Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umempenda we nyooka tu usizunguke saanaWe shauri yako
Mwenzako amejikuta kwenye kituo change daladala hajui anaenda wwpii.
We kaka najua kwa ulivyo lazima Jamii forum hukosi me ndo Yule nlokuwa nimebeba bag la mgongoni nimeshika na bahasha za chips paleee ma..... Ko...... E
Nimepata njia mpya ya kutongozea mjiniNiko hapa kituo flan cha daladala
Basi pembeni yangu Amekaa mkaka nadhifu sanaaa anaonekana mwenye sura ya HeLa na hata hapo kituoni sijui hata anafanya nini.... Ila anaonekana mwenye stress Sana hadi anaongea kama mtu anayekaribia kutoa machozi.
Kaka huyu mrefu maji ya kunde nzuri, mwenye sura na maongezi ya upolee yuko busy anaongea na simu....
Anaonekana anaongea na mshkaj wake anamuelezea Mambo ya familia yake.... Yaani anasema hapo alipo hajui hata anaenda wapii Ila hawezi Kurudi nyumbani kwa Yule mwanamke maana anaweza kumpasua akamuua akapata kesii. Bora akae kituo cha daladala.
Badae nkamsikia anasema ".....basi ngoja nichukue daladala nikifwate Nike huko Mara Mia ....". Akadandia daladala huyooooo akatokomea na gari ya bunju.
Sasa jamani mnaishi na Simba ndani kwamba Bora ukae kituo cha daladala kuliko nyumba ambayo mkeo mpendwa uliyemlipia mahari huenda kubwa anaishi?? Ilikuwaje ukamuoa mtu wa hivi? Ni mhemko au?
A see ndoa zimegeuka ndoano kwa wengi Ila ishini humo Hadi mfe tuwazike.
Asanten.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hana hela huyo,angekuwa na hela angeondoka na gari yake,usikute ni marioo analeleea
SanaZama hizi ndoa ni kuviziana
Ungechukua kanamba tupate shemeji sie,Kumbeee had amepoteana mwenye we. Miguu iko kituo cha daladala Ila akili haijui inapoenda
Nenda ka enjoy. Mji flani hivi una watu wake wanajijua wenyewe.Usiache kwenda the picnic ukajioneeThijawah
ni hatari sana aisee!Mwl aliyenifundisha nimepata taarifa Jana kawa kichaa baada ya kugundua watoto wote aliolea na kusomesha shule nzuri nzuri sio wake (alikuwa anajibana wanasoma medium)
Mbaya zaidi mke anazidi kung'aa na watoto wanaelekea chuo
HakikaHakuna kosa kubwa kama kukosea kuoa.
Sana
Ilinivunja moyo sana maana jamaa alikuwa mtu mno tena mstaraabu sanani hatari sana aisee!
usisahau kuleta mrejesho yakikukutaNgoja niache kusoma comments aiseee Kuna malaika namdate mtaanza kunifanya nimchukie
Mi nliwahi pata mnyoosho wa maana saivi Siwezi umizwa tenausisahau kuleta mrejesho yakikukuta
Hv kuna waliopatia kuoa 🤔Hakuna kosa kubwa kama kukosea kuoa.