Hizi ni baadhi ya fursa za ajira upande wa Soka ukiachana na uwezo wa kucheza mpira

Sasa lubumbashi wana sports center hiyo ina michezo yote hadi kuogelea na walimu wapo....halmashauri zina kula tu hela wkt wange promote michezo ingetoa sana ajira kwa vijana na fursa ndogo na kubwa
 
Yes huu ni mkakati kabisa wa wakubwa wanajua ktk michezo kuna familia nyingi sana za kimaskini wakiwezesha michezo family za kimaskini zitapata fursa

Ni km vile hawawezi lazimisha copyright ktk Muziki ili vijana sanaa iwalipe kwa asilimia 100 ,wanajua huo ujinga na umasikini wa vijana na family zao ndio mtaji wao
 
Sasa lubumbashi wana sports center hiyo ina michezo yote hadi kuogelea na walimu wapo....halmashauri zina kula tu hela wkt wange promote michezo ingetoa sana ajira kwa vijana na fursa ndogo na kubwa
Brother mdudu anaitwa halmashauri kwenye hii nchi ameiua kwa muda mrefu sana
Asante kwa wakurugenzi makada kitu pekee wanajua ni kutangaza matokeo ya uchaguzi
 
Brother mdudu anaitwa halmashauri kwenye hii nchi ameiua kwa muda mrefu sana
Asante kwa wakurugenzi makada kitu pekee wanajua ni kutangaza matokeo ya uchaguzi
Hahahahaha na hayo matokeo yenyewe sio ya kweli kivile ..

Halmashauri za Tanzania , kujenga vituo vya bus shida, kujenga masoko shida

Leo kila Halmashauri inagawa viwanja lkn husikiii wametenga sports center kwa ajiri ya vijana ila utasikia wakisifia Tanzania tuna vipaji..
 
Kimsingi hakuna hata mpango wanao mkurugenzi akitangaza matokeo akampa tale tale ushindi yani anaandika kwenye diary yake kama Moja ya mafanikio hakuna stand hakuna soko hakuna sports center basi tufanye ni ngumu sport center agiza basi Kila shule ya msingi na Sekondari iwe na uwanja wa basketball na netball kwenye eneo lako ambayo ni 20 ml in total tena kwa international standard how!?
 
Dah kweli kabisa ..tena court ya basketball inaeza ingiliana na court ya netball na hata volleyball..yaani court moja inabeba michezo mitatu
 
Ina maana maafisa michezo huko halmashauri huwa wana kazi gani haswa ?
Dah hapa nakosa Cha kuandika labda kuhudhuria washa na tamasha mbalimbali na jogging clubs
Anyway ni kama tulivyosema mwanzo neno "michezo"kwa nchi yetu ni sawa na kusema "huna Cha kufanya umeamua kupoteza muda"
Kwa hiyo serikali inaona hiyo hela ni kheri iliwe kuliko kupelekwa kwenye michezo
 
Safi sana Mkuu! Moja kati ya andiko bora sana! Fupi ila limejaa madini sana!
Cha kuongezea hapo tu! Tunaweza kutengeneza kazi au fursa ambayo itajumuisha michezo na utalii! Tunatumia sehemu ya utalii na mpira ili kuongeza uelewa zaidi!
Safi sana Mkuu
 
Na mimi ndio maana nanikwambia ingawa industry ya football ina faida kubwa sana hata zaidi ya monetary na kuna shughuli nyingi za pembeni zinafaidika kutokana na hizo pesa ila wafanyakazi / wanaofanyia kazi hivyo vilabu, wachezaji wengi ambao sio top names wanachopata ni kidogo sana na cha kinyonyaji katika kila Mbappe mmoja kuna kina John Doe wa kutosha ambao maisha yao yanategemea hisani ya wadau.....

Sisemi kwamba kama nchi tusi-invest kwenye vitu kama hivi la hasha tufanye hivyo sababu faida yake ni kubwa zaidi ya pesa za moja kwa moja..., ndio maana hata timu kama Real Madrid na mapesa mengi inayoingia ni Halmashauri yao ndio mara kwa mara inawasaidia wasiende under.....; Unaweza ukawa na kiwanja tu ambacho kukimanage kwa mwezi ni milioni kadhaa sasa kama unaingia watu robo kwenye uwanja unaweza kuona hizo ni money down the drain... Angalia hio article na hapo siongelei timu za mitaani bali creme de la creme la football clubs

 
Natafuta vijana wenzangu 100 kazi yetu itakua timu yoyote inatukodisha na kutuvalisha jezi kisha tunaingia uwanjani kazi yetu ni kushabikia full vibe mwanzo mpaka mwisho.
Training yetu itakua ya kujifunza namna ya kushangilia na kutoa sauti kubwa
wewe unakuwa kapteni wa mashabiki unapanda juu ya viti unaongoza ushangiliaji kama yule jamaa wa Al hilal mnaweza kupiga hela sana mtakuwa mnakodiwa na timu zenye mashabiki wachache,siku ya mechi mnaambiana mje mmevaa jezi za rangi ya timu husika ili kupunguza gharama za uendeshaji wa kampuni.
 
Mbona inakua serious sasa😅
 
Video analysts inakuaje
Ni kama wachambuzi wao hufatilia mechi na kuangalia ubora wa team pinzani au udhaifu kabla wakati na baada ya mechi,hii husaidia team kuja na mpango mzuri wa mechi hiyo au mechi ijayo
Nadhani huwa unaona hasa mechi kubwa za Ulaya watu Wa ka ipad pembeni wakati mechi inaendelea ndio hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…