Hizi ni nyumba unaweza kujenga kwa gharama nafuu zaidi mwaka 2022

Hizi ni nyumba unaweza kujenga kwa gharama nafuu zaidi mwaka 2022

Salaam

Naombeni msaada kuhusu hizo nguzo za geti.
Naambiwa na kijana wa zege kuwa wakati fundi anajenga hapo hizo nguzo kuwa hawakuchimba msingi mrefu kwenda chini na hana hakika kama waliweka kitako chini.

Bahati mbaya fundi alikimbia kabla ya kazi kukamilika na pia hapatikani kwa simu.
Sasa naombeni msaada wa kitaalamu hapo nifanye nini??
Je nivunje hizo nguzo zisukwe upya ama tufanyie ukarabati ili kuweza kuziimarisha hizo nguzo.

Mimi nipo mbali nashindwa kusimamia kwa ukaribu ujenzi.

Tafadhali naomba maoni yenu ya kitaalamuView attachment 2071159
Mmmmmmhmn sasa huyo fundi mlikubaliana kujenga kitu gani hapo mahala mbona kama mlikuwa mnajenga daraja?!

Geti unaweka simple tu. Nguzo mbili basi. Sasa hiyo rinta juu ilikuwa ya kazi gani tena mwanetu.
 
Alitaka kujua ya Ramani ipi mzee. Au wewe ndio ulitaka kujua.
Nimeelekeza kwenye post/uzi namna ya kupata makisio kwa kutumia ‘builtup area’ na kila ramani nimeweka ‘builtup area’ yake.
Tatizo wabongo tunapenda sana vitu rahisi hatupendi vitu halisi
Habari mkuu, nime jaribu kutafuta hiyo post uliyo elezea namna ya kupata makadirio ya gharama kweli sija iona, nime angalia profile post zako, sija fanikiwa kuona, unaweza ukaweka link yake hapa, kwa urahisi zaidi
 
Habari mkuu, nime jaribu kutafuta hiyo post uliyo elezea namna ya kupata makadirio ya gharama kweli sija iona, nime angalia profile post zako, sija fanikiwa kuona, unaweza ukaweka link yake hapa, kwa urahisi zaidi
Ni kwenye uzi huu boss. Nimesema kwa makisio (according to CRB) skwea mita moja inagharimu kati ya Tsh. 400,000-mpaka Tsh600,000 (inategemeana na ubora wa finishing).
So ramani yoyote ile ukiwekewa “BuiltUp Area” (Floor area) unazidisha kwa figure hiyo kupata makisio ya gharama zake za ujenzi.
 
Ni kwenye uzi huu boss. Nimesema kwa makisio (according to CRB) skwea mita moja inagharimu kati ya Tsh. 400,000-mpaka Tsh600,000 (inategemeana na ubora wa finishing).
So ramani yoyote ile ukiwekewa “BuiltUp Area” (Floor area) unazidisha kwa figure hiyo kupata makisio ya gharama zake za ujenzi.
Shukurani mkuu, Nime kupata sasa
 
Hii ni ya vyumba vitatu na study/prayer room na ina builtup area ya 119.9aqm
Msingi tofali = 1210 kwa kozi sita
Boma tofali = 2180
Bati = 45
Note: Nyuma kumeachwa wazi ili kuua gharama ya ujenzi wa “concerete gutter”

View attachment 2071129
Hii nyumba ya gharama nafuu kama ulivyo sema kwenye kichwa cha habari? Katika Afrika hii maisha ya watu yalivyo ndo unasema hii ni nyumba yenye nafuu?tofali 3390

Nyumba nafuu Kwa hapa Afrika hususani Tanzania ni nyumba yenye gharama chini ya Milion 20

Hii uliyoweka ni ya watu wa maisha ya kati na waliofanikiwa pia, lakini 80% ya wananchi wana nyumba za Milion 10- 20
 
Hii nyumba ya gharama nafuu kama ulivyo sema kwenye kichwa cha habari? Katika Afrika hii maisha ya watu yalivyo ndo unasema hii ni nyumba yenye nafuu?tofali 3390

Nyumba nafuu Kwa hapa Afrika hususani Tanzania ni nyumba yenye gharama chini ya Milion 20

Hii uliyoweka ni ya watu wa maisha ya kati na waliofanikiwa pia, lakini 80% ya wananchi wana nyumba za Milion 10- 20
Angalia kwanza “contents zake” boss, hapo kuna study room kama extra space, so ukiondoa study room (kama hauihitaji) utapungua.
Na naona Unaangalia tofali tu, vp kuhusu bati!?? Tofali zimekua nyingi coz hiyo ni hidden roof na hapo kwenye bati na mbao kwa hiyo itakua nafuu sana (ambayo huwa ni pasua kichwa)
Na hizo nyumba unasema inajengwa kwa 10-2mln ni mpaka hatua ipi??
 
