kwa hicho kiswahili ulicho andika nina wasiwasi kama ulifanya kazi bank tena Idara ya kutoa Mikopo???TPA
TRA
TANESCO
nimewaprocessia mikopo sana hao kipindi nafanya kazi bank flani mshahara wao wakawaida tu msikalili
Enzi za mwalimu walikuwa na posho sio sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo unataka kusema huyo wa moshi vijijini anakula 1.8M? Mishahara ya halmashauri ni 900k tena kwa mzoefuMtoa mada nikupe tu TAARIFA WATUMISHI wengi NI WATUMISHI wa kawaida wasokua na vyeo
Na mshahara wa MWISHO wa mtumishi wa serikali NI sh 2,727,500/- unless km ana cheo km mkuu wa KITENGO au idara au mkuu wa taasisi msikaririshane Mambo ambayo hayapo na nkupe tu TAARIFA huyo ambaye yupo TRA mwenye degree anaeanza Kazi Hana tofauti na mwenye degree ya maendeleo ya JAMII wa Moshi vijijini
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo unataka kusema huyo wa moshi vijijini anakula 1.8M? Mishahara ya halmashauri ni 900k tena kwa mzoefuMtoa mada nikupe tu TAARIFA WATUMISHI wengi NI WATUMISHI wa kawaida wasokua na vyeo
Na mshahara wa MWISHO wa mtumishi wa serikali NI sh 2,727,500/- unless km ana cheo km mkuu wa KITENGO au idara au mkuu wa taasisi msikaririshane Mambo ambayo hayapo na nkupe tu TAARIFA huyo ambaye yupo TRA mwenye degree anaeanza Kazi Hana tofauti na mwenye degree ya maendeleo ya JAMII wa Moshi vijijini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hats Mimi nasubiri wenye uzoefu walete kwa fani hizo mipunga yao inakuaje
Mbona wengi tuu hujuiAnaelipwa hivyo labda sio mmbongo kwa asilimia 100%!
Kama ni muhindi au mkaburu ntakubali, ila ngozi nyeusi kulipwa hivyo labda vyeti viwe vinasomeka Cambridge,IST,Wales,Havard n.k!
Mbona wengi tuu hujui
Mkuu mshahara kwa kiasi kikubwa unakua defined na position na sio elimu.Hats Mimi nasubiri wenye uzoefu walete kwa fani hizo mipunga yao inakuaje
Sisi wa TBA tukomenti wapi?
Sasa mkuu security analipwa 900 na cheti chake cha form4 unasema kawaida.
Wakati Kuna watu wana degree wanalipwa 710
Mkuu mshahara kwa kiasi kikubwa unakua defined na position na sio elimu.
Daktari (MD) anaefanya kazi Halmashauri analipwa 1.48M kabla ya makato wakati yule anaefanya kwenye hospitali maalum (Muhimbili, Mlonganzila, MOI, Ocean Road) yeye yuko juu kidogo.
Hivyo hivyo kwa manesi, wafamasia na wachunguzi wa maabara.
