mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 938
- 1,540
- Thread starter
-
- #121
Hahaha inabidi atembee akaone maajabu huko nyanda za juu kusini magharibi na nyanda za juu kaskazini mashariki, kwanza atambue maana ya neno nyanda za juu Kisha mumueleweshe kwanini wapaite nyanda za juu na so nyanda za chini kama dasilamuJamaa yangu alikuwa hajawahi kupita Goba road. Siku katoka na Washkaji wakapita njia hii pale kwenye kilima Cha Mount Kibo Primary mpaka Kayuni gari yake Nissan March ilikosa nguvu akapanda kibishi.
Sasa akawa anasimulia amekutana na kilima Kikali Sana Dar, watu wakawa wanamcheka Sana wanamwambia kapanda Kitonga ya Dar na yeye ni Mwanadarisalama hajawahi kwenda Mkoa maisha yake yote.
Ile barabara Mombo to Soni inahitaji umakini wa hali ya juu kabisa as if unafanya operation ya moyo. A slightly mistake, you are gone.Mi nashangaa watu wanafananisha eti na mburu kusiko hata na maporomoko,
Burdani anapitaga na mpaka 90kmph usiku, Madereva Wageni wengine wakifika Mombo wanaomba Mwenyeji awasaidie kupandisha, No chance for mistakes juu kuna jabali, chini kuna falls kati hapatoshi.
Cha kushangaza Sijawahi sikia ajali njia ilee.
Zile kona hazionekani vizuri na siyo kali sana kama unatoka Lushoto ila ukiwa unaenda Lushoto mtihaniI have been there aiseeee, mwanzo wakati naenda nilipewa lift kwenye gari ya serikali ilikuwa usiku sikuona tabu sana japo nilikaaa mbele, wakati narudi nilipanda Burdan Bus aiseee unaweza kuomba kushuka na jamaa wanalala nazo tu wala hawajali[emoji23][emoji23][emoji23] naisi ni moja kati ya barabara hatarishi Tanzania inaweza kuwa ya kwanza au ya pili, maana ile road ni nyembambaa mno, uwezi kufananisha na kitonga, maana kitonga cha mtoto
Wakati naenda huko nilikaa dirishani kuna fala moja likasema hapo gari ikidumbukia hakuna wakupona sikulijibu chochote [emoji23]I have been there aiseeee, mwanzo wakati naenda nilipewa lift kwenye gari ya serikali ilikuwa usiku sikuona tabu sana japo nilikaaa mbele, wakati narudi nilipanda Burdan Bus aiseee unaweza kuomba kushuka na jamaa wanalala nazo tu wala hawajali[emoji23][emoji23][emoji23] naisi ni moja kati ya barabara hatarishi Tanzania inaweza kuwa ya kwanza au ya pili, maana ile road ni nyembambaa mno, uwezi kufananisha na kitonga, maana kitonga cha mtoto
Kwakweli Hakuna kona kali na nyingi kama zile za kutoka chimala(mbeya) kwenda matamba makete,sijapata ona.HAKUNA KONA MBAYA HAPA NCHINi KAMA ZA CHIMALA TO MATAMBA
Hahahah kona zile kama gari haina brake za uhakika umeenda na majiUKIWA UNATOKA MAMSERA KAMA UNAKUJA ROMBO TARAKEA KUNA KONA HATARI SANA JAPO NI SALAMA.
MÊmENtO HoMO
Ukipanda New Force ya yule mchina mshenzi mvuta fegi lazma ushike roho mkononi🤓🤓🤓Duh aki sitaki kupita njia hiyo nimeskia ni kona mno, ile kitonga tu mimi naskia kulia huko sijui itakuaje, kuna siku tunatoka Mbeya kufika kitonga pale naona watu wanalia wameumia kuuliza ni ajali na gari imedumbukia kule chini ingawa si kule bondeni sanaa na hao watu wametolewa huko na kuletwa huku juu kwa ajili ya kuwaishwa hospital duh😪😪nilitetemeka maana dereva wetu alikua anaenda speed na hizo kona hajali.
Mimi nilishangaa kidogo sema nikachukulia poa ila sio poa aisee...Hahahah kona zile kama gari haina brake za uhakika umeenda na maji
Mlima Nyoka🐍Habari jamvi?, kwa wale wazurulaji nchini
Ukizunguka nchini utakutana na sehemu maarufu , kimandhari na kimuonekano.
Leo naongelea sehemu za barabara nchini ambazo Zina Kona Kali na sehemu ya milima, nataja chache nyingine ongeza
1. Kona za Iyovu - ukitoka tu mikumi kuelekea iringa utaziona Kona hizi, ni Tamu Sana
2. Kona za kitonga - hizi zinapatikana kutoka Moro kwenda iringa.
3. Kona za Kolo- hizi zinapatikana kutoka kondoa kuelekea babati
4.kona za Nyang'olo - hizi zinapatikana unapokaribia kufika iringa kutokea dodoma
5. Kona za Lukumbulu songea huko
6. Kona za msambiazi, korogwe kuelekea mombo
7. Kona za Mombo kuelekea Soni - Lushoto
8.Kona za Mbeya kwenda Chunya
9. Kona za Ugara - Babati kwenda Mbulu - hapa kitonga chamtoto Cha ngedele
Ni Kona hatari lakini Tamu Sana, na mabasi huwa wanalala na Kona hizi kwa speed ya 120 yaani shaa.
Ongeza Kona Kali nyingine
Hahahahahah na brake hutakiwi kuzishikilia mwanzo mwisho maana zinapata moto laana 🤣🤣🤣 hio ni wakati wa kushukaMimi nilishangaa kidogo sema nikachukulia poa ila sio poa aisee...
Kabla sijapita njia ile nilikuwa nadhani kona za nyang'olo ndio nyingi na zinashtua,aisee nchi hii Kuna kona zinatisha kupindukia,njia chimala-matamba ukipita hutamani kupita tena na kama una gari halieleweki utaishia makorongoni.Zile ni shida kona75 za kutisha ,mpaka Gari la juu utosi wa kichwa unaliona
Katikati ya mlima kuna sehemu panaitwa mwadangala ,hapo kuna kona kama sita hivi zipo karibu karibu na bonge la bonde kushoto na kulia kwako ,mlima una nyuzi 75. Gari likiachia huko chini watu hawakufati chini wanafanya ibada juu kama kwenye meli ya titanicKabla sijapita njia ile nilikuwa nadhani kona za nyang'olo ndio nyingi na zinashtua,aisee nchi hii Kuna kona zinatisha kupindukia,njia chimala-matamba ukipita hutamani kupita tena na kama una gari halieleweki utaishia makorongoni.
Mimi ilikuwa najiwahia siti ya dirishani nachapa zangu usingizi,hata sijali yaani [emoji23]Aisee sijapita hii njia na wala siwish kuipita[emoji3] mambo ya kuminya breki kama mimi ndiye dereva sitaki[emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]Hatari sana na kujishikilia kwenye kiti kwa nguvu huku ukiminya breki[emoji3][emoji3][emoji3] maisha ni matamu haya jamani ijapokua tunalalamika hamna pesa maisha magumu ila when it comes to uhai mmh full mabreki kama dereva[emoji3][emoji119]