Hizi ndizo sababu kuu 3 kwanini mfuko wa NHIF unapitia changamoto nyingi katika kuhudumia wananchi

Hizi ndizo sababu kuu 3 kwanini mfuko wa NHIF unapitia changamoto nyingi katika kuhudumia wananchi

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Habari JF ,Binafsi nimefanya kazi na NHIF kwa zaidi ya miaka 5, kumekuwa na Changamoto nyingi ambazo zinapelekea huduma kupitia huu mfuko kudolola.

Mambo haya nimefuatilia ndio chanzo kikubwa ya Changamoto :-

1. ELIMU DUNI KUHUSU MFUKO WA NHIF (hupelekea matumizi yasiyo sahihi na kudhohofisha mfuko ), wanufaika wengi sana hufikiri ukiwa unakatwa hela basi ni lazima utibiwe hivyo kadi zikikaa sana basi atalazimika kuchukua hata familia nzima au kuwapa hata majirani waende hospitalini kupata matibabu .

Ukweli ni kwamba Matibabu ni gharama sana fedha kidogo tunazo katwa hazitoshi kugharamikia hivyo kinachofanyika kwenye mfuko ni COST SHARING - kipindi wewe mwaka mzima hauumwi ujue kuna mtu kila mwezi anapata matibabu ya zaidi ya laki 2 na anakatwa 22,000 tu . Hivyo mfuko ni wa kuulinda sana kuepuka matumizi yasiyo sahihi au yasiyo ya lazima maana hata wewe kuna siku utatibiwa kwa zaidi unachochangia .

2. HELA YA KUMUONA DAKTARI , Katika madai mengi pesa kubwa inakwenda kwenye hii sehemu hivyo kuna haja ya kupitia na kuona itawekwaje ili isimuumize mnufaika na mtoa huduma ,kama itawezekana basi mfuko uchangie matibabu consultations alipie mnufaika (Maamuzi magumu ) .

3.MATUMIZI MAKUBWA YA PESA ZA MFUKO MAOFISINI -NHIF, Mikopo, Mishahara, Posho na safari nyingi zinazofanywa na watumishi wa NHIF ni mzigo kwa mfuko.

NHIF inatakiwa ije na Technologia zitakazo rahisisha kazi na kudhibiti ubadhilifu - watumishi waumize vichwa

Mfano -NHIF ije na mfumo wake yenyewe ambao hospitali zitautumia uonyeshe mgonjwa anatibiwa nini, mara ya mwisho alitibiwa wapi alifanya kipimo kipi na alipewa dawa zipi na Daktari X aone matibabu ya kituo Y kuepuka kurudia madawa .

Nadhani kama NHIF itasolve haya mambo kuna Changamoto zitapotea.​
 
Serikali iwekeze pia nguvu nyingi katika kuelimisha watu kujali afya zao na kuishi mtindo bora wa maisha Vyakula ,vipodozi na vinywaji vikaguliwe kwa umakini pia watu waonapo dalili zozote za awali wasisite kumuona daktari ili kuepuka kutibiwa ukiwa katika hali mbaya ya gharama kubwa kwa magonjwa yasioambukiza !! Saratani ,Figo , Shinikizo la moyo na Kisukari ni magonjwa makubwa yanayouelemea mfuko!!

Serikali yetu pia kuiamini ni ngumu , usikute pesa ipo inaweza kuendesha mfuko , ila watu wamechukua tu wako wanafanyia biashara .
 
Serikali iwekeze pia nguvu nyingi katika kuelimisha watu kujali afya zao na kuishi mtindo bora wa maisha Vyakula ,vipodozi na vinywaji vikaguliwe kwa umakini pia watu waonapo dalili zozote za awali wasisite kumuona daktari ili kuepuka kutibiwa ukiwa katika hali mbaya ya gharama kubwa kwa magonjwa yasioambukiza !! Saratani ,Figo , Shinikizo la moyo na Kisukari ni magonjwa makubwa yanayouelemea mfuko!!

