktadha kama huu!

Kuhusu hayo magari ya wanajeshi kupita upande wowote wa barabara ni ajali ngapi unazozisikia zimesababishwa na hayo magari yao kama siyo assumptions zako tu na je unafikiri serikali haijui hilo la ajali? Na wanajua kuwa raia tukiwaona huwa tunawapisha tu hivyo ni ngumu kwa hizo ajali kutokea!

Kamishna wa forodha anaweza kuzidiwa mshahara na Meja kwa sababu unaweza kuta labda mtu ni Meja wa jeshi ila akapelekwa kwenye taasisi ya kiraia akawekwa kama mkuu wa kitengo fulani! Huyu mtu anakuwa anapokea mshahara wa jeshi na wa hiyo taasisi so inawezekana kumzidi Kamishna wa forodha!

Maswali yasiyohusiana nilikupa mfano kuhusu kutokuwepo na maluteni wa form six wewe ulisema wapo mimi nikasema hawapo nikakupa na utaratibu ukaona hapo umeishiwa hoja ukaja na habari za sheria ya utolewaji wa nyota! Au nikuletee wewe hiyo National Defence Act unichambulie hiyo sheria?

Kuhusu bajeti ulilazimisha kwamba kila wanachopewa wanajeshi kimeandikwa kwenye sheria ukasema eti pesa za umma hazichezewi kiasi hicho! Pesa za umma zingekuwa hazichezewi unafikiri huku TRA kungekuwa na pesa za magumashi na huku serikali inajua halafu eti unaleta story za public finance act?

Na ndiyo nikakuambia sasa hiyo 4B ni pesa ya posho tu za hao general officers bado privileges ambazo ukijumlisha gharama zote zinazidi hizo 4B so utajua tu kuwa kuna pesa ya ziada wanayopewa wanajeshi ambayo haichapishwi na iko nje ya bajeti kuu sababu pesa wanayopewa na matumizi yao haviendani!

Ndiyo maana nasema ungekuwa walau una uelewa kuhusu matumizi ya jeshi na namna linavyoendeshwa ungeweza kujiongeza kwa kujaribu kuoanisha pesa wanayopewa na matumizi yao! Wanaojua hili hawawezi kukazania sheria maana hicho kilichoandikwa kwenye bajeti kuu hakina uhalisia!
-Kama haihusiani na sociology Wala finance, basi taja Taaluma yako mkuu mfano Mimi (registered Land surveyor),kwa majibu yako inaonesha huna a,b,c,d za Bajeti (Nina uhakika 100%), First Unakumbuka ulisema bajeti ya Jeshi ni shilingi ngapi? nikaja kukusahihisha, second unakumbuka ulisema bajeti ya Jeshi haijadiliwi bungeni? Kitu ambacho ni Uongo 100% kwa hoja hizo mbili nimeamini hujui Mambo ya bajeti 100%
- hakuna taratibu za fedha za Jeshi, taratibu zinazotumika ni zile za fedha za umma (ambazo ni Sheria za Public finance act, public finance Regulations', Appropriation Act,Katiba)ambazo zinatumika Sehemu nyingine Kama Tamisemi etc, kwenye fedha hakuna kitu kinachoitwa taratibu za Jeshi, Ni Uongo, hata mifumo ya ukaguzi (IPSAS,IFRS) ni ile ile ya sekta za kiraia, hence CAG wanawakagua kwa hizo Sheria na mifumo ya ukaguzi ni ile ile ya sekta ya kiraia.
-sasa umekubali kwamba Meja hawezi kumfikia Kamishna wa Forodha, halafu kwenye Sheria zetu za Umma hakuna utaratibu wa kulipwa mishahara miwili hakuna, Sheria ya utumishi wa Umma na Kanuni zake za utumishi wa umma,Wala Standing Orders hazirihusu mtu kulipwa two salaries, narudia tena hakuna hicho kifungu kwenye Sheria zetu Ni uongo
  • Sheria ya the national Defense Act'ulikuwa huijui, and infact nilikupa muda wa kuuliza hao maafisa ukashindwa kulijua Hilo Kama ungekuwa unajua ungesema
  • kwani Nani hajui TRA Kuna magumashi? Nenda kasome Report ya Jaji Warioba inaitwa (The State and Corruption ukisoma hiyo utakuta ame articulate vitengo vyote jinsi wanavyokula rushwa)
  • Sasa unaona ulivyomuongo bajeti ya majenerali nishakujibu ni Bilioni 4 na Waliomba bilioni 6 Sasa Kama ingekuwa kujichotea si wangepewa bilioni 10? eti Afisa feki wa TRA?
  • kwa hiyo Kama kilichoandikwa kwenye Bajeti hakina uhalisia, ww unadhani bajeti ya trilioni 2 ni ndogo? By the way mbona hueleweki mwanzoni si ulikuja na hoja kwamba Jeshi sio pana lina Taasisi (mafungu matatu) i.e Ngome, Wizara na JKT? Kwamba Taasisi ni ndogo kuliko Wizara ya uchukuzi? au umesahau?

 
Aahh wapi mkuu siko desperate na urafiki kiasi hicho! By the way jamaa ukweli unaujua sema anataka kuleta ligi tu anataka tujadili fantasies badala ya kujadili uhalisia wa mambo!
- afisa feki wa tra usilie,
 
Mwaka Kat ya 2012 nilikuwa field Happ tra Arusha principal tax officer alipata nyongeza ya mshara wa laki tano na alkuwa analalamika nikamuuliza ssa hyo wakt mwalimu graduate hat Mia tano abebi kwa mwezi alicheka tu akanimbia pambana hz mamb itaikuta mbele
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Binadamu hatuna shukrani mzee
 
Mkuu nilisema bajeti ya jeshi haijadiliwa bungeni sababu ile inayojadiliwa siyo bajeti halisi narudia tena kusema bajeti ya jeshi siyo 2.3T hilo tutaendelea kubishana wala hatutamaliza! Yes inawezekana siyajua mambo ya bajeti kwa asilimia 100 ila nina uhakika kabisa kuwa naijua bajeti ya jeshi inavyotolewa!

Ni wapi nimesema pesa zinatolewa kwa taratibu za kijeshi umenisoma vizuri ukaelewa kweli au unajaribu kupindisha? Nimesema na nitaendelea kusema kwamba bajeti ya jeshi siyo yote inayotolewa inajadiliwa au kuwekwa kwenye maandishi nyingine inakaguliwa tu ila haichapishwi popote!

Kuhusu sheria nilishakuambia usifikiri hii nchi inaandika kila kitu kuhusu namna pesa za umma zinavyotumika pamoja na kwamba hizo pesa wamezitungia sheria na kuziwewekea miongozo! Wao pia kuna circumstances ambazo zinawafanya wakiuke hizo sheria ndiyo nikabase kwa upande wa jeshi!

Wewe umejuaje kama mifumo ya ukaguzi kwa jeshi ni kama ile ile ya kiraia tatizo lako unalazimisha jeshi na taasisi za kiraia vifanane kila kitu wakati haiwezekani! Umesema magumashi ya TRA yanajulikana so that means pesa za umma hapo ndiyo hazichezewi au vipi na vipi kuhusu matraffic je?

Kuhusu National Defence Act unasema siijui eti kisa sikusema haha what a lame argument! Nilikupa utaratibu uliopo kwenye sheria zao namna jeshi linavyofanya recruitment hadi mtu kufikia uofisa sasa wewe uliyekuwa unaijua hiyo National Defence Act mbona hukuichambua hiyo sheria ukaileta?

Bajeti hawajichotei inakaguliwa na inatambulika na hiyo 4B ni pesa ya posho zao tu bado privileges sasa kwa akili yako ukijumlisha expenses za privileges zote za majenerali unafikiri hiyo inawatosha? Ni kwamba huzijui privileges zote za majenerali ndiyo maana unaona hiyo pesa ni kubwa sana!

Teh unasema hakuna sheria ya mtu kulipwa mishahara miwili labda uraiani ila jeshini watu wanalipwa na mifano tunayo! Mfano yule Brigedia Jenerali aliyekuwa Mkurugenzi wa PCCB alikuwa analipwa mshahara wa jeshi na wa PCCB na huyu Brigedia Jenerali Mkurugenzi wa MSD naye ni hivyo hivyo!

Ila kwa vile hujui hayo utakuja hapa kusema unataka tujadili sheria na bla bla wakati uhalisia hauko hivyo! Halafu mtu akikataa kujadili hizo sheria unasingizia kwamba hajui wakati kiuhalisia huko ni kutoka kwenye reli na kupotezeana muda tu sababu watu tunataka tujue uhalisia unaoendelea!

