Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna rafiki ya yangu yuko Barick,hata chuo hajafika anakula 5M .GGM ndio kampuni inayolipa poa aisee..
Junior Accountant tu anakunja more than 4M with fringes benefits.
Achana na huo uchafuAlistair
Yeah!! Ndio hivyo ndugu.Kuna rafiki ya yangu yuko Barick,hata chuo hajafika anakula 5M .
Hakuna kitu hukoPlan international
Na hapo kipindi cha BWM waliweka figisu wasilipwe mishahara ya kimataifa kama hizo kamluni za kigodi zinavyolipa huko duniani ..lakini bado mpunga ni mrefu..Yeah!! Ndio hivyo ndugu.
Asa kama kampuni kwa mwezi wanaingiza faida ya more than 100B unategemea staffs walipwaje.
MSF bila kuwasahauHJFMRI
JHPIEGO
AGPAH
AMREF
FHI 360
Good Neighbors
Alliance one nimefanya msimu[emoji17][emoji17]1. Walter Reed foundation
2. USAID projects
3. TBL
4. SBL
5.TCC
6. Twiga Cement
7. Mbeya Cement
8. Alliance One Tobacco
9. Coca Cola
10. Toyota Tanzania
Kitengo ganiVodacom balaa
Coke sijui wameingiaje?List ni fake.
Cocacola?
Hii taasis ni balaaaCamfed?
Muwe mnaomba ushauri vitu vya kusomea jamani...naombeni connection bas kwa mwenye uwezo jmn nina bachelor ya environmental planning
naombeni connection bas kwa mwenye uwezo jmn nina bachelor ya environmental planning
Nishauri nisome kozi gan kaka za Electrical engineeringMuwe mnaomba ushauri vitu vya kusomea jamani...
Environmental Planning kweli...??? Bila connection kibongobongo utoboe kweli...?
Muda utaenda na ukija pata kazi utaambiwa Monthly Salary 380, 000 kama hutaki basi