Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
Lkn pia mfumuko wa mamlaka
16. TANROAD
17. TAA
Siwezi kubisha ila natambua mamlaka zote za serikali watumishi wake wanalipwa vizuri,ila mimi hiyo double standard inanipa shida,
kwanini watumishi wote wa serikali wasilipwe angalau mishahara inayowiana? sisemi walingane lakini kuwepo uwiano.
Nikimaanisha ngazi fulani ya kiwango cha elimu ipate malipo yanayofanana.

Lakini pia mfumko wa mamlaka unaoongezeka kila kukicha unatuongezea mzigo sisi wananchi ili kuwalipa mafao mazuri watumishi wa mamlaka hizo.
Mfano: Kulikuwa kuna haja gani ya kutenganisha LATRA kutoka SUMATRA Kuigawa EWURA na kupata PURA
kwa maoni yangu hivi vilitakiwa kuwa vitengo chini ya mkurugenzi mkuu wa mamlaka husika.Lkn kwa sababu nisizozijua
mamlaka zinaendelea kuanzishwa na mzigo unaongezwa kwenye maji,umeme,mafuta,Mitandao n.k ambavyo mwisho wa siku mlipaji ni mwananchi wa kawaida. Nafikiri hii siyo sawa.
 
6 ndio mpango. Hapo pengine njaa tu tangu waende wale wanajeshi.
Aisee, kuna nafasi 2 za MSD zipo hewani, nimejaribu kutupua ndoano kupitia ajiraportal ila system inagoma. Sijui tatizo nini labda mambo ya nyaya/koneksheni maana ndio habari ya mjini siku hizi
 
Siwezi kubisha ila natambua mamlaka zote za serikali watumishi wake wanalipwa vizuri,ila mimi hiyo double standard inanipa shida,
kwanini watumishi wote wa serikali wasilipwe angalau mishahara inayowiana? sisemi walingane lakini kuwepo uwiano.
Nikimaanisha ngazi fulani ya kiwango cha elimu ipate malipo yanayofanana.

Lakini pia mfumko wa mamlaka unaoongezeka kila kukicha unatuongezea mzigo sisi wananchi ili kuwalipa mafao mazuri watumishi wa mamlaka hizo.
Mfano: Kulikuwa kuna haja gani ya kutenganisha LATRA kutoka SUMATRA Kuigawa EWURA na kupata PURA
kwa maoni yangu hivi vilitakiwa kuwa vitengo chini ya mkurugenzi mkuu wa mamlaka husika.Lkn kwa sababu nisizozijua
mamlaka zinaendelea kuanzishwa na mzigo unaongezwa kwenye maji,umeme,mafuta,Mitandao n.k ambavyo mwisho wa siku mlipaji ni mwananchi wa kawaida. Nafikiri hii siyo sawa.
SUMATRA imegawanyika kutengeneza LATRA na TASAC
Mmoja ardhini mwingine majini
 
Mfano nimehama kutoka TPA nikaenda wizara inayosimamia TPA, Mshahara wangu utashuka? Maana wizarani sijui kama kuna hizo scale za mishahara ya taasisi hizo.
Kama unapoenda mshahara ni mdogo, haushuki. Kama unapoenda mshahara ni mkubwa, unapanda.
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
tafadhali, hebu ondoa takukuru, tuna wake zetu huko tunajua kila kitu. tafadhali.
 
Ni sahihi kabisa. Nimefanya kazi taasisi ya Serikali, Mshahara wangu wa kwanza ulikuwa 1.5K. Take home ilikuwa laki 9. Miaka 3 baadae nikaenda kwenye NGO, nikawa nalipwa 3.8Mil kwa mwezi na safari kila wakati.

Baada ya miaka 3 wazungu hao hao wakatoa Post kwa wanaotaka kufanya kazi nchi za nje. Tukafanya interview tukapita wachache sana mwishowe tukabaki 3 tu.

Wakatupa shavu kufanya internship Uholanzi mwaka mmoja, baada ya hapo tukapelekwa kwenye vituo vya kazi, mimi nikapangiwa Nambia. Salary yangu niliyoanza nayo ilikuwa ni USD 9, 400 plus house and transport allowance.

Je kuna Afisa anayelipwa hivo serikalini ?

Wakurugenzi (DG)wa taasisi tajwa wengi wanacheza kati ya 15M hadi 20 M plus risk ya kutumbuliwa muda wowote kama Nehemia.

Wenzangu niliowaacha Serikali I am sure mpaka leo bado hawajafika salary ya 4M, tena sidhani kabisa maana sijasikia kupanda kwa madaraja wala salary.

Kibaya zaidi taasisi zote kwa sasa wanatakiwa kufuata sheria za Utumishi wa Umma Kwenye kupandisha salary na madaraja.

Tofauti na mwanzo; taasisi kama MSD, NHIF, TPA zilikuwa zinaajiri wenyewe na wanaviwango vyao vya mishahara na madaraja na ndio maana ukienda hizo taasisi unakuta Mkurugenzi, Manager, Afisa Wote wana Masters yaaani wapo sawa; tofauti yao ni aliyekaa muda mwingi ofisini na mwenye performance nzur.

Yaani hupaswi kuwa jeuri maana inawezekana leo nina report kwako but in few years Wewe uta report kwangu na utakuwa chini yangu.

Hakuna watu wana njaa kama watumishi wa umma; na ndio maana wakurugenzi wa hizo taasisi wanaishi kwa ku deal fake na rushwa. Unashangaa Yaani unakamatwa na Takukuru; ili akuachie Wanakuomba Rushwa lol [emoji23] .




Mk54

[emoji17]Tupeni connection jamani ata kujitolea tu jamani wengine hatuna wa kutushika na familia zetu hazijasoma sis ndo tegemezi [emoji1373]
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
TPDF kama haipo hii orodha yako ni batili
 
Yaani kujadili na watu wajinga and zero brain ni kupoteza muda for sure na kujishushia heshima hapa JF. Yaani Mtu anakuita Muongo ; hakufahamu , hamjawahi kuonana. Yet anakuita muongo...... are you stupid or have we ever met before,kajifunze ethics za mawasiliano.

Utabaki kuwa maskini na akili zako.


Mk54
Kuna uongo mwingine upo wazi kabisa..haihitaji kufahamiana.

Sent from my TECNO LA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom