CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
Una maanisha JWTZ?? Kama ndio hivyo haipo mzee.. Jamaa wanalipwa pesa ya kawaida tu.TPDF kama haipo hii orodha yako ni batili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una maanisha JWTZ?? Kama ndio hivyo haipo mzee.. Jamaa wanalipwa pesa ya kawaida tu.TPDF kama haipo hii orodha yako ni batili
[emoji17]Tupeni connection jamani ata kujitolea tu jamani wengine hatuna wa kutushika na familia zetu hazijasoma sis ndo tegemezi [emoji1373]
Electrical artesian, Tanesco anakula ngapi?
Unaomba connection kwa mkenya?? Wakenya wengi hawajuagi mambo ya connection yaan wao wanaweza enda sehemu hakuna ndugu wala anaejuana nae, akapenyeza,akausoma mchezo mpaka akaingia kwny system. Watanzania wengi tunategemea kufanikiwa kupitia connection kwa sababu ya akili ya ujamaa ambayo tumelelewa nayo. Yaan tunaamini kama kwny hyo taasisi/ofisi hakuna mnaejuana basi huwezi ingia/ajiriwa.[emoji17]Tupeni connection jamani ata kujitolea tu jamani wengine hatuna wa kutushika na familia zetu hazijasoma sis ndo tegemezi [emoji1373]
Especially idara zilizo chini ya TAMISEMI&UTUMISHIMishahara ya serikalini huwa midogo sana
Yes wengi hukimbilia huko kwa kujidaganya sijui job security blah blah nyingi tu, huku walio private na Nia kwa bachelor anakula milion hata tano aisee. Serikalini huko sijui Tamisemi,utumishi ni njaa tupuEspecially idara zilizo chini ya TAMISEMI&UTUMISHI
Au kaona posho ya chakula na vinywaji?Una maanisha JWTZ?? Kama ndio hivyo haipo mzee.. Jamaa wanalipwa pesa ya kawaida tu.
Kuna mtu yupo serikalin, ana degree ya sheria UDSM. Aliingia serikalin 2010 hivi, 2014 alikuwa analipwa 2.6m. Nasema hivi sababu mpaka salary slip zake ninazo.Yes wengi hukimbilia huko kwa kujidaganya sijui job security blah blah nyingi tu, huku walio private na Nia kwa bachelor anakula milion hata tano aisee. Serikalini huko sijui Tamisemi,utumishi ni njaa tupu
Hizo kamba mkuu hyo hela ni mshahara wa Dr tena mhadhiri wa chuo kikuuKuna mtu yupo serikalin, ana degree ya sheria UDSM. Aliingia serikalin 2010 hivi, 2014 alikuwa analipwa 2.6m. Nasema hivi sababu mpaka salary slip zake ninazo.
Depends na sehem mimi ndo naanza ila monthly nakunja mpk 3mYes wengi hukimbilia huko kwa kujidaganya sijui job security blah blah nyingi tu, huku walio private na Nia kwa bachelor anakula milion hata tano aisee. Serikalini huko sijui Tamisemi,utumishi ni njaa tupu
Sio vyema kubishana kaka.Hizo kamba mkuu hyo hela ni mshahara wa Dr tena mhadhiri wa chuo kikuu
Upo private au Gvt?Depends na sehem mimi ndo naanza ila monthly nakunja mpk 3m
GvtUpo private au Gvt?
Hahaha eti Dr au mhadhir wa chuo kikuu, hapa hapa serikalin katazame au fatilia mishahara ya sehemu kamaHizo kamba mkuu hyo hela ni mshahara wa Dr tena mhadhiri wa chuo kikuu
Kuna mtu anasema huo mshahara hapo ni wa Dokta au mhadhir chuo kikuu
Ni kweli sio vyema kubishana ninachojua watumishi wengi salary zao ni ndogo sanaSio vyema kubishana kaka.
Mimi naongea kitu ambacho nna uhakika nacho, nimekwambia hata sasa salary slip zake ninazo. Na hizi ni za 2014, sijataka kuweka za 2020.
Kukata story, huyu ni mtu wangu wa karibu mno. Kwahiyo each and everything tunashare.
NINAONGEA KITU NILICHO NA UHAKIKA NACHO.
Mimi sikupenda ile kauli ya kusema hizo ni kamba, kwanini nidanganye ktk platfom kama hii?Ni kweli sio vyema kubishana ninachojua watumishi wengi salary zao ni ndogo sana
Tena kwa organization mtu wa bachelor anakula hata zaidi ya milion tano kumzidi Prof wa chuo kikuu usishangae tembea uone. Hata huko sijui TRA sijui wapi hyo milion mbili na kitu si mishahara ya Senior wa zaidi ya miaka kumi na tano kaziniKuna mtu anasema huo mshahara hapo ni wa Dokta au mhadhir chuo kikuu
Madokta wanapitwa na Graduates wa
TRA
TANAPA
TPDF
TPA
EWURA n.k
[emoji23][emoji23][emoji23] a wapi huo mshahara umshinde DC karibia na mkurugenzi what a jokeDepends na sehem mimi ndo naanza ila monthly nakunja mpk 3m