Trilioni 2 kwa matumizi yote ya jeshi ni ndogo mkuu ndiyo maana nasema wewe unaiona kubwa sababu huyajui matumizi yote ya jeshi! Wewe umeishia hapo tu kwenye mishahara posho zana za kivita na maduka ya duty free ila laiti ungeyajua matumizi yao yote ungeelewa ninachokisema!

Ndiyo maana tangu mwanzo nakuambia ningekuwa sizijui hizo sheria basi ningeenda google nikaja nikazileta hapa ili tuzijadili simple tu! Lakini sijataka sababu najua kuwa sheria zipo ila mimi nimejadili ambayo yanafanyika na hayawekwi wazi kwenye sheria zozote hivi hilo nalo ni gumu sana kuelewa?
-umekiri mwenyewe hujui Mambo ya Bajeti, Bajeti iliyotolewa na trilioni 2.3 sh Tz, huo ndio ukweli, au unataka kusema Bajeti ya Jeshi trilioni 15? Unajua maana ya Bajeti lakini? Kwanza hata Bajeti yenyewe wanayoomba hawapewi yote kwa 100%, Kuna baadhi ya fedha hawapewi kutokana na ukosefu wa Mapato ya kutosha,
  • Jeshi wakikiuka Sheria CAG akiingia kwenye ukaguzi huwa anasema kabisa Kwamba amegundua Kuna udhaifu sehemu fulani, hata ppra nao walishawahi kufanya ukaguzi kwenye manunuzi ya Jeshi na zabuni za Jeshi wakakosoa utaratibu
  • unavyosema bilioni 4 ni kidogo, swali je unajua Tanzania Kuna majenerali wangapi?(kuanzia brigedia Hadi cdf)? Ukitaka kufanya uchambuzi ni Lazima ujue idadi yao
-
  • haya Sasa eti mifumo ya ukaguzi ya Jeshi ni tofauti na ya kiraia? Hata huoni aibu? Labda nikuulize swali je umewahi kusoma hata Ripoti za CAG? au Ripoti za Ppra?, Mifumo unaotumika TANZANIA kukagua ni IAS- International Accounting standard, IFRS- international financial reporting standard, na IPSAS,) hivyo hakuna mfumo Unaitwa wa Jeshi, na kwa hoja nii nimegundua huna hata a,b,c,d za Uhasibu Wala Auditing, na hujui hata principle za ukaguzi wa fedha, narudia Tena hakuna utaratibu unaoitwa wa Jeshi kwenye Jeshi mifumo inayotumika sehemu zote ndio hiyo niliyokutajia ya IPSAS,IFRS,na IAS, ungekuwa umesoma (katafute Sehemu ujifunze Auditing, Cooporate reporting usije ukatia aibu Tena)
  • Mimi nilkuachia assignment utaje tu Sheria inayotumika mbona ulishindwa? eti afisa kutaja maneno manne tu ukashindwa
  • Kama siyo Bilioni 4 basi taja Ni bilioni ngapi? hebu uliza uliza basi huko unakoulizaga au tuseme bajeti ya majenerali Ni bilioni 500 kwa mwaka t.sh au sio
  • Acha Uongo kwenye utumishi wa Umma hakuna Sheria inayosema Kwamba mtu atalipwa mishahara miwili hakuna hicho kifungu hakuna, kasome Sheria zote hakuna, na hapa umezidi kuonesha huna hata a,b,c,d za Sheria za Kazi za Tanzania eti afisa? Kinachofanyika Ni Kwamba unalipwa salary ambayo ni kubwa, huwezi kulipwa mishahara Mara mbili, Hakuna huo utaratibu kwenye Sheria, kinachofanyika Ni Kwamba unachukua' the higher salary' halafu hata majina ya majenerali huwajui Ngoja nikutajie yule aliyekuwa (Pccb anaitwa Mej.jen.Mbungo, na wa msd anaitwa Jen.mhidze,) eti afisa wa TRA mbona unatia aibu hivi!

-hizo higher Post Hakuna uholela kwenye kulipana hazina hawawezi kuidhinisha mishahara miwili kwa mtu mmoja, Yani kwa uelewa wako ukiona ni jenerali anakwapua tu mishahara eti afisa? Huwezi kulipa mtu mmoja two salaries, HAZINA HAWAIDHINISHI KWA SABABU HAKUNA UTARATIBU HUO
  • kwa hiyo unataka kusema walipewa trilioni 10? hivi huoni aibu? CAG akikagua vitabu huoni atakuta kuna kasoro na hiyo inaenda kuathiri Hadi kwenye mahesabu kwa SABABU hayata balance,
  • wewe Sheria gani hasa unayoijua? Sheria za Kazi hujui, Katiba hujui, Taxation hujui,eti afisa? ungekuwa unajua Sheria ungesema bajeti ya Jeshi haijadiliwi? haya maneno yakitakiwa yasemwe na mtu wa form 4 ambayo uelewa wake ni mdogo.

