Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,096
[emoji1][emoji1][emoji1]one time nikienda kazini huko nimeongozana na wife tupo kwenye burdan ya jioni , tukafika Mombi usiku.Mombo-Soni-Lushoto,
Mara ya kwanza waweza useme huku sirudi tena.View attachment 1764642
Vunta ni hatari mno, ni moja Kati ya dangerous roads, na hiyo ya Ugara kwenda Mbulu basi haziwezi kupita Kona ni Kali Sana.Kuna barabara ni hatari Ila hazujulikani saana..
1.Kuna Barbara kutoka Hedaru kwenda milimsni Kuna Kijiji kinaitwa Vunta...hiyo unaweza omba poo...Heshima kwa watumishi wa Serikal wanaofanya kazi kule !
2.Hiyo no 9 njia ya kwenda Mbulu ukitojea Babati,au Arusha kuingilia Mbuyuni...ni balaa Basi kubwa sijui Kama linapita!
Magara kwenda Mbulu usha wahi pita ile njia? Hahaaa pira siku moja na hutaomba kurudi na hio njiaMi kona za kitonga aah sijawahi kuzioea kabisa, hasa nikiwa natoka Iringa to Moro (kushuka) huwa nahisi moyo unahama mahali pake huku maini kama yanatoka hivi, aah na madereva sijui ndiyo wamezoea hiyo speed yake sasa[emoji848] huwa nabaki nasali tu na kuminya breki za miguu[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huko mzee ni hatari,
kuna jamaa yangu hio siku tunapeleka msiba ndio mara yetu ya kwanza, basi kakaa mbele kabisa,
Kila gari ikizunguka kona anaona jiwe hili hapa usoni, upande wa kushoto ndio hasubutu kugeuka maana ni bonge ya Korongo.
Akamwambia dereva "Sasa mbona kila saa unasukumizia gari upande wangu?
Baadae dereva akawa anabana chini,
Akaanza kusema tena...
"Dereva angalia tairi hio utatuangusha tufe".
Ilibidi akae kwenye korido sasa,
Tunafika msibani nako baridi ikamzidi akaona watu wamelala asijiingize kati, baadae kuja kushtuka kumbe kalala katikati ya Wamama wawatu, akatolewa mbio akaenda kujificha kwenye migomba, Baadae anatafuta chumba akajichanganya akaingia chumba chenye jeneza,
Alikua kituko cha mwaka.
Mungu wa nini? Umeenda Veta ukatoka ukaenda NIT umeaminiwa ukapewa leseni? Mungu wa nini tena?
Kinyunyiko????Kona za Kazimzumbwi, Kisarawe.
[emoji23]Huu Uzi bila picha Ni chai[emoji116]View attachment 1764582
Kuna kona za mkoa na kona za wilaya 😂😂. Unaongelea zipi?Kona hatari ni kona za kutoka Mbeya kwenda Chunya. Kona nyingine inaitwa Gangi tololi, kutoka Njombe kwenda Ludewa.
Uko sahihi mno .... Nimepita hiyo njia mara kadhaa... Ni hatari sana... Hata Waziri Jaffo akiwa Tamisemi aliipita hiyo njia kwenda kukagua kituo cha afya kule bondeni.... Anasimulia hadi kesho jinsi alivyopata changamoto....Narudia kusisitiza
Mteremko wa kushuka Bondeni Rukwa kutoka Sumbawanga kwenda MUZE ni #1 kwa hatari.
Nimeambatanisha picha ya kutokea angani.
Mteremko gradient yake ni almost 45 degrees, Bus za kawwida ama Fuso za kawaida haziwezi kupita isipokuwa zile fupi fupi. Kuna kona kali almost nyuzi miatatu hamsini hivi.
Bàadhi ya madereva wapo radhi wwzunguke 180km plus kufika Muze kutokea Sumbawanga kuliko kukatisha hapo ambapo ni chini ya km 60.
Kwa madereva walio safiri sehemu mbalimbali Tz na wamepita njia hiyo watakubaliana nami, pia kwa abiria ambao wanaujua mlima huo na wanazijua njia nyingine ikiwemo ile ya Tukuyu, Makete, Lushoto na Manyara watashuhudia kuwa kushuka MUZE ni namba moja.
Ingawaje kwa picha hiyo huwezi kuona vizuri lakini ukipita utajuwa kwa nini nasema ni hatari.
Kitonga, Kigoma, Lukubulu, Gangitoroli kote ni cha mtoto.View attachment 1765386
Hizi zote nimepita isipokuwa Mwanga - Ugweno.kwa kona nilizowahi pita ni nyankoro kona ya dodoma iringa hii kona ukiwa umetoka mtera unaianza na haishi uzuri wa hii kona ina lami afu ni pana barabara pia kuna kingo,
Kona nyingine ni Mwanga kwenda Ugweno kwa mimi izi kona ni funga kazi barabara nyembamba afu kona kama zote,
Kona za kolo kondoa kwenda dodoma aiseee nazo ni shida.
Kona ya kutoka muheza kwenda msitu wa amani nayo ni kali.
Kona za kupandisha mlima kutokea mwanga kilimanjaro unaelelekea kijiji kinaitwa ugweno baba ile naifananisha na death road ilioko Bolivia lakini haina ajali za ovyo oanayesema
kona ya mwanga ugweno haina wapitaji sana lakini ni kona kali kuliko zote yaani ni funga kazi mkuu afu haziishi sasa bora iyo nyankoro, nyankoro inatisha kutokana na zile landscape zake na misitu minene.Hizi zote nimepita isipokuwa Mwanga - Ugweno.
Muheza - Amani Game Reserve ikiwekewa mkeka itakuwa rahisi tu kupita
Ivi hamna njia mkato kupitia Tabora hadi Mbeya ukitokea Mwanza?Kuna siku nilipanda premier line kutoka mwanza kwenda mbeya...nakumbuka zile kona za nyang'oro jamaa alikua anapanda huku gari inapiga alarm kuwa yuko speed zaid ya 80...halafu baada ya kona kuna sehem ina mwinuko ukipita unahisi gari inapaa na kupata ajari
I wish siku moja nipite hiyo kona kuelekea Ugweno nione yaliyomozile hata anayesema nyankoro ni kali hana lolote zile ni kona
kona ya mwanga ugweno haina wapitaji sana lakini ni kona kali kuliko zote yaani ni funga kazi mkuu afu haziishi sasa bora iyo nyankoro, nyankoro inatisha kutokana na zile landscape zake na misitu minene.