johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Halafu 2025 Chadema watamwomba huyo huyo Makamba jr agombee urais!Acha Uongo wewe mlamba miguu, ni lini wanamsakama, si CCM wenyewe kwa wenyewe kina mpina na msukuma
shame on you
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu 2025 Chadema watamwomba huyo huyo Makamba jr agombee urais!Acha Uongo wewe mlamba miguu, ni lini wanamsakama, si CCM wenyewe kwa wenyewe kina mpina na msukuma
shame on you
Haja majizi yanajuana vizuri, haijalishi yanavaa ushungi, kanzu au suti. Kwa sasa focus yao kubwa ni 2025 wambakishe hangaya madarakani. Siku zinakuja.Something is not right, s'thing is quite wrong mazee..
Wakuu siongezi kitu, tumsikilize mwamba hapa..!!!
View attachment 2183141
Chadema mnamsakama sana Makamba jr!
Sukuma Gang huyu.Kwanza huyu huu uhuru kautoa wapi wakumnanga jamaa :etu Makamba.?
Mtoto pendwa, mguse unuke!
Chadema mnafanya siasa za " reja reja" za kupambania watu badala ya maswala!Bado mnaendeleza ujinga wenu wa enzi ya Magufuli; pale mnapoambiwa ukweli mnakimbilia kusema mnaandamwa!! Kwanini hamjibu hoja kwa hoja kumtetea huyo Makamba kama anaonewa? Wanaoumia na utendaji hafifu wa January ni wananchi wa vyama vyote kwanini mnakimbilia kulaumuChadema wakati wanaoumia wamo wana ccm wanaolalamika pia?
BULESISukuma Gang huyu.
Tupe uthibitisho! Kesi ilifunguliwa kituo gani na matokeo yalikuwaje?Mnaweza kupuuzia maneno ya huyu bwana lakini you will be doing it at your own peril!! Huy January ana history ya kutokuwa muaminifu; kama mnakumbuka mara ya kwanza alipokuwa anaomba ubunge dada lake Mwanvita alikuwa na bwana Mzungu. January alimuandikia barua shemeji yake amtafutie mkopo wa fedha kama dollar million moja zimsaidie kwenye Uchaguzi na ANGEZILIPA BAADA YA YEYE KUTEULIWA KUWA WAZIRI WA MADINI BAADA YA UCHAGUZI!!
HAYA SIO MAJUNGU JAMANI HATUMSINGIZII JANUARY, COPY YA ILE BARUA IMO MWENYE ARCHIVES ZA JF; WAHUSIKA WAKITAKA ANAWEZA KUIWEKA HAPA kwani ilibandikwa hapa wakati huo.
Sasa huyu ameongea nini ya kumtia Makamba hatiani?
Si bora mpina alijenga hoja?
Ujinga huu ni wa kufungulia uzi?
Ndo mana mnaambiwa nyie sukuma gang hamnaga akili na mmejaa ushamba, wivu , chuki na roho mbayaSomething is not right, s'thing is quite wrong mazee..
Wakuu siongezi kitu, tumsikilize mwamba hapa..!!!
View attachment 2183141
Nawaonea huruma sana sukuma gang!😂😂Kuna haja ya kufanya ya kupaza sauti iwe kwenye mitandao, barabarani, whatever huyu waziri atoke asee..
Kuna umuhimu wa kuanzisha campaign ya kutokuwa na imani na huyu Makamba.
Sio majungu tu! Uongo na uzandikiMajungu at work
Ndo mana mnaambiwa nyie sukuma gang hamnaga akili na mmejaa ushamba, wivu , chuki na roho mbaya
Eti makamba mwizi! Embu tupe ushahidi Makamba kawai kuiba nini? Alishtakiwa wapi? Alihukumiwa na mahakama ipi?
Tafuta juice ya ndimu tu unywe! Makamba ndo Waziri na hamna lolote la kumfanya na Samia ndo Rais hadi 2030Lolote linawezekana.
Na haya ni matokeo ya kurudisha watu walewale waliikuwa kwenye utawala wa JK. 'Mama' angetengeneza mfumo wake.
Au kwa vile bado hajawa rais, Tusubiri hadi baada ya uchaguzi wa 2025?
Kama lisemwalo lipo tupe ushahidi hapa wa hayo mnayosema juu ya MakambaKwani sisi ni masecretary wake…
Tunawasikiliza wadau wa wizara yake…alah!
Lisemwalo lipo…