 
Ndiyo maana tangu mwanzo nilisema kuwa kama hiyo pesa nayo ni kubwa basi hata jeshi nalo linalipa vizuri! Tofauti na baadhi ya watu wanavyosema kwamba eti jeshini "hakuna kitu"!
- basi tuseme mshahara uko hivi
-luteni Milioni 20
-kapteni milioni 40
-meja milioni 50
  • Luteni Kanali milioni70
  • Kanali milioni 90
 
- basi tuseme mshahara uko hivi
-luteni Milioni 20
-kapteni milioni 40
-meja milioni 50
  • Luteni Kanali milioni70
  • Kanali milioni 90
Waringe.. mishahara ya wanajeshi ni ya kawaida sana sema kwa kujishaua wanalipwa mishahara mikubwa tuliopita jkt tunajua hali zao
- basi tuseme mshahara uko hivi
-luteni Milioni 20
-kapteni milioni 40
-meja milioni 50
  • Luteni Kanali milioni70
  • Kanali milioni
 
Yaani we jamaa unafurahisha sana! Kwahiyo kwa sababu sijataja majina ya hao majenerali ndiyo maana yake siwajui au ulitaka nijifanye na mimi ni mjuaji kama wewe kwamba nikutajie kabisa na majina yao kamili kuwa ni Meja Jenerali John Julius Mbungo na Meja Jenerali Gabriel Saul Mhidze?

Ndiyo maana nakuambia uwezo wako wa kuconclude mambo ni mdogo yaani umebase kwenye assumptions tu kwamba huyu mtu sababu hajataja hiki au hajaandika hivi basi hajui! Pamoja na hayo bado umekosea cheo cha Mhidze ni Meja Jenerali na siyo Jenerali kwa sasa Jenerali ni Mabeyo tu!

Anyway mchambuzi wa sheria kwa vile umesema hii nchi kila kitu kinaongozwa na sheria na taratibu na hakuna mambo yanayofanyika kiholela basi naomba ufanye yafuatayo:

-Naomba nitajie sheria kwenye Road Traffic Act inayoruhusu magari ya jeshi kupita upande wowote wa barabara na kwenye barabara za mwendokasi, naomba usiniletee porojo za kupata ajali na kung'oka meno tafadhali nimekuambia lete sheria inayoruhusu hilo sababu ni kitu ambacho kinafanyika tunakiona na hata serikali yako inajua hilo.

-Naomba nitajie sheria kwenye National Defence Act inayoruhusu mtu kwenda course ya uafisa pasipo kutumikia JKT kwa miaka miwili au kuwa na taaluma ambayo jeshi linaihitaji kwa wakati huo na vile vile unipe sheria inayoruhusu mtu kuingia jeshini kwa kutoa fedha na akawa recruited sababu ni kitu ambacho kinafanyika tunakiona.

Wewe si unazijua sheria zote na kila kitu kuhusu jeshi basi naomba uniletee sheria hizo kama ambavyo umeleta sheria za bajeti kwenye Public Finance Act usilete porojo tafadhali!

Maana naona tangu mwanzo nakuuliza hayo maswali ila unazunguka tu na kuleta habari za sheria! Sasa since unazijua sana sheria basi lete sheria zinazohusiana na hayo!

Kama huzijui sema SIZIJUI na kama hazipo sema HAZIPO! Na kama zipo na unazijua basi sema ZIPO na NAZIJUA na uzilete hapa kisha ndiyo tuendelee na huu mjadala tafadhali!
- Hakuna hoja hata moja yangu umejibu, halafu unasema Nina uwezo wa ku - Conclude Mambo chambua niliyokuandikia hapo juu usome uelewe
-Mbona hujajibu hoja yangu hata moja hapo juu?
- hebu jibu basi Kama kweli umeiva kwenye Uhasibu na Auditing, Yani hujajibu hata hoja moja hapo juu eti afisa wa TRA?
-
  • mengine yote ni repetition sijui Kuvunja Sheria za Usalama barabarani nilishajibu tayari tena zaidi ya Mara moja?,
  • Mambo ya rushwa kwenye Jeshi nilishajibu kwa mfumo tofaut Tena nikakupa hata na Ripoti ya kusoma,
  • hamna hoja Mpya.

