Hizi ndoa zitakuja kuua watu… dah!

Hizi ndoa zitakuja kuua watu… dah!

We shauri yako
Mwenzako amejikuta kwenye kituo change daladala hajui anaenda wwpii.
We kaka najua kwa ulivyo lazima Jamii forum hukosi me ndo Yule nlokuwa nimebeba bag la mgongoni nimeshika na bahasha za chips paleee ma..... Ko...... E
Umempenda we nyooka tu usizunguke saana
 
Niko hapa kituo flan cha daladala
Basi pembeni yangu Amekaa mkaka nadhifu sanaaa anaonekana mwenye sura ya HeLa na hata hapo kituoni sijui hata anafanya nini.... Ila anaonekana mwenye stress Sana hadi anaongea kama mtu anayekaribia kutoa machozi.
Kaka huyu mrefu maji ya kunde nzuri, mwenye sura na maongezi ya upolee yuko busy anaongea na simu....
Anaonekana anaongea na mshkaj wake anamuelezea Mambo ya familia yake.... Yaani anasema hapo alipo hajui hata anaenda wapii Ila hawezi Kurudi nyumbani kwa Yule mwanamke maana anaweza kumpasua akamuua akapata kesii. Bora akae kituo cha daladala.
Badae nkamsikia anasema ".....basi ngoja nichukue daladala nikifwate Nike huko Mara Mia ....". Akadandia daladala huyooooo akatokomea na gari ya bunju.

Sasa jamani mnaishi na Simba ndani kwamba Bora ukae kituo cha daladala kuliko nyumba ambayo mkeo mpendwa uliyemlipia mahari huenda kubwa anaishi?? Ilikuwaje ukamuoa mtu wa hivi? Ni mhemko au?
A see ndoa zimegeuka ndoano kwa wengi Ila ishini humo Hadi mfe tuwazike.
Asanten.
Nimepata njia mpya ya kutongozea mjini
 

Tatizo watu wavivu sana hawapendi kutoka jasho.

Ukichunguza sana wanaume wavivu mario wanapenda ndoa kuoa wadada mambo safi ama wenye kazi nzuri.

Wanawake pia wanawake wavivu wanapenda ndoa sana kuolewa na wanaume wenye maisha mazuri.

Wanaume wenye pesa ndoa wanaogopa

Na wanawake wenye pesa ndoa wanaogopa.

Ukiona mtu anapenda ndoa sana mchunguze maisha yake utaona ni mjanja mjanja
 
Back
Top Bottom