Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
 
Hivi mshahara mnono unaanza shiling ngapi maana kuna watu wanalipwa 700k kwao ni mshahara mnono pia sababu waliacha kazi ya awali na kuamia ofisi hiyo
 
Kwa Ifficer 2 hii ndio gross salary zao in accordance with the row
1. TPDC​
1.8m​
2. TCRA​
3.5m​
4. Ngorongoro​
1.8m​
3. Ewura​
1.8m​
4. WCF​
2.0m​
5. TBS​
1.8m​
5. TANAPA​
1.8m​
5. Tume ya madini​
hawa below 1.5m​
6. Mamlaka ya chakula na dawa​
1.7m​
7. SSRA​
2m​
8. NSSF/PSSSF​
2m​
9. BOT​
1.8m​
9. Bunge​
Hawa below 1m​
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali​
Hawa sijajua​
10. TASAC​
2m​
10. TRA​
2.3m​
11. MSD​
1.8m​
11. TAKUKURU​
Sijajua bado​
11. EGA​
3.07m​
12. NHIF​
1.7m​
13. TPA​
1.6m​
13. TIC​
Sijui bado​
14. KADCO​
hawa below 1.5m​
15. TANESCO​
1.2m​
16. TANROAD​
Sijui bado​
17. TAA​
1.35m​

TARI wanalipa shiling ngapi kwa Entry ya Research Assistant pamoja na benefits nyingine
 
Back
Top Bottom