Mkungunero
JF-Expert Member
- Aug 13, 2023
- 401
- 569
Hivyo vyote ulivyotaja ni swala la mtambuka au transition tu kama ilivyokuwa vivid ikafutika. Issue ni je sera zimebadilika? Ndo mana tunasemaga nyie huwaga hamna akili na hamtaki kukili hiloMbona kwa Sasa CHADEMA haina mbunge (kwa mujibu wa msimamo wa chama) lakini mafuta yamepanda Bei, umeme wa shida ,tozo, simenti Bei juu , ufisadi juu, Deni la nje juu etc.
Tatizo lenu mnatumia nguvu nyingi kwa CHADEMA, wakati kuendesha serikali kunawashinda. Mnawaza kuwaibia CHADEMA kura huku kuendesha serikali hamuwezi.
Hii nchi muda mwingi tunawaza sana uchaguzi si ccm wala upinzani yani siasa siasa zimetawala, Magufuli alikuwa na hoja nzuri alipozuia mikutano ya hadhara ya kisiasa ila bahati mbaya hakuweza kusimamia hilo na kwa upande wake na chama chake ccm.Wewe unadhani Operesheni +255 Katiba Mpya siyo Kampeni za 2024 na 2025?
Kampeni zilishaanza kitambo jimbo la Kawe kwa mfano Askofu Gwajima kaanza kitambo tu sasa Tuko kwenye Gwajima Cup
Mabeberu unawajua?. Kati ya CHADEMA na serikali ya CCM nani anategemea mabeberu?. Juzi Mwigulu kawapigia magoti world Bank akihitaji wampe dollar.Mikutano ya chadema inaendeshwa na mabeberu ndo mana Lisu ameenda kutoa feedback
Rais gani wa Tanzania ambaye alikuwa tofauti na hivyo alivyo Samia? Huyo mtangulