mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 938
- 1,540
- Thread starter
- #101
Hiyo sehemu ni hatari mno, ukimaliza Kona unasali na kushukuru MunguNyagoro( Iringa- dodoma ) , ni shida, kile kipande kina kilometers kaa 28 toka unapozianza zile kona hadi unapozimaliza , na inasemekana zile kona zipo kaa 300. Nanikona za bampa to bampa kweli .
Basi kuna jamaa anaitwa ustadhi ( dereva fuso tandam ) huyu mjomba huwa inazila zile kona speed ikisoma 60 km / h kwenye dash board mi hupaki tu nimeshikilia roho yangu .