Ila kwa ujumla fani za afya ni miongoni mwa wanaolipwa pesa ya kawaida sana, sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe binafsi unapokea kiasi gani kwa mwezi kama ni mwajiriwa na kama sio mwajiriwa tueleze wastani wa mapato yako kwa mwezi, mana kila mtu ana maoni yake linapokuja swala la kipato cha mtu na mara nyingi wengi tunapenda kulinganisha kile tunachopata na kinachosemwa kwa wengine. Ikiwa wewe kipato chako kwa mwezi ni zaidi ya mil 3 basi una haki ya kusema wana mishahara ya kawaida kwa upande wako, note: mil 3 ni mshahara wa ofisa wa kawaida ambaye ndio ana anaanza kazi au ana mwaka mmoja kazini. Alaf tujiulize the general life standard kwa watumishi hapa Tanzania either wa umma au sekta binafsi mtumishi anae pokea mil 3 kwa mwezi tunamweka ktk income standard ipi?! Mana the fact is ata huko sekta binafsi taasisi au mashirika yanayolipa kuanzia mil 3 kwa mwajiriwa mpya zipo chache sana
Wewe binafsi unapokea kiasi gani kwa mwezi kama ni mwajiriwa na kama sio mwajiriwa tueleze wastani wa mapato yako kwa mwezi, mana kila mtu ana maoni yake linapokuja swala la kipato cha mtu na mara nyingi wengi tunapenda kulinganisha kile tunachopata na kinachosemwa kwa wengine. Ikiwa wewe kipato chako kwa mwezi ni zaidi ya mil 3 basi una haki ya kusema wana mishahara ya kawaida kwa upande wako, note: mil 3 ni mshahara wa ofisa wa kawaida ambaye ndio ana anaanza kazi au ana mwaka mmoja kazini. Alaf tujiulize the general life standard kwa watumishi hapa Tanzania either wa umma au sekta binafsi mtumishi anae pokea mil 3 kwa mwezi tunamweka ktk income standard ipi?! Mana the fact is ata huko sekta binafsi taasisi au mashirika yanayolipa kuanzia mil 3 kwa mwajiriwa mpya zipo chache sana
😂😂Kumbe ulifanya kazi Tra saccos, kibarua chako pale Tra saccos kilikoma mwaka gani? nianzie hapo kwanza mana kwa majibu wa maelezo yako bila shaka kwa sasa sio mtumishi wa Tra saccos, ila tu kwa kukusaidia waulize wale maofisa wa Tra saccos kama bado una connection nao scale ya Tras 3/1, Tras 3/2, Tras 4/1 after lawson wanapokea kiasi gani hao ni maofisa wa kawaida sana na highest scale inagotea 12 huko usifike. Na none officers wote naamanisha ma office attendants na nk net salary yao not less than 800k.Nani amekudanganya ofisa wa kawaida tra analipwa milion 3... net ya ofisa anaeanza kazi Tra hata milioni moja haifiki.. peleleza vizuri.. nimefanya kazi saccos ya tra .. nimecheza sana na salary slips zao.. milioni 3 na zaidi ya milion 3 wapo wanaolipwa ila ni wachache sana maana ni wale mabosi
Usiendelee kubishana nae.Mkuu me nakupinga kuna tofauti kubwa ya mshahara kati ya mtumishi alioajiriwa Local government na mtumishi alioajiriwa kwny izi tasisi mtumishi mwny degree ambaye yupo local government (izi halmashauri zetu ) basic salary yke ni 710,000/ wakati kwny tasisi mwny degree wanaanza kuchukua 1.5m hadi 1.8m kutegemeana na taasisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kufikia mwaka 2018,mshahara wa officer anaeanza kazi Tra mwenye degree ulikua 960,000/=. kwa sasa sijui wanalipwaje😂😂Kumbe ulifanya kazi Tra saccos, kibarua chako pale Tra saccos kilikoma mwaka gani? nianzie hapo kwanza mana kwa majibu wa maelezo yako bila shaka kwa sasa sio mtumishi wa Tra saccos, ila tu kwa kukusaidia waulize wale maofisa wa Tra saccos kama bado una connection nao scale ya Tras 3/1, Tras 3/2, Tras 4/1 after lawson wanapokea kiasi gani hao ni maofisa wa kawaida sana na highest scale inagotea 12 huko usifike. Na none officers wote naamanisha ma office attendants na nk net salary yao not less than 800k.
Wakati muhasibu anakula 700,000/-Mkuu mshahara kwa kiasi kikubwa unakua defined na position na sio elimu.
Daktari (MD) anaefanya kazi Halmashauri analipwa 1.48M kabla ya makato wakati yule anaefanya kwenye hospitali maalum (Muhimbili, Mlonganzila, MOI, Ocean Road) yeye yuko juu kidogo.
Hivyo hivyo kwa manesi, wafamasia na wachunguzi wa maabara.
Ila kwa ujumla fani za afya ni miongoni mwa wanaolipwa pesa ya kawaida sana, sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa hicho kiswahili ulicho andika nina wasiwasi kama ulifanya bazi bank tena Idara ya kutoa Mikopo???
Nifanyie mpango wa kazi mkuu