BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
-zipo mbona, itategemea, eg kwenye higher learning wenye masters wana scaleSerikalini hakuna scales za wenye masters.
Ngoja tusubiri majibuJaman izo kaz za mkataba zilizotangazwa uko mwanza Zina ukwel au.
Kama inafika M1,, hyo kazi nzuri nenda kapige kaziHivi TPDCS 4 ni kiasi gani..? hii ni scale ya mtu wa diploma pale TPDC
Diploma ya nini ?Hivi TPDCS 4 ni kiasi gani..? hii ni scale ya mtu wa diploma pale TPDC
electricalDiploma ya nini ?
ivi hawa dawasa ajira zao zinapitia utumishi ama wao wanaajiri wenyeweDAWASA vipi jamani?
Laki saba Saba hazifiiki 2 hata uwe na master Sana utapata dili la kulima maharagejamani hivi kweli hamna mfanyakazi wa TARI au ASA humu ndani atuambie hizo PRSS 1 na ASASS 5 ni kiasi gani tujue??
Njoo pmelectrical
Lakini maharage yanalipa sana awamu hii.kilo imefika 3000/=,so kuna uwezekano wa kutoboa.Laki saba Saba hazifiiki 2 hata uwe na master Sana utapata dili la kulima maharage
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
acha uoLaki saba Saba hazifiiki 2 hata uwe na master Sana utapata dili la kulima maharage
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
acha kuongea uongo ndugu,, nlikiwa cjui ila nmektana na mfanyakaz wa tari... analipwa 1.2+ af ww unabun bun tu lak saba saba et af kuonesha hujui chochote unasema had master mshahara ndo ule ule wakat hao ndo wanakuwa researcher wana grade yao...Laki saba Saba hazifiiki 2 hata uwe na master Sana utapata dili la kulima maharage
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Una hoja nzuri ila una uandishi wa kitoto.acha uo
acha kuongea uongo ndugu,, nlikiwa cjui ila nmektana na mfanyakaz wa tari... analipwa 1.2+ af ww unabun bun tu lak saba saba et af kuonesha hujui chochote unasema had master mshahara ndo ule ule wakat hao ndo wanakuwa researcher wana grade yao...
mm niulize ki2 hv km hujui ki2 na ukakaa kmya unapungukiwa nn kwann uje humu kupotosha mambo ya ovyo ovyo tuuu , tuache tabia za ajab ajab na za kishamba .. wa2 wako serious humu wanataka kupata info za kaz za maisha yao ww unaleta utan tan. heb acha jamaa km hujui kfunze kukaa kmya