Hizi ndizo kazi ambazo mtoto wa mjini hawezi kuzifanya...

Siongelei hao wanafunzi wa chuo waliotoka mkoani wakaingia dar maisha yakawapiga ndio wanaingia mitaani, naongelea hawa born town
 
Wanaozifanya hizo kazi wanatoka wapi kama sio kwenye mji husika?
 
Daradara ndiyo nn? Ivi watu wa lake zone lile ziwa limewasababishia nn?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…