Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale staff naskia walikiwa wanakunja 5MKalynda ni mwamba
Umesahau Yanga mkuu, unajua Aziz Ki peke yake anaweza lipa mishahara wachezaji wote wa Ihefu?1. Walter Reed foundation
2. USAID projects
3. TBL
4. SBL
5.TCC
6. Twiga Cement
7. Mbeya Cement
8. Alliance One Tobacco
9. Coca Cola
10. Toyota Tanzania
Sbl sijui imeingiaje hapo kwenye list...vipi PWCSBL OYEEEE
daaaaah we acha tu ndugu kazi zipo ila bila connection hauwezi pataMuwe mnaomba ushauri vitu vya kusomea jamani...
Environmental Planning kweli...??? Bila connection kibongobongo utoboe kweli...?
Muda utaenda na ukija pata kazi utaambiwa Monthly Salary 380, 000 kama hutaki basi
mimi hadi nmekata tamaa mda mwingne hadi nawalaumu wazazi wangu kwa kunizaa aseeeee, Mungu anisaidie sana sioni hata raha ya kuishi kabisaDaah,hizo list mnazotuma kote huko nimeshatuma maombi ya kazi lakini wapi.
Naombeni connection wakuu.
Umesoma course gani ndugumimi hadi nmekata tamaa mda mwingne hadi nawalaumu wazazi wangu kwa kunizaa aseeeee, Mungu anisaidie sana sioni hata raha ya kuishi kabisa
ENvironmental planning nduguUmesoma course gani ndugu
Aisee..fafanua vzr.Hakuna kama Capital Drilling, Boart Longyear na Wellforce International.
Vodacom Tanzania1. Walter Reed foundation
2. USAID projects
3. TBL
4. SBL
5.TCC
6. Twiga Cement
7. Mbeya Cement
8. Alliance One Tobacco
9. Coca Cola
10. Toyota Tanzania
Lugha ya TGS D wachache wa serikalini wenzio ndo watakuelewaKabisa mkuu....intern wanalipwa kama TGS D wa serikalini...hii life haiko fair kabisa
Tafuta nafasi za kujitolea kwenye non governmental organization,utapata connection huko mbele ya safariENvironmental planning ndugu
Tatizo kubwa LA Waswahili tunaishi kwa UNAFIKI sana na SIRI nyiiingi.Kuna mwamba aliingia USAID projects mwaka 2009 alipohitimu Bachelor ya kwanza, hadi sasa amezamia kwenye hayo maprojects.
Asali kaila haswa, life lishatiki kitambo sana, sasa ndio yupo kwenye late 30's.