Muigai Jr
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 1,762
- 3,362
Ukimnyonya itamfanye asiende kunyonywa?Mzoeshe kumnyonya na mambo mengine
Shauriako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukimnyonya itamfanye asiende kunyonywa?Mzoeshe kumnyonya na mambo mengine
Shauriako
We unaonaje labda?! 🚶🚶🚶Ukimnyonya itamfanye asiende kunyonywa?
Unaeza kumfuga Kunguru?W
We unaonaje labda?! [emoji124][emoji124][emoji124]
Ukimchoma sindano ya kupunguza kelele inawezekana kabisaaUnaeza kumfuga Kunguru?
.Au sioUkimchoma sindano ya kupunguza kelele inawezekana kabisaa
[emoji3][emoji3]....hata unyonye mpaka iishe....kunguru ni kunguru hafugiki.Ukimchoma sindano ya kupunguza kelele inawezekana kabisaa
Kwako kama imeenda poa..Endelea kumshukuru MunguSijui hili ni tatizo la tanzania au africa au dunia, lakini nimeliona sana kwa sisi watanzania tunapenda sana kujumlisha mambo, yani mtu ndoa yake imemshinda basi anajumlisha ndoa zoooote ni mbaya na kuwahusia watu wasiolewe eti kwenye usingo ndo kuna furaha, alishaonga na hao singo wakamwambia wana furaha, mimi nina rafiki zangu hawajaolewa jamani wana stress vibaya mno wanatamani Mungu awatendee muujiza wa ndoa leo kesho, kwahiyo kila kundi lina watu wake sio woooote wako kama wewe. Mimi niko ndani ya ndoa nina furaha nina amani kila nnapokumbuka Neema niliyonayo namwambia Mungu asante
Ndio🚶🚶🚶🚶.Au sio
Kwenye maisha hautakiwi kukata tamaa[emoji3][emoji3]....hata unyonye mpaka iishe....kunguru ni kunguru hafugiki.
Hao mademu unaoongea NAO wako Kwa kanisa, sasa Nani anachukua demu Kwa kanisa sahivi??Sijui hili ni tatizo la tanzania au africa au dunia, lakini nimeliona sana kwa sisi watanzania tunapenda sana kujumlisha mambo, yani mtu ndoa yake imemshinda basi anajumlisha ndoa zoooote ni mbaya na kuwahusia watu wasiolewe eti kwenye usingo ndo kuna furaha, alishaonga na hao singo wakamwambia wana furaha, mimi nina rafiki zangu hawajaolewa jamani wana stress vibaya mno wanatamani Mungu awatendee muujiza wa ndoa leo kesho, kwahiyo kila kundi lina watu wake sio woooote wako kama wewe. Mimi niko ndani ya ndoa nina furaha nina amani kila nnapokumbuka Neema niliyonayo namwambia Mungu asante
Kabisa🚶🚶🚶Kwako kama imeenda poa..Endelea kumshukuru Mungu
mmesikia Smart911 Cr wa familia Seth saint mshamba_hachekwiBado naendelea kurekodi VIPINDI vyangu vya YouTube, ndio maana skuhizi siandiki Uzi Sana huku hata HADITHI kwenye website nimesimama Kwanza, YouTube unachukua muda wangu mwiingi nikitoka hapo chokest !
naenda ku-du na mume alafu kushakucha narudi studio tena.
Anyway wiki hii nilikuwa na wageni studio, tunadiskasi kuhusu ndoa Kwa ujumla, Kila mmoja alifunguka Kwa jinsi anavyoishi ndoa yake Ila mgeni mmoja alinishangaza maana Namjua ana ndoa ya Miaka 10 lakini Hana furaha
Mgeni: Money Stars (Money Penny), ndoa Kwa upande wangu nashindwa kuielezea lakini imefika mahali nataka nitoke tu hapo mume wangu, watoto na wakwe hawajui
Kusema kweli siko na furaha kwenye ndoa yangu, ndio niliolewa Kwa harusi kubwa, TULIKUWA tunapendana kama MARAFIKI lakini mwanaume tangu ameingia kwenye ndoa alibadilika baada ya Sisi kupata mtoto mmoja
Money Penny: kivipi?
Mgeni:
1. Mawasiliano yetu yalipungua, nikawa lonely tukawa hatu connect, zamani SMS na simu zilikuwa nyingi siku hizi hamna kabisa
2. Anarudi nyumbani amechelewa akija ananikuta nimelala anaondoka Asubuhi Sana.
3. Sioni Upendo Kwa mume tena, kama zamani
Ndio analeta chakula ndani lakini Mapenzi Penny NI zaidi ya Chakula kifupi simwelewi na huu NI mwaka WA 10 WA ndoa
Nimejaribu Kuongea nae lakini naona kama hatuelewani nadhani anahisi naongea kichina sijui
Money Penny: mmejaribu kwenda counselling labda?!
Mgeni: hataki kusikia hayo mambo kabisa sielewi Mume wangu amelogwa?!
Kwakweli likija kwenye swala la ndoa, sishauri waingie kwenye ndoa Kwa haraka, Bora wake hata Miaka 3 au 4 ndio waoane, lakini hata hivyo wamwombe Mungu Sana, wanaume sijajua huwa wanabadilikaga wapi wakishaingia kwenye ndoa.
Hizi ndoa hizi ndoa hizi, naona vijana wanatamani Sana ndoa Ndoa Ndoa, lakini wenye ndoa wengi hawana Raha, wenye Raha kwenye maisha NI wale walioko singo Tu, natamani kuwa singo Kwa sasa lakini sielewi Jamii itanionaje sina Raha na ndoa yangu kabisa
Hizi ndoa, ndoa Ndoa hizi money penny, washauri vijana wasikimbilie kabisa, hakuna Raha yeyote🙆😭
Tuko pamoja mkuu
Ahsante kwa taarifa...
Ndoa ni chaka la kujificha ili upige matukio vizuri.Sasa mbona wanatushutumu ambao hatujaingia ndoani tunaambiwa tuna tabia mbaya pia wanadai ndoa ni heshima.
hahahaKATAA NDOA Kwa afya yako