Hizi ni kona kali na milima, kwa barabara nchini, taja nyingine

Sababu ile ni njia ya pembezoni hivyo magari ni machache tofauti na Kitonga ambayo nikm geti la kuingilia nyanda za juu kusini na nchi jirani

Unaweza toka Mombo hadi Lishoto usipishana na lori
Ni kwelii, fuso ndio zimejaa, na mkikutana lazima mmoja arudi nyuma kutafuta gap ampishe mwenzake, au asimame mwenzake apite taratibu, kwa ufupi hakuna mazingira ya kupishana bila namna hizo mbili.
 
Nasikia hilo jina ni mzee aliishia makorongoni na gari lake katika hizo kona na kona moja ikapewa jina lake kumkumbuka.
 
Daahh
 
Zinafanana na kona za barabara za kutoka Sumbawanga au njia kuu ya Sumbawanga Tunduma kuingia bonde la Ziwa Rukwa.

Kuna barabara 3 za kuingia bondeni zote zina kona kali kama hizo
 
Zinafanana na kona za barabara za kutoka Sumbawanga au njia kuu ya Sumbawanga Tunduma kuingia bonde la Ziwa Rukwa.

Kuna barabara 3 za kuingia bondeni zote zina kona kali kama hizo
Kuelekea Mtowisa usipopita Maji Moto kuna mlima mkali sana na korongo panaitwa KABURI WAZI. Nimepita Kitonga,Nyang'olo hadi huko Chunya ila hiyo down ya Kaburi Wazi hakuna mfano sema sio maarufu kwa kuwa sio main.
 
Kuna barabara ni hatari Ila hazujulikani saana..
1.Kuna Barbara kutoka Hedaru kwenda milimsni Kuna Kijiji kinaitwa Vunta...hiyo unaweza omba poo...Heshima kwa watumishi wa Serikal wanaofanya kazi kule !
2.Hiyo no 9 njia ya kwenda Mbulu ukitojea Babati,au Arusha kuingilia Mbuyuni...ni balaa Basi kubwa sijui Kama linapita!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…