Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini tuangaike na kazi za aibu na za kutumia nguvu wakati tunaweza pata pesa kwa kutumia akili na kucontrol watu.Tunapenda ego sana
Dalali anaweza kuweka milioni 200 kwa siku.akili nyingi kama dalali
Wanaozifanya hizo kazi wanatoka wapi kama sio kwenye mji husika?~kondakta wa daradara < hawezi kupiga kelele >
~kusaidia fundi < wanaita kazi ngumu>
~kuuza duka
~biashara mtandaoni < wanakwambia utapeli>
~udereva < wanaogopa ajari >
~kuuza mishkaki,chips,ndizi,karimati,mihogo,migahawa
~kilimo hakilipi
~ufugaji mambo ya kizee
Hawataki kuajiliwa
Kila kijana anataka kuwa msanii mkubwa
Hao Ukitumia hela zako wanakwambia freemason
Hao wanandoto za kumiliki mikwanja mirefu nk.
Sawa kabisa mkuuu 😅😅😅😅mi naamini maisha yakikupiga vizuri, utafanya chochote tu.....
Duuh aseee hii noma sana alafu unskuta hata hujulikani ww ni naniDalali anaweza kuweka milioni 200 kwa siku.
Daradara ndiyo nn? Ivi watu wa lake zone lile ziwa limewasababishia nn?~kondakta wa daradara < hawezi kupiga kelele >
~kusaidia fundi < wanaita kazi ngumu>
~kuuza duka <hawawezi kukaa sehem moja>
~biashara mtandaoni < wanakwambia utapeli>
~udereva < wanaogopa ajari >
~kuuza mishkaki,chips,ndizi,karimati,mihogo,migahawa <biashara ndogo hutoboi>
~kilimo hakilipi
~ufugaji mambo ya kizee
Hawataki kuajiliwa
Kila kijana anataka kuwa msanii mkubwa
Hao Ukitumia hela zako wanakwambia freemason
Hao wanandoto za kumiliki mikwanja mirefu nk.
Acha kutisagia kunguni mkuu kisa hatupendi kazi ngumu na za aibu bali tunatumia akili kuishi mjini poa bhana.Wao wanachojua ni ushoga na mashangazi tu.