Nicorandil
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 258
- 749
Mkuu kwani watumishi wa hizo taasisi wanaishi wapi? Kwa sababu pamoja na hio mishahara minono maisha ni ya kama ya wasio kwenye hizo taasisi. Acha hype.Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Discovery new model au, tuna zungumzia gar zet tulizo zizoea kama harrier, athleticsSijawahi kuona mfanyakazi wa crdb anaendesha Discovery
hahaha kuna tatizo mahali hapoSasa rejea tena comment yako ya mwanzo nanukuu, "sijawahi kuona mfanyakazi wa CRDB anaendesha Discovery", sasa hao walioko kwenye Managerial Positions siyo wafanyakazi au wao ni shareholders
More than 3m per month
Una Kitu ndani nakuona ukiwa mbali sanaMishahara sio dili, watumishi wengi wanaishi kwa magumashi
Hii list ipo on point sana, hakuna lofa hapo, ukiambiwa ni watumishi wa umma huwezi amini. Ongeza TISS, OSHA.Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
TISS labda wazee wa Eagle, VIP Protection, PSU, GSU, RSOs, DSOs ndio wako vizuri, ila Hawa wengine hakuna kituHii list ipo on point sana, hakuna lofa hapo, ukiambiwa ni watumishi wa umma huwezi amini. Ongeza TISS, OSHA.
Hujui bado. Hakuna watu wanakula kwa raha kama hao. Kazi kidogo pesa mingi.TISS labda wazee wa Eagle, VIP Protection, PSU, GSU, RSOs, DSOs ndio wako vizuri, ila hawa wengine wanaosambazwa maofisini na mitaani (ambao ndio wengi) eti kuchunguza sijui wanaopinga Serikali hamna kitu, na ndio hawa wanaojigamba na kudanganya watu kwamba wana hela
TISS sasa hivi wanafanya kufuru.TISS labda wazee wa Eagle, VIP Protection, PSU, GSU, RSOs, DSOs ndio wako vizuri, ila hawa wengine wanaosambazwa maofisini na mitaani (ambao ndio wengi) eti kuchunguza sijui wanaopinga Serikali hamna kitu, na ndio hawa wanaojigamba na kudanganya watu kwamba wana hela
Huyo atakua uvccm tu.TISS wa kweli usingemjua hata.TISS sasa hivi wanafanya kufuru.
Tangu utawala wa kiimla uasisiwe na Jiwe jamaa wana maisha kinoma.
Jirani yangu anabadili magari tu.
Ila ni kweli wale wa chini njaa tupu
TISS sio kazi kuwajua. Tena kwa Tanzania? atakunywaje beer za bure na kutongoza madem? mi kuna mmoja mlinzi PSU alikuwa anajitumisha picha akiwa safarini kwa demu wangu, nilimzingua hakuamini, alipotea na ushamba wake.Huyo atakua uvccm tu.TISS wa kweli usingemjua hata.
No.Huyo atakua uvccm tu.TISS wa kweli usingemjua hata.
Angekuwa na CPA angelipwa 2.5mView attachment 2700968
TUfanye. Hivi..hii ni kwa university employee aliyepanda daraja moja..ICT 1 PGSS8
Sasa mtu wa IT CPA ya nini tena..CPA wahasibu inawahusuAngekuwa na CPA angelipwa 2.5m
Unajua hata CPA inawahusu kina nani?Angekuwa na CPA angelipwa 2.5m
Nipee na mimi pleaseI wish mgejua kuwa Hela imelala kwa biashara ,Nina mkaka nliimpa line mwaka uliopita alikuwa anaslave kwa halmashauri na vichenchi visivyo na maana Leo hii ana range 2022 edition
Kuna mdada pia najuana naye ,siyo mwajiriwa Ila ukitaka services zozote serikalini atakufanyia mind you hajasoma chuo kikuu ,mwana biashara tu .
Hela wanazokunja hawa sio mchezo .
Anaabudu tra😇 Tra graduate anaeanza gross haizidi mil 3Aahh kumbe michongo nikajua mshahara, kijana inaonekana unaiabudu sana TRA tangu mwaka juzi comments zako nyingi huwa naona unasifia huko tu, unahisi kila Mtu humu hapajui huko
Kuna watu wako kwenye Taasisi za serikali na huko TRA wanaona hakuna kitu, tena wengine wanaenda huko hawamalizi hata miaka miwili, wanarudi walikotoka au wanahamia kwingine
Huko kwenye sekta binafsi kama NGOs na Migodini ndio usiseme, watu wanalipwa mishahara na posho kufuru hakuna cha michongo wala nini, tafufa connection ujue taasisi zenye pesa ilionyooka ili uache kupasujudu huko na kupaona ndio kila kitu
Acha kutukana mzee milioni tatu wazijua wewe? Ni TRA ipi hiyo ni ya hapa hapa bongo?😅Anaabudu tra😇 Tra graduate anaeanza gross haizidi mil 3
Private sector chache na baadhi NGO zinalipa mara 2 hadi 3 ya hapo kwa anaeanza