Narudia kusisitiza
Mteremko wa kushuka Bondeni Rukwa kutoka Sumbawanga kwenda MUZE ni #1 kwa hatari.
Nimeambatanisha picha ya kutokea angani.
Mteremko gradient yake ni almost 45 degrees, Bus za kawwida ama Fuso za kawaida haziwezi kupita isipokuwa zile fupi fupi. Kuna kona kali almost nyuzi miatatu hamsini hivi.
Bàadhi ya madereva wapo radhi wwzunguke 180km plus kufika Muze kutokea Sumbawanga kuliko kukatisha hapo ambapo ni chini ya km 60.
Kwa madereva walio safiri sehemu mbalimbali Tz na wamepita njia hiyo watakubaliana nami, pia kwa abiria ambao wanaujua mlima huo na wanazijua njia nyingine ikiwemo ile ya Tukuyu, Makete, Lushoto na Manyara watashuhudia kuwa kushuka MUZE ni namba moja.
Ingawaje kwa picha hiyo huwezi kuona vizuri lakini ukipita utajuwa kwa nini nasema ni hatari.
Kitonga, Kigoma, Lukubulu, Gangitoroli kote ni cha mtoto.
View attachment 1765386