huwajui vijana wa mjini wewe tuliaUna miaka mingapi na unaulizia vijana wa umri gani Kama ni 20-25 au chini ya hapo sikulaumu kozi akili haijakomaa vizuri. Halafu kila mtu ana maisha yake hapa mjini kuna mwingine hawezi kimoja kati ya hvyooo Koo majumuisho ndo yakawa yote Ila sio wote mkuu
Brooo maisha haya yana kuigiza sana usiangalie kwa macho na mdomo ukajiridhisha kaa mkao utaelewahuwajui vijana wa mjini wewe tulia
Binafsi Mungu ananiepusha sana ila kuna vitu hata mimi siwezi fanya sio makusudi au najifanya but akili mtu wangu jitambue tu.hizo ndio tabia zao mkuu wewe kama sio miongoni mwao mshukuru mungu
~kondakta wa daradara < hawezi kupiga kelele >
~kusaidia fundi < wanaita kazi ngumu>
~kuuza duka
~biashara mtandaoni < wanakwambia utapeli>
~udereva < wanaogopa ajari >
~kuuza mishkaki,chips,ndizi,karimati,mihogo,migahawa
~kilimo hakilipi
~ufugaji mambo ya kizee
Hawataki kuajiliwa
Kila kijana anataka kuwa msanii mkubwa
Hao Ukitumia hela zako wanakwambia freemason
Hao wanandoto za kumiliki mikwanja mirefu nk.
Hapo umesema kweli sisi born town wengi hatuwezi kupiga hizo mishe, labda kwenye kuajiriwa tena sehemu ya mkwanja mrefu, tunapenda maisha nyepenyepe.~kondakta wa daradara < hawezi kupiga kelele >
~kusaidia fundi < wanaita kazi ngumu>
~kuuza duka <hawawezi kukaa sehem moja>
~biashara mtandaoni < wanakwambia utapeli>
~udereva < wanaogopa ajari >
~kuuza mishkaki,chips,ndizi,karimati,mihogo,migahawa <biashara ndogo hutoboi>
~kilimo hakilipi
~ufugaji mambo ya kizee
Hawataki kuajiliwa
Kila kijana anataka kuwa msanii mkubwa
Hao Ukitumia hela zako wanakwambia freemason
Hao wanandoto za kumiliki mikwanja mirefu nk.
Nenda ilala saa10 alfJiri wanavyofungua mabalo ya mtumba uone vijana mabishoo kibao wanavyopambana, nenda machimbo ya mawe ya limboa uone vijana wanavyombana kupasua kokoto kutafuta elf2 KWA siku, nenda wazo hill, nenda KWA mo dewji uone vijana wanavyobeba mabando kupakiza kwenye mafuso, vijana tushakubaliana na hali hakuna njia ya ku survive zaidi ya kupambanahuwajui vijana wa mjini wewe tulia