MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,928
- 8,976
Soma Diploma ya Engineering kati ya Mechanical au Electrical. Ukihitimu kapige Biomedical Engineering.Nishauri nisome kozi gan kaka za Electrical engineering
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma Diploma ya Engineering kati ya Mechanical au Electrical. Ukihitimu kapige Biomedical Engineering.Nishauri nisome kozi gan kaka za Electrical engineering
Kozi nzuri sana hizi ata kama itamchukua muda mrefu kupata ajira ila siku akipata ndani ya miezi michache tu atakua na pesa sio kitoto.Soma Diploma ya Engineering kati ya Mechanical au Electrical. Ukihitimu kapige Biomedical Engineering.
kote nshaomba hadi kukata tamaa ndugu ynguTafuta nafasi za kujitolea kwenye non governmental organization,utapata connection huko mbele ya safari
Usichoke Wala kukata tamaa,hebu tafuta NGO inayohusiana na Environment issues ujitolee. Kama Kuna ugumu wa kupata nafasi ya kujitolea,hebu watafute alumni wenzako wenye ujuzi tofauti na kwako muanzishe na kusajili non profit or profit NGO,then muanze kaze.kote nshaomba hadi kukata tamaa ndugu yngu
Hivi kuanzisha NGO ni rahisi? Mnapataje hela?Usichoke Wala kukata tamaa,hebu tafuta NGO inayohusiana na Environment issues ujitolee. Kama Kuna ugumu wa kupata nafasi ya kujitolea,hebu watafute alumni wenzako wenye ujuzi tofauti na kwako muanzishe na kusajili non profit or profit NGO,then muanze kaze.
Karibu pm
Shukrani sana bossUsichoke Wala kukata tamaa,hebu tafuta NGO inayohusiana na Environment issues ujitolee. Kama Kuna ugumu wa kupata nafasi ya kujitolea,hebu watafute alumni wenzako wenye ujuzi tofauti na kwako muanzishe na kusajili non profit or profit NGO,then muanze kaze.
Karibu pm
Hawa scale zao zikoje?IHI(IFAKARA HEALTH INSTITUTE)
Pole sna mkuu, have faith in God atapata kazi tuumimi hadi nmekata tamaa mda mwingne hadi nawalaumu wazazi wangu kwa kunizaa aseeeee, Mungu anisaidie sana sioni hata raha ya kuishi kabisa
Shukran kaka nipige Electrical and hydropower au electrical and telecom nichukue ipi hapoSoma Diploma ya Engineering kati ya Mechanical au Electrical. Ukihitimu kapige Biomedical Engineering.
Kukata tamaa ni UDHAIFUkote nshaomba hadi kukata tamaa ndugu yngu
Hawa wamekua utopolo saiviAlistair
hawana hela hawa siku hizi mkuuGgm na Barrick
mkuu angalia usije lia mbele labda kam unaplan ajir sekta binafs, serikalin huw wanscreen short san yaan wanakuw specif san mfano kam wanatak electrical eng ni hiyo hydropower haataitakShukran kaka nipige Electrical and hydropower au electrical and telecom nichukue ipi hap
Mwananchi communication Ltd mbona hujawaweka hapo1. Walter Reed foundation
2. USAID projects
3. TBL
4. SBL
5.TCC
6. Twiga Cement
7. Mbeya Cement
8. Alliance One Tobacco
9. Coca Cola
10. Toyota Tanzania
Wanalipa vzr mkuu?Mwananchi communication Ltd mbona hujawaweka hapo
Lini hiyo kaka .....mm nakaa kwa shemeji yangu hapa Nyasaka sentaKumbe huna kazi mkuu?
Sasa mbona kwenye ule uzi wa yoga unajifanya uko kitengo?
Mungu atusaidie tu kwakweli vijana kwa sasa hatuna raha kabisamimi hadi nmekata tamaa mda mwingne hadi nawalaumu wazazi wangu kwa kunizaa aseeeee, Mungu anisaidie sana sioni hata raha ya kuishi kabisa
[emoji3] Pole sana.Lini hiyo kaka .....mm nakaa kwa shemeji yangu hapa Nyasaka senta