Moment of silent
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 855
- 1,483
Taasisi gani hiyo??Kuna taasisi posho ya Nyumba ni 850000/-, extraduty 950,000/-
Bado salary
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taasisi gani hiyo??Kuna taasisi posho ya Nyumba ni 850000/-, extraduty 950,000/-
Bado salary
Daaahh, anatumia title yake kujineemesha kwa kuumiza wengineKuna jamaa ni Luteni kanikopa laki 1, mwezi wa tatu huu ananipiga kiswahili
kukosa kazi ni kubaya sana maana unaweza kuwa na ndotio mbaya sana ya mchana. yaani tumekaa kuvizia nani analipwa nini ? hao tra wenyewe njaa kama nini ni jina tu ukisikia tra , kuna dogo namfahamu kaanza kazi anakwambia kumbe ukiwa nje unadhani ni sehemu yenye bonge ya mshahara kaanza kazi mwaka jana mshahara wake ni wa kawaida tena kuna taasisi wanavuta kulik anasema tra ukiwa nje utadhani wana boooo nge ya mshahara lakinmi alipoingia kakukta tofauti.Watu hawajui TRA wanavuta mpunga mrefu
maana mara ya mwisho nov 2023 salary yao niliona ilikuwa 3.1M kwa anaeanza kazi
Kuna jamaa yangu yupo Bakabaka.TAASISI ZINAZOONGOZA KWA KULIPA UKWASI MREFU NI HIZI HAPA CHINI
1.TPDF
2.JWTZ
3.BAKABAKA
4.JW
5.TIPIDANDA
Posho za EWURA na LATRA ni untaxable na zinafika zaidi ya 1.2 mil...Per diem kuanza june walienda mpaka 250k junior &senior officer ...
Zipo nyingi tu wanatax haswa taasisi ...Zipo nyingi sana posho zinachanganywa na mshahara yaani vinatoka pamoja.Wapi wanatax posho 😁
Hizo taasisi zilizotajwa zina Madaktari pia.Mbona sioni madaktari [emoji1] au kada za afya hawali cake ya taifa
Zipo nyingi tu wanatax haswa taasisi ...Zipo nyingi sana posho zinachanganywa na mshahara yaani vinatoka pamoja.
Ndio huo mfumo upo sana...Tena ni wakinyonyaji excepts zile per diem hazikatwi kabisa ila nyingine wanakata zinazotoka na mshaharaDuuh. Ndio naskia.
Posho ikatwe kodi?? Mnakubalije posho ikatwe kodi? Posho haitakiwi kukatwa kodi
Well, posho na mshahara kutoka pamoja sio tatizo. Kwa hiyo posho zinaonekana kwenye salary slip??
Kumbe mambo ya allowances(house, transport et al) zinakatwa kodi...Ndio huo mfumo upo sana...Tena ni wakinyonyaji excepts zile per diem hazikatwi kabisa ila nyingine wanakata zinazotoka na mshahara
Hata mimi nafahamu kuwa posho inajumlishwa kwenye mshahara na kukatwa kodi pamoja ni per diem pekee ndiyo haikwatwi kodi. Hii ni changamoto kwa kweliNdio huo mfumo upo sana...Tena ni wakinyonyaji excepts zile per diem hazikatwi kabisa ila nyingine wanakata zinazotoka na mshahara
Hata mimi nafahamu kuwa posho inajumlishwa kwenye mshahara na kukatwa kodi pamoja ni per diem pekee ndiyo haikwatwi kodi. Hii ni changamoto kwa kweli
Kama kuna mtu anayeanza anakula hiyo 3+M, basi halmashauri watu wanapoteza muda.Sawa sawa ila ni 3,100,000/=basic salary
Sio taasisi zote na huu mfumo alikuja nao Magufuli ...Kumbe mambo ya allowances(house, transport et al) zinakatwa kodi...
Hapo utamu wake hamna tena...
Magufuli ndio alitibua ,wajanja ni wale wanalipa tofauti unakuta mshahara trh 23 ila posho wanalipa trh 15 katikati ya MweziHata mimi nafahamu kuwa posho inajumlishwa kwenye mshahara na kukatwa kodi pamoja ni per diem pekee ndiyo haikwatwi kodi. Hii ni changamoto kwa kweli
tra na Bandari kufuruWatu hawajui TRA wanavuta mpunga mrefu
maana mara ya mwisho nov 2023 salary yao niliona ilikuwa 3.1M kwa anaeanza kazi
Hawa wanajeshi ni wapumbavu sanaKuna jamaa ni Luteni kanikopa laki 1, mwezi wa tatu huu ananipiga kiswahili