Hizi ndoa zitakuja kuua watu… dah!

Hizi ndoa zitakuja kuua watu… dah!

We shauri yako
Mwenzako amejikuta kwenye kituo cha daladala hajui anaenda wwpii.
We kaka najua kwa ulivyo lazima Jamii forum hukosi me ndo Yule nlokuwa nimebeba bag la mgongoni nimeshika na bahasha za chips paleee ma..... Ko...... E
Duuh aisee, ni mie pale makondeko aisee.
 
Huwa namuonea huruma sana mtu anayeingia kwenye ndoa, nikienda kwenye sherehe ya harusi nawaangalia wanavyo cheza wanavyo furahi na kushangilia na kushangiliwa na kupongezwa ila nawaonea huruma mno.
Haha acha waoane bwana
Hata wakiumia wameamua kufia huko huko
 
We shauri yako
Mwenzako amejikuta kwenye kituo cha daladala hajui anaenda wwpii.
We kaka najua kwa ulivyo lazima Jamii forum hukosi me ndo Yule nlokuwa nimebeba bag la mgongoni nimeshika na bahasha za chips paleee ma..... Ko...... E
Kumbe ni wewe mchuchu..chukua bodaboda njoo Eat your money lounge, nagonga moya moya🍺
 
Yani nimetamani kumuona tatizo maji ya kunde tu

Dawa ya mwanamke ni mwanamke
Hahahaa halafu nyinyi wanawake mnaoneana wivu hakunaga mahali stori za wanawake zinanoga kama wakisikia mwenzao kaachika tena itokee mwamba ana kibunda

Kisaikolojia huyu mleta uzi anatamani sana yule mke wa jamaa waachanne amini ninachosema
 
Ndoa kama ndoa haina tatizo lolote. Tatizo lipo kwa wanandoa.

Iko hivi;

Niifananishe ndoa na gari. Gari inahitaji dereva mmoja tu kwa wakati mmoja. Hawezi kuta gari inaendeshwa na madereva 2 kwa wakati mmoja.

Haiwezekani dereva mmoja akanyage brake halafu mwingine akanyage accelerator na hiyo gari itembee. Lazima kutayokea mkwamo wa safari.

Ndoa inapaswa kuwa na dereva mmoja na msaidizi mmoja na abiria. Dereva akishika usukani aachwe aendeshe gari bila kusumbuliwa na msaidizi.

Msaidizi akae kwenye nafasi yake ya usaidizi na dereva akae kwenye nafasi yake ya udereva, kila mmoja atimize majukumu na aheshimu mipaka yake.

Dereva ni Mume, msaidizi ni Mke na abiria ni watoto (kama wapo). Yeyote atakayeifuata hii kanuni atafurahia maisha yake ya ndoa.
 
Back
Top Bottom