Hizi ndoa zitakuja kuua watu… dah!

Hizi ndoa zitakuja kuua watu… dah!

Asishangae akaliwa na kuachwa yeye, si mnajijua mambo yenu, muonekano wa hela hela nao umechangia lakini kumchanganya cacutee kukimbilia stendi na kumpigia rafiki yake ni wazi hana mchepuko

Kwenye hili nimejifunza kuwa mwanaume ukimchanganya ndani mpk kukimbia jua umemsukuma mwenyewe kwenye mikono ya mwanamke mwingine, kuna mtu aliwahi kunambia hiki kitu, nadhani nimepata uhakiki sasa
Umeona eeh na Sisi tutampokea kwa mikono miwili af uje utume wajeda 5 watusulubishe bila maji. Kumbe kosa ni lako.
Unamstress mtu had akose direction
 
Kaka huyu mrefu maji ya kunde nzuri, mwenye sura na maongezi ya upolee yuko busy anaongea na simu....
Anaonekana anaongea na mshkaj wake anamuelezea Mambo ya familia yake.... Yaani anasema hapo alipo hajui hata anaenda wapii Ila hawezi Kurudi nyumbani kwa Yule mwanamke maana anaweza kumpasua akamuua akapata kesii. Bora akae kituo cha daladala.
Badae nkamsikia anasema ".....basi ngoja nichukue daladala nikufwate Nije huko Mara Mia ....". Akadandia daladala huyooooo akatokomea na gari ya bunju.
Hahahahahha basi tunaendelea kumfanyia counselling, ni kweli kabisa na ameondoka tangu jana, Yule Binti ni mpumbavu Sana ila kachezea ngumi za kutosha, hatakaa amsahau Dogo. Wacha niishie hapa
 
Back
Top Bottom