Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
yaani unanichanganya sana, nikinywa pepsi inanikaba shigo 😀Wewe tena ulivyo fisi maji😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaani unanichanganya sana, nikinywa pepsi inanikaba shigo 😀Wewe tena ulivyo fisi maji😅😅
Kasome Mithali kwanzaNiko hapa kituo flan cha daladala
Basi pembeni yangu Amekaa mkaka nadhifu sanaaa anaonekana mwenye sura ya HeLa na hata hapo kituoni sijui hata anafanya nini.... Ila anaonekana mwenye stress Sana hadi anaongea kama mtu anayekaribia kutoa machozi.
Kaka huyu mrefu maji ya kunde nzuri, mwenye sura na maongezi ya upolee yuko busy anaongea na simu....
Anaonekana anaongea na mshkaj wake anamuelezea Mambo ya familia yake.... Yaani anasema hapo alipo hajui hata anaenda wapii Ila hawezi Kurudi nyumbani kwa Yule mwanamke maana anaweza kumpasua akamuua akapata kesii. Bora akae kituo cha daladala.
Badae nkamsikia anasema ".....basi ngoja nichukue daladala nikufwate Nije huko Mara Mia ....". Akadandia daladala huyooooo akatokomea na gari ya bunju.
Sasa jamani mnaishi na Simba ndani kwamba Bora ukae kituo cha daladala kuliko nyumba ambayo mkeo mpendwa uliyemlipia mahari huenda kubwa anaishi?? Ilikuwaje ukamuoa mtu wa hivi? Ni mhemko au?
A see ndoa zimegeuka ndoano kwa wengi Ila ishini humo Hadi mfe tuwazike.
Asanten.
Ndoa kama ndoa haina tatizo lolote.
Kwalweli alivuta hisia zangu nkawa nawaza hivi mwwnamke anaanzaje mkumstress mwanaume aina ile? Ili ujue nilimfwatilia Sana Najua had rangi ya sendo alizovaaKamtamani sana mume wa mtu sio kwa misifa ile aliyompa, jamaa angemtongoza angepewa mbususu
Adui ya mwanamke ni mwanamke
Binafsi yangu mimi nitaoa.Kama una akili timamu huwezi oa
Chini uliloa? Au utampigia nyeto?Kwalweli alivuta hisia zangu nkawa nawaza hivi mwwnamke anaanzaje mkumstress mwanaume aina ile? Ili ujue nilimfwatilia Sana Najua had rangi ya sendo alizovaa
Kadet OG aliyovaa shati had sura naikumbuka japo kulikuwa na kagizaa
Hasa kwa ndugu zangu wa ndoa mojaHakuna kosa kubwa kama kukosea kuoa.
Asishangae akaliwa na kuachwa yeye, si mnajijua mambo yenu, muonekano wa hela hela nao umechangia lakini kumchanganya cacutee kukimbilia stendi na kumpigia rafiki yake ni wazi hana mchepukoHahahaa halafu nyinyi wanawake mnaoneana wivu hakunaga mahali stori za wanawake zinanoga kama wakisikia mwenzao kaachika tena itokee mwamba ana kibunda
Kisaikolojia huyu mleta uzi anatamani sana yule mke wa jamaa waachanne amini ninachosema
Ikukabe labda utatuliza huo mshipayaani unanichanganya sana, nikinywa pepsi inanikaba shigo 😀
Wanawake wana roho za kipekeeIlinivunja moyo sana maana jamaa alikuwa mtu mno tena mstaraabu sana
Nipo hapa najipanga, angalu unitafutie kitoto cha uzeeniIkukabe labda utatuliza huo mshipa
Itakua una umri mdogo,hujaona mengi,kouma haina shukurani,no kama tumbo tu,haijalishi limeshiba kiasi gani,litataka kula soon,na litafurahi zaidi likila chakula tofautiUkipiga mashine vizuri viungo vyote vya mwili vinachoka, bibie anakuwa mpole; wengi huwa tunazembea sana tunapokuwa kwenye 18, na hii ndio inayoleta kudharauliwa.
Ulivyo kitombile mie nitakukata mbupu na mtoto asitokeeNipo hapa najipanga, angalu unitafutie kitoto cha uzeeni
Basi demu wangu atakuwa kashanipigia sana nyeto yuko Dom analia niende kumpa raha za duniaSio rahisi hivyo, sie mpk tukupigie nyeto basi ni mazoea ya muda mrefu au tumewahi kufanyana nk
Kale q u m a wewe unafeli sasa, tatizo la nyeto huwezi kuthibitisha km kakupigia wewe kweli au anakupangaBasi demu wangu atakuwa kashanipigia sana nyeto yuko Dom analia niende kumpa raha za dunia
Cc Equation x nikienda Dom si itakuwa nineonyesha udhaifu sana mwanawane?