Chief Wingia
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 2,653
- 4,744
Msiwatishe vijana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubavu wako ushapata sema tu ww ndiye unaruka ruka.basi wacha na mi niombe anipe ubavu wangu kweli kweli nisije kulia kama wewe
Ubavu wako ushapata sema tu ww ndiye unaruka ruka.
Niko hapa.uko wap ubavu wangu siuoni
Kwamba wanaume ndo wanaingia ndoani kwa mapenzi🙄🙄
Achague moja, mapenzi au njaa 🤣🤣🤣??? Ku hustle pamoja hamtaki mnataka mkute hela kisha mnademand na time ya mume kweli?Bado naendelea kurekodi VIPINDI vyangu vya YouTube, ndio maana skuhizi siandiki Uzi Sana huku hata HADITHI kwenye website nimesimama Kwanza, YouTube unachukua muda wangu mwiingi nikitoka hapo chokest !
naenda ku-du na mume alafu kushakucha narudi studio tena.
Anyway wiki hii nilikuwa na wageni studio, tunadiskasi kuhusu ndoa Kwa ujumla, Kila mmoja alifunguka Kwa jinsi anavyoishi ndoa yake Ila mgeni mmoja alinishangaza maana Namjua ana ndoa ya Miaka 10 lakini Hana furaha
Mgeni: Money Stars (Money Penny), ndoa Kwa upande wangu nashindwa kuielezea lakini imefika mahali nataka nitoke tu hapo mume wangu, watoto na wakwe hawajui
Kusema kweli siko na furaha kwenye ndoa yangu, ndio niliolewa Kwa harusi kubwa, TULIKUWA tunapendana kama MARAFIKI lakini mwanaume tangu ameingia kwenye ndoa alibadilika baada ya Sisi kupata mtoto mmoja
Money Penny: kivipi?
Mgeni:
1. Mawasiliano yetu yalipungua, nikawa lonely tukawa hatu connect, zamani SMS na simu zilikuwa nyingi siku hizi hamna kabisa
2. Anarudi nyumbani amechelewa akija ananikuta nimelala anaondoka Asubuhi Sana.
3. Sioni Upendo Kwa mume tena, kama zamani
Ndio analeta chakula ndani lakini Mapenzi Penny NI zaidi ya Chakula kifupi simwelewi na huu NI mwaka WA 10 WA ndoa
Nimejaribu Kuongea nae lakini naona kama hatuelewani nadhani anahisi naongea kichina sijui
Money Penny: mmejaribu kwenda counselling labda?!
Mgeni: hataki kusikia hayo mambo kabisa sielewi Mume wangu amelogwa?!
Kwakweli likija kwenye swala la ndoa, sishauri waingie kwenye ndoa Kwa haraka, Bora wake hata Miaka 3 au 4 ndio waoane, lakini hata hivyo wamwombe Mungu Sana, wanaume sijajua huwa wanabadilikaga wapi wakishaingia kwenye ndoa.
Hizi ndoa hizi ndoa hizi, naona vijana wanatamani Sana ndoa Ndoa Ndoa, lakini wenye ndoa wengi hawana Raha, wenye Raha kwenye maisha NI wale walioko singo Tu, natamani kuwa singo Kwa sasa lakini sielewi Jamii itanionaje sina Raha na ndoa yangu kabisa
Hizi ndoa, ndoa Ndoa hizi money penny, washauri vijana wasikimbilie kabisa, hakuna Raha yeyote🙆😭
Labda wapoKwamba wanaume ndo wanaingia ndoani kwa mapenzi🙄🙄
We si unaona wanawake wanatumia mbwa kupata kukojozwa🚶🚶🚶Msiwatishe vijana
Hata Biblia umeandika wanaume mtoe Muda Kwa MKE na familia kama Kristo alivyotoa muda akaja Duniani akaacha Mbingu akakaa Miaka 33Achague moja, mapenzi au njaa 🤣🤣🤣??? Ku hustle pamoja hamtaki mnataka mkute hela kisha mnademand na time ya mume kweli?
Anti wa Buza🏃🏃🏃🏃Iv uyu mjinga aliyesema ndoa ndoano ni nani
Nyieeeeeee wanaume muwe mnawanyonya wanawake K zao la sivyo mbwa atawasaidia🏃🏃Ahojiwe vzr ukiona sisi wanaume tunasmua kubadilika tatizo lipo kwa mke inawezekana alijisahau mahali flani alafu akipewa maelekezo ubishi na inaonekana ana mdomo Sana ndio maana jamaa hataki contact anakuja usiku then swalaswala mbiooo hio ndo dawa ya mwanamke mchonga ngenga
na wamtafune tuHata Biblia umeandika wanaume mtoe Muda Kwa MKE na familia kama Kristo alivyotoa muda akaja Duniani akaacha Mbingu akakaa Miaka 33
Wewe kutoa Lisaa 1 Kwa MKE hutaki unasema unatafuta pesa🙆🙆🙆
Shauriako mbwa Koko watakusaidia kumnyonya mkeo 🏃🏃🏃🏃
Basi we mdogowangu hujampenda mkeona wamtafune tu
Navyompenda naweza pata kichaa nikisikia kaliwa.Basi we mdogowangu hujampenda mkeo
Labda uliozeshwa Kwa lazima
Mzoeshe kumnyonya na mambo mengineNavyompenda naweza pata kichaa nikisikia kaliwa.