Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #21
Sasa Mimi nalia wapi?!basi wacha na mi niombe anipe ubavu wangu kweli kweli nisije kulia kama wewe
Me nainjoy ndoa mwaka WA 35 sasa 💃💃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Mimi nalia wapi?!basi wacha na mi niombe anipe ubavu wangu kweli kweli nisije kulia kama wewe
Shemeji Kila siku unaniuliza Hilo swali: 🙄Money Penny, hivi Nini tofauti Kati ya nyakanga , kungwi na SoMo? Je wewe ni Nani Kati ya hao?
Sasa Mimi nalia wapi?!
Me nainjoy ndoa mwaka WA 35 sasa [emoji126][emoji126]
Aisee, njoo kanisani kule kumenogawewe haulii na mimi staki kulia kama wewe ambavyo haulii
Aisee, njoo kanisani kule kumenoga
Ngoja nikutagkanisa gani nikuje
Ngoja nikutag
Kanisa huko buza
Ndio mkuubuza tena jaman[emoji23][emoji23]
nimeona nasubiri ratiba ya ibada 😂😂Ndio mkuu
Sasa hata wakichelewa si wataingia tuuu...Ama unashauri wasioe kabisa?washauri vijana wasikimbilie kabisa, hakuna Raha yeyote[emoji134][emoji24]..... Once you fall in love this is what gonna happen..
Jr[emoji769]
Hapana Yule mcheza sinema wangu🏃🏃🏃🏃naskia wewe ndo yule kibonge mzuri wa fesibuku?
Me nashauri wasiharakie waingie wakiwa na akili zilizokomaa za kumudu ndoaSasa hata wakichelewa si wataingia tuuu...Ama unashauri wasioe kabisa?
Hapo ndo napataga wazimu......Huyo kasema -
"Ndio analeta chakula ndani lakini Mapenzi Penny NI zaidi ya Chakula"......
ex wife wa Mabeste kasema -
"Najua ananipenda na kila siku anasema nakupenda mke wangu lakini nakupenda haileti ugali mezani, nakupenda hailipi ada za watoto"
How to do check and balance kwa hawa viumbe jamani?
Sent using Jamii Forums mobile app
washauri vijana wasikimbilie kabisa, hakuna Raha yeyote[emoji134][emoji24]..... Once you fall in love this is what gonna happen..
Jr[emoji769]
Can't admitBest nawe ushalizwa kwenye ndoa au?! [emoji124][emoji124][emoji124]
washauri vijana wasikimbilie kabisa, hakuna Raha yeyote[emoji134][emoji24]..... Once you fall in love this is what gonna happen..
Jr[emoji769]
Me nashauri wasiharakie waingie wakiwa na akili zilizokomaa za kumudu ndoa
Hahahahahahaha poleHapo ndo napataga wazimu......
Au unaumizwa kwenye ndoa?! 🚶🚶🚶🚶Can't admit
Jr[emoji769]