NAJYUZ
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 1,981
- 3,475
Be serious[emoji28]IHI(IFAKARA HEALTH INSTITUTE)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Be serious[emoji28]IHI(IFAKARA HEALTH INSTITUTE)
1.5m kwa hizo international NGO ni mshahara wa mlinziMimi nipo kaizirege, nakunja 1.5 as a class teacher
Hiyo bado ndogo,TBL kuna mafundi wenye vyeti vya Veta wanakunja zaidi ya hiyo.Mimi nipo kaizirege, nakunja 1.5 as a class teacher
Chuo gani?ENvironmental planning ndugu
si ukauze nyama pale machinji😂😂Lini hiyo kaka .....mm nakaa kwa shemeji yangu hapa Nyasaka senta
chuo cha mipango boss dodomaChuo gani?
tupe na sisi connwection ndugu yngu tunaanghaika daaaaahHizo kampuni nyingi hapo kwenye list zilikuwa na hela zamani sasa hivi zimebaki majina tu na umaarufu lakini hakuna kitu.
Kwa mfano kama hiyo TBL imeuzwa kutoka SABMILLER wakawauzia ABINBEV na sasa hivi wasimamizi wakuu ni wahindi wameharibu mifumo yote ikiwemo kubadilisha scales za mishahara na kuongeza majukumu ya kazi maana walipunguza wafanyakazi.
Jamani kuna kampuni zina mipunga mirefu watu wanakula kimyakimya hazivumi.
Tembeeni kule Arusha kwenye kampuni za utalii ndio mtajua ninachokisema,mimi nilifanikiwa kwenda nikajionea kwa macho yangu,ngoja niwape kastori fulani hivi mtanielewa kidogo kuna kipindi niliitwa interview Arusha kwenye kampuni moja ya utalii nilikuwa siifahamu kabla ya hapo ila niliona tangazo lao online nikaomba kimasihara tu sikujua kama wangeniita.
Walinipigia simu niende kwa ajili ya interview nikapanda bus hadi Arusha nikalala lodge asubuhi yake nikafika kwenye ofisi ilipo kwa kuulizia.
Basi baada ya kufika pale nikacheki mazingira yao majengo ni kama shule ya msingi,basi nikajisemea kimoyomoyo" hapa nimeingia cha kike,wataweza kunilipa kweli hawa mshahara ninaotaka"
Basi interview ikaanza na swali la mwisho wakaniuliza"unatarajia ulipwe mshahara wa kiasi gani?Mimi nikajibu natarajia nilipwe 4m,ila moyoni najisemea wakishindwa kunilipa hiyo potelea mbali,interview ikaisha nikarudi mkoani kwangu.
Baada ya wiki 2 wakanipigia simu nikasaini mkataba na kuanza kazi.
Sasa baada ya miezi kadhaa kupita nikaja kugundua kuna watu wanakunja mkwanja mara 2 hadi na wengine mara 3 ya pesa ninayolipwa mimi na kazi zetu haziachani sana.
Hapo nikabaki mdomo wazi nikasema kumbe kuna watu hii nchi wanakula pesa ndefu kimyakimya huwezi kujua hadi upewe connection ya kuingia huko.
Kwahiyo jomba unakunja 4m kwa mwezi?Hizo kampuni nyingi hapo kwenye list zilikuwa na hela zamani sasa hivi zimebaki majina tu na umaarufu lakini hakuna kitu.
Kwa mfano kama hiyo TBL imeuzwa kutoka SABMILLER wakawauzia ABINBEV na sasa hivi wasimamizi wakuu ni wahindi wameharibu mifumo yote ikiwemo kubadilisha scales za mishahara na kuongeza majukumu ya kazi maana walipunguza wafanyakazi.
Jamani kuna kampuni zina mipunga mirefu watu wanakula kimyakimya hazivumi.
Tembeeni kule Arusha kwenye kampuni za utalii ndio mtajua ninachokisema,mimi nilifanikiwa kwenda nikajionea kwa macho yangu,ngoja niwape kastori fulani hivi mtanielewa kidogo kuna kipindi niliitwa interview Arusha kwenye kampuni moja ya utalii nilikuwa siifahamu kabla ya hapo ila niliona tangazo lao online nikaomba kimasihara tu sikujua kama wangeniita.
Walinipigia simu niende kwa ajili ya interview nikapanda bus hadi Arusha nikalala lodge asubuhi yake nikafika kwenye ofisi ilipo kwa kuulizia.
Basi baada ya kufika pale nikacheki mazingira yao majengo ni kama shule ya msingi,basi nikajisemea kimoyomoyo" hapa nimeingia cha kike,wataweza kunilipa kweli hawa mshahara ninaotaka"
Basi interview ikaanza na swali la mwisho wakaniuliza"unatarajia ulipwe mshahara wa kiasi gani?Mimi nikajibu natarajia nilipwe 4m,ila moyoni najisemea wakishindwa kunilipa hiyo potelea mbali,interview ikaisha nikarudi mkoani kwangu.
Baada ya wiki 2 wakanipigia simu nikasaini mkataba na kuanza kazi.
Sasa baada ya miezi kadhaa kupita nikaja kugundua kuna watu wanakunja mkwanja mara 2 hadi na wengine mara 3 ya pesa ninayolipwa mimi na kazi zetu haziachani sana.
Hapo nikabaki mdomo wazi nikasema kumbe kuna watu hii nchi wanakula pesa ndefu kimyakimya huwezi kujua hadi upewe connection ya kuingia huko.
Nimeuza saana huko mitaa ya mandu kakebe na kishiri yotesi ukauze nyama pale machinji[emoji23][emoji23]
Dah TBL ni noma[emoji119]Hiyo bado ndogo,TBL kuna mafundi wenye vyeti vya Veta wanakunja zaidi ya hiyo.
Hatari sana kaka,haya mambo huwezi kujua hadi watu wakufumbue macho.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Subiri msimu wa kampeni ya kupanda miti kitaifa [emoji23][emoji23]