Kuna jamaa ni Luteni kanikopa laki 1, mwezi wa tatu huu ananipiga kiswahiliTAASISI ZINAZOONGOZA KWA KULIPA UKWASI MREFU NI HIZI HAPA CHINI
1.TPDF
2.JWTZ
3.BAKABAKA
4.JW
5.TIPIDANDA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna jamaa ni Luteni kanikopa laki 1, mwezi wa tatu huu ananipiga kiswahiliTAASISI ZINAZOONGOZA KWA KULIPA UKWASI MREFU NI HIZI HAPA CHINI
1.TPDF
2.JWTZ
3.BAKABAKA
4.JW
5.TIPIDANDA
Nakubaliana na wewe.Yaani naona kaandika taasisi za umma kasoro moja tu.
Dawasa(water and irrigation)
Dawasa ni salary tu, hakuna privilegeYaani naona kaandika taasisi za umma kasoro moja tu.
Dawasa(water and irrigation)
Labda kaona huna la kumfanyaKuna jamaa ni Luteni kanikopa laki 1, mwezi wa tatu huu ananipiga kiswahili
Sasa mtu unaanza na 3M unaona ndogo? Halali watu wakurupukie huko.Anaabudu tra[emoji56] Tra graduate anaeanza gross haizidi mil 3
Private sector chache na baadhi NGO zinalipa mara 2 hadi 3 ya hapo kwa anaeanza
Hii taasisi inaitwa LATRA ni hatari na walo kimya kwa mshahara TRA na TPA hawafiki kabisaKuna taasisi hazisikiki sana na wala hazitajwi na watu yaani ni "LOW KEY" Lakini ziko mawinguni
Ni nyingii jaman hata km lol.Hakuna mshahara huo kwa new entry tra..huwa wanaanza na 2.34m
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]1. Halmashauri
2. SIDO
3.
Wameongezwa saiv ni 2.47MHuyu mtu labda atakua amepanda daraja.
Ila entry ya TRA ni 2.34M
Latra[emoji848]Hii taasisi inaitwa LATRA ni hatari na walo kimya kwa mshahara TRA na TPA hawafiki kabisa
Unashangaa 😁😁...Kuna taasisi nikitaja hapa utauliza zimetokea wapi...Ila tambua taasisi nyingi zinazotumia mfumo wa salary slip za serikali kama halmashauri hazina maajabu unaweza kushangaa.Latra[emoji848]
Mimi pia nataka kujuaaaMimi nataka kujua kuhusiana na mshahara wa EWURA na LATRA pamoja na makoto yake yapoje?
Posho za EWURA na LATRA ni untaxable na zinafika zaidi ya 1.2 mil...Per diem kuanza june walienda mpaka 250k junior &senior officer ...Mimi nataka kujua kuhusiana na mshahara wa EWURA na LATRA pamoja na makoto yake yapoje?
EGA & TCRA mishahara yao Ni reasonable Ila Sasa marupurupu ndio kibao..Kuna taasisi hazisikiki sana na wala hazitajwi na watu yaani ni "LOW KEY" Lakini ziko mawinguni
Posho za EWURA na LATRA ni untaxable na zinafika zaidi ya 1.2 mil...Per diem kuanza june walienda mpaka 250k junior &senior officer ...
Yes ,kuko vizuri sana kiustawi na kifedha , huko ndio kwa kupumzikia bila kuhama hama , nilichokuwa namaanisha ,kuna taasisi zinalipa zaidi ya hapo ila kupata nimbinde sana .Sasa mtu unaanza na 3M unaona ndogo? Halali watu wakurupukie huko.