Serikali yetu pia kuiamini ni ngumu , usikute pesa ipo inaweza kuendesha mfuko , ila watu wamechukua tu wako wanafanyia biashara .
Prof Janabi anajitahidi pia sema sisi wabongo wagumu sana
 
NHIF imewekeza hisa zake katika benki ya Azania kwa maana ya kwamba ni share holder wakubwa na wamiliki wa hiyo benki.

wanapaswa kutumia faida inayopatikana katika kuhudumia wananchi na kuwekeza katika viwanda vya madawa pia ili kununua dawa kwa bei rahisi.
 
Habari JF ,Binafsi nimefanya kazi na NHIF kwa zaidi ya miaka 5, kumekuwa na Changamoto nyingi ambazo zinapelekea huduma kupitia huu mfuko kudolola.

Mambo haya nimefuatilia ndio chanzo kikubwa ya Changamoto :-

1. ELIMU DUNI KUHUSU MFUKO WA NHIF (hupelekea matumizi yasiyo sahihi na kudhohofisha mfuko ), wanufaika wengi sana hufikiri ukiwa unakatwa hela basi ni lazima utibiwe hivyo kadi zikikaa sana basi atalazimika kuchukua hata familia nzima au kuwapa hata majirani waende hospitalini kupata matibabu .

Ukweli ni kwamba Matibabu ni gharama sana fedha kidogo tunazo katwa hazitoshi kugharamikia hivyo kinachofanyika kwenye mfuko ni COST SHARING - kipindi wewe mwaka mzima hauumwi ujue kuna mtu kila mwezi anapata matibabu ya zaidi ya laki 2 na anakatwa 22,000 tu . Hivyo mfuko ni wa kuulinda sana kuepuka matibu yasiyo sahihi au yasiyo ya lazima maana hata wewe kuna siku utatibiwa kwa zaidi unachochangia .

2. HELA YA KUMUONA DAKTARI , Katika madai mengi pesa kubwa inakwenda kwenye hii sehemu hivyo kuna haja ya kupitia na kuona itawekwaje ili isimuumize mnufaika na mtoa huduma ,kama itawezekana basi mfuko uchangie matibabu consultations alipie mnufaika (Maamuzi magumu ) .

3.MATUMIZI MAKUBWA YA PESA ZA MFUKO MAOFISINI -NHIF, Mikopo, Mishahara, Posho na safari nyingi zinazofanywa na watumishi wa NHIF ni mzigo kwa mfuko.

NHIF inatakiwa ije na Technologia zitakazo rahisisha kazi na kudhibiti ubadhilifu - watumishi waumize vichwa

Mfano -NHIF ije na mfumo wake yenyewe ambao hospitali zitautumia uonyeshe mgonjwa anatibiwa nini, mara ya mwisho alitibiwa wapi alifanya kipimo kipi na alipewa dawa zipi na Daktari X aone matibabu ya kituo Y kuepuka kurudia madawa .

Nadhani kama NHIF itasolve haya mambo kuna Changamoto zitapotea.​
Well
 
Serikali iwekeze pia nguvu nyingi katika kuelimisha watu kujali afya zao na kuishi mtindo bora wa maisha Vyakula ,vipodozi na vinywaji vikaguliwe kwa umakini pia watu waonapo dalili zozote za awali wasisite kumuona daktari ili kuepuka kutibiwa ukiwa katika hali mbaya ya gharama kubwa kwa magonjwa yasioambukiza !! Saratani ,Figo , Shinikizo la moyo na Kisukari ni magonjwa makubwa yanayouelemea mfuko!!

Serikali yetu pia kuiamini ni ngumu , usikute pesa ipo inaweza kuendesha mfuko , ila watu wamechukua tu wako wanafanyia biashara .
Wananchi hawa hawa wanaombeza Janabi kila wakielimishwa kuhusu afya zao🙆🙆🙆
 
Habari JF ,Binafsi nimefanya kazi na NHIF kwa zaidi ya miaka 5, kumekuwa na Changamoto nyingi ambazo zinapelekea huduma kupitia huu mfuko kudolola.

