Hizi ndizo sababu kuu 3 kwanini mfuko wa NHIF unapitia changamoto nyingi katika kuhudumia wananchi

Magufuli ndio alivuruga mfuko wa hifadhi ya jamii kwa kuchota hela huko na kupeleka kwenye ujenzi wa madaraja. Kinachofanyika sasa ni kufidia fedha zilizochukuliwa kibabe na awamu ya 4 na mama ni mhusika pia.
aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…