 
Hehe mliopita jkt huwa mnafurahisha sana yaani kupita tu huko tayari mshajiona maaskari na mnajua kila kitu kuhusu jeshi? Aliyekudanganya kwamba kujua mishahara ya wanajeshi ni lazima uwe umepita jkt nani mbona wengine hapa ni raia wa kawaida tu na hatujawahi hata kukanyaga huko jkt ila tunajua mishahara na posho za vyeo vyote vya wanajeshi?
- brigedia analipwa milioni 200
  • meja jenerali milioni 300
  • Luteni jenerali milioni 400

 
Yaani we jamaa unafurahisha sana! Kwahiyo kwa sababu sijataja majina ya hao majenerali ndiyo maana yake siwajui au ulitaka nijifanye na mimi ni mjuaji kama wewe kwamba nikutajie kabisa na majina yao kamili kuwa ni Meja Jenerali John Julius Mbungo na Meja Jenerali Gabriel Saul Mhidze?

Ndiyo maana nakuambia uwezo wako wa kuconclude mambo ni mdogo yaani umebase kwenye assumptions tu kwamba huyu mtu sababu hajataja hiki au hajaandika hivi basi hajui! Pamoja na hayo bado umekosea cheo cha Mhidze ni Meja Jenerali na siyo Jenerali kwa sasa Jenerali ni Mabeyo tu!

Anyway mchambuzi wa sheria kwa vile umesema hii nchi kila kitu kinaongozwa na sheria na taratibu na hakuna mambo yanayofanyika kiholela basi naomba ufanye yafuatayo:

-Naomba nitajie sheria kwenye Road Traffic Act inayoruhusu magari ya jeshi kupita upande wowote wa barabara na kwenye barabara za mwendokasi, naomba usiniletee porojo za kupata ajali na kung'oka meno tafadhali nimekuambia lete sheria inayoruhusu hilo sababu ni kitu ambacho kinafanyika tunakiona na hata serikali yako inajua hilo.

-Naomba nitajie sheria kwenye National Defence Act inayoruhusu mtu kwenda course ya uafisa pasipo kutumikia JKT kwa miaka miwili au kuwa na taaluma ambayo jeshi linaihitaji kwa wakati huo na vile vile unipe sheria inayoruhusu mtu kuingia jeshini kwa kutoa fedha na akawa recruited sababu ni kitu ambacho kinafanyika tunakiona.

Wewe si unazijua sheria zote na kila kitu kuhusu jeshi basi naomba uniletee sheria hizo kama ambavyo umeleta sheria za bajeti kwenye Public Finance Act usilete porojo tafadhali!

Maana naona tangu mwanzo nakuuliza hayo maswali ila unazunguka tu na kuleta habari za sheria! Sasa since unazijua sana sheria basi lete sheria zinazohusiana na hayo!

Kama huzijui sema SIZIJUI na kama hazipo sema HAZIPO! Na kama zipo na unazijua basi sema ZIPO na NAZIJUA na uzilete hapa kisha ndiyo tuendelee na huu mjadala tafadhali!
Hakuna jipya
 
Hehe mliopita jkt huwa mnafurahisha sana yaani kupita tu huko tayari mshajiona maaskari na mnajua kila kitu kuhusu jeshi? Aliyekudanganya kwamba kujua mishahara ya wanajeshi ni lazima uwe umepita jkt nani mbona wengine hapa ni raia wa kawaida tu na hatujawahi hata kukanyaga huko jkt ila tunajua mishahara na posho za vyeo vyote vya wanajeshi?
Huenda umewahi kufanya kazi ngome saccos mkuu?so ni obvious mishahara ya wajeda utaijua tu.
 
Yaani unataka kuniambia mwanasheria wa ngazi ya degree alipwe mshahara mdogo kuliko mwalimu wa degree ambaye anaanzia sio chini ya 740k?
Mwanasheria (legal officer au officer yoyote) salary wanaanzia sawa hakuna mshahara wa legal officer mfano legal officer akiajiruwa wizarani anaanzia TGS D ambayo gross ni 710k

Braza hapa nadhani unaongelea Hawa legal officers wa TAMISEMI @ Mkoani na Halmashauri.