Angalia kwanza “contents zake” boss, hapo kuna study room kama extra space, so ukiondoa study room (kama hauihitaji) utapungua.
Na naona Unaangalia tofali tu, vp kuhusu bati!?? Tofali zimekua nyingi coz hiyo ni hidden roof na hapo kwenye bati na mbao kwa hiyo itakua nafuu sana (ambayo huwa ni pasua kichwa)
Na hizo nyumba unasema inajengwa kwa 10-2mln ni mpaka hatua ipi??
Sijui kama unajua maana ya neno nyumba ya kuishi, kumbuka hata Banda la matulubai likifanyika makazi ya mtu ni nyumba, hizo za Milion 10-20 ni nyumba iliyomalizika na watu wanaishi, lakini maisha ya kiafrika nyumba ulizoweka hapa hata wafanyakazi wengi hawaziwezagi mpaka wameingia loan, ninazo na ninajua sana ujenzi wa nyumba nafuu na nyumba ya pesa ndefu Kwa waafrika

Isipokua mimi sikuja kukupinga maana ni kama unatangaza biashara ila nimekurekebisha tu maana nayajua maisha ya waTanzania na nyumba wanazo ziweza
 
Sijui kama unajua maana ya neno nyumba ya kuishi, kumbuka hata Banda la matulubai likifanyika makazi ya mtu ni nyumba, hizo za Milion 10-20 ni nyumba iliyomalizika na watu wanaishi, lakini maisha ya kiafrika nyumba ulizoweka hapa hata wafanyakazi wengi hawaziwezagi mpaka wameingia loan, ninazo na ninajua sana ujenzi wa nyumba nafuu na nyumba ya pesa ndefu Kwa waafrika

Isipokua mimi sikuja kukupinga maana ni kama unatangaza biashara ila nimekurekebisha tu maana nayajua maisha ya waTanzania na nyumba wanazo ziweza
Nimeuliza mpaka hatua ipi nikimaanisha imejengwa boma tu ikaezekwa na kuwekwa grill then watu wanahamia au ni mpaka finishing yote (gypsum, aluminium windows, umeme, maji, tiles n.k) maana finishing inakula pesa. Ukienda uswazi nyumba nyingi zimejengwa kwa hiyo 10-20mln na watu wanaishi lakini hazijafanyiwa full finishing.
So nasisitiza kwa herufi kubwa wewe KAMA UNAMIFANO LETE HAPA, mimi nimeleta hoja na nimeelezea vizuri, yes nafanya hiyo kazi lakini wala sihitaji huruma ya namna yoyote ile.
So mkuu feel free kabisa kuelezea hoja yako hata kama una mifano ya picha nk wewe lete tu
 
Habari wakuu, nimejaribu kuja na baadhi ya options za ramani za nyumba unazoweza kujenga kwa gharama nafuu.

Kwanza tulewe kuwa Gharama ya ujenzi wa nyumba haitegemei sana idadi ya vyumba kama baadhi ya watu wanavyochukulia, bali hutegemea zaidi ukubwa (builtup area) na muundo wa jengo husika.

Hivyo basi ili kupunguza gharama za ujenzi inatakiwa hasa kupunguza ukubwa wa jengo ikiwemo kupunguza maeneo yasiyo na ulazima (dead space) kwenye jengo kwa kadri inavyowezekana. Dead space ni kama ‘balcony, korido, foyer etc.’

Hapa chini nitaleta baadhi ya ramani zilizo sanifiwa kwa kuzingatia unafuu wa gharama za ujenzi na kama uthitaji mchanganuo kamili wa material ya kujenga boma mpaka kuezeka ramani husika unaweza kutucheki kwa 0717682856

View attachment 2071122
mm ni Quantity Surveyor ( mkadiliaji majenzi) kwa anayeitaji uduma ya kuandaliwa Boq ya kuonesha garama za ujenzi wa nyumba yake au kwa kuombea mkopo pia kuandaliwa materials ambayo yataonesha nyumba yake inatumia material gan na kias gan na garama kiasi gani pia ata ukitaka kujengewa kwa bei nafuu kabisa bila kusahau kuchorewa raman nzuri na bora nicheki watsap 0753757303 /0677400169/0658400165
 
Back
Top Bottom