Mambo haya nimefuatilia ndio chanzo kikubwa ya Changamoto :-

1. ELIMU DUNI KUHUSU MFUKO WA NHIF (hupelekea matumizi yasiyo sahihi na kudhohofisha mfuko ), wanufaika wengi sana hufikiri ukiwa unakatwa hela basi ni lazima utibiwe hivyo kadi zikikaa sana basi atalazimika kuchukua hata familia nzima au kuwapa hata majirani waende hospitalini kupata matibabu .

Ukweli ni kwamba Matibabu ni gharama sana fedha kidogo tunazo katwa hazitoshi kugharamikia hivyo kinachofanyika kwenye mfuko ni COST SHARING - kipindi wewe mwaka mzima hauumwi ujue kuna mtu kila mwezi anapata matibabu ya zaidi ya laki 2 na anakatwa 22,000 tu . Hivyo mfuko ni wa kuulinda sana kuepuka matibu yasiyo sahihi au yasiyo ya lazima maana hata wewe kuna siku utatibiwa kwa zaidi unachochangia .

2. HELA YA KUMUONA DAKTARI , Katika madai mengi pesa kubwa inakwenda kwenye hii sehemu hivyo kuna haja ya kupitia na kuona itawekwaje ili isimuumize mnufaika na mtoa huduma ,kama itawezekana basi mfuko uchangie matibabu consultations alipie mnufaika (Maamuzi magumu ) .

3.MATUMIZI MAKUBWA YA PESA ZA MFUKO MAOFISINI -NHIF, Mikopo, Mishahara, Posho na safari nyingi zinazofanywa na watumishi wa NHIF ni mzigo kwa mfuko.

NHIF inatakiwa ije na Technologia zitakazo rahisisha kazi na kudhibiti ubadhilifu - watumishi waumize vichwa

Mfano -NHIF ije na mfumo wake yenyewe ambao hospitali zitautumia uonyeshe mgonjwa anatibiwa nini, mara ya mwisho alitibiwa wapi alifanya kipimo kipi na alipewa dawa zipi na Daktari X aone matibabu ya kituo Y kuepuka kurudia madawa .

Nadhani kama NHIF itasolve haya mambo kuna Changamoto zitapotea.​
Hiyo TU ya watumishi kukopeshana mahela ndio imeniacha nimezimia, na unakuta hawarejeshi!! Langu ni moja TU Kwa nini mfuko usiwadhamini wakawa wanakopeshwa na mabenki ya biashara!?
Jingine ni mishahara mikubwa, ila Cha kujiuliza wamewafanyia nini kikubwa watanzania hadi wajilipe kama wapo peponi!?
Jingine la mwisho ni Kwa Nini huu mfuko unajiendesha kisihasa, Kuna umuhimu Gani mfuko ulienda kujikita Dodoma Kwa kuwekeza majengo makubwa yasiyokuwa na tija!? Mfuko una trillion moja Kwa mfano, matumizi ya kawaida billion mia Tano, Kwa nini mfuko usifilisike!?
 
Tuliambiwa fedha zote wamejikopesha na kujilipa posho. Hiyo ya mwisho ndio iwe namba moja kabisa. Ila utashangaa namba mbili ndio inaweza kuchukuliwa kwa uzito.
Wadhamiwe wakope kwenye mabenki
 
Hiyo TU ya watumishi kukopeshana mahela ndio imeniacha nimezimia, na unakuta hawarejeshi!! Langu ni moja TU Kwa nini mfuko usiwadhamini wakawa wanakopeshwa na mabenki ya biashara!?
Jingine ni mishahara mikubwa, ila Cha kujiuliza wamewafanyia nini kikubwa watanzania hadi wajilipe kama wapo peponi!?
Jingine la mwisho ni Kwa Nini huu mfuko unajiendesha kisihasa, Kuna umuhimu Gani mfuko ulienda kujikita Dodoma Kwa kuwekeza majengo makubwa yasiyokuwa na tija!? Mfuko una trillion moja Kwa mfano, matumizi ya kawaida billion mia Tano, Kwa nini mfuko usifilisike!?
Well said
 
Hii inchi uzalendo umekufa kabisa watu wakiona pesa ni za gvt hata hawajali yani mnajikopeshaje hela za mfuko nyingi kiasi hicho na hamrudishi wakati ni hela za matibabu.
 
Back
Top Bottom