Hawa akiwa na Bach huanza na TGS D ila kama ana Muhuri ni TGS E ni kama muhasibu tu.

Akiwa na Bach TGS D ila kama ni CPA holder mi TGS E.

Ila legal officers wa Taasisi Wana mpunga mrefu.

Mfano; BRELA Legal Officer II (entry) ni Mil 1.8

#YNWA
 
TAJIRI SERIKALI ya Leo haiajiri form 4 inaajiri professional fulani au major fulani upande wa JWTZ hawana salary kubwa hapa tunaongelea entry level
Kulingana ma miongozo ya Utumishi level ya chini kabisa ya ajira serikalini ni Form 4.

Zamani ilikua la Saba, May/2012 yakafanyika marekebisho ya Sheria na sasa ni form 4.

#YNWA
 
Vipi mwanasheria mwenye level ya degree anaanzia kiasi gani kwa anayefahamu.
TAMISEMI (Wizarani, Mkoani na Halmashauri) + pamoja na Taasisi zenye kufata salary scale za TGS

Legal officer II (entry level)
Akiwa na Bach tu TGS D = 710K

Akiwa na Muhuri pia = TGS E = 950K

#YNWA
 
Bora TPA, TRA kuliko hapo jeiwii.

Hayo mashirika ya kiserikali, yana pesa nyingi mno mbali na mishahara. Tazama maafisa wengi wa hayo mashirika, tazama na maafisa ya jeshi kimaisha.

Achana na TANAPA, TRA, TPA n.k

Kuna watu kwa mwezi nje ya mshahara wanakunja mpaka 10m.
Huko ndio maana watu wanapakomaliaga sana
 
Hahahaha hoja gani sijajibu hizo assumptions za kusema mimi sijui sheria na mambo ya public finance? Haya wewe unayejua hizo sheria lete basi nilizokuambia uzilete maana mwanzo ulisema hii nchi KILA KITU kinaendeshwa na sheria!

Hakuna hoja uliyonijibu hata moja hapo zaidi ya kuleta ujuaji tu na kukazana na assumptions za kwamba sijui kitu kuhusu sheria vinginevyo lete hayo majibu ili nione ni wapi ulinijibu! Unasema umenijibu kwa mfumo tofauti mfumo upi huo?

Ndugu mjuzi na msimamizi wa sheria vipi tena unakwama wapi? Kuhusu magari ya jeshi hakuna ulichojibu zaidi ya kusingizia mambo ya ajali na kung'oka meno na kuhusu ajira za jeshi pia hakuna ulichojibu zaidi ya kusingizia mambo ya redundancy!

Mimi siwezi kuwa na deep knowledge kuhusu mambo ya uhasibu na ukaguzi sababu siyo fani yangu sijasomea na wala hakuna sehemu niliyosema mimi ni pro kwenye hayo mambo nina ile basic knowledge tu! Ila siyo kiasi cha kudanganywa kiasi hicho!

Acha ujuaji na janjajanja mkuu wewe HUJUI lolote kuhusu jeshi! Mimi nimekupa facts wewe umeleta acts basi nimeona tuende sasa na hizo sheria niletee sheria zilizoruhusu hayo ili tuendelee na mjadala vipi pumzi imeisha accountant and auditor?
-hamna jipya yote ya zamani, sioni kipya,
-
  • Una basic knowledge ya Uhasibu halafu hujui mifumo ya ukaguzi ya IPSAS,IAS,IFRS hivyo Ni vitu basic,
  • Nani kakwambia Mimi Auditor? Mimi Ni registered land surveyor nimesajiliwa na bodi ya wapima ardhi Kama Land surveyor.
  • Mada ishaisha hakuna hoja mpya
 
Hakuna jipya wakati hujajibu kitu? Wewe hoja zako unataka nizijibu directly nisizunguke ila wewe zangu haujibu directly unazunguka tu halafu unasingizia umejibu kwa mfumo tofauti kwahiyo na mimi niseme nilikujibu kwa mfumo tofauti siyo?
  • Uelewa wako mdogo kwenye Uhasibu, halafu unasema umesoma basics za Uhasibu ungekuwa umesoma usingeshindwa kujua IFRS, IPSAS,na IAS,
  • Mimi mpima ardhi hayo ya UHASIBU basic nilisoma nikiwa ARIMO (ARDHI INSTITUTE MOROGORO)
 
Back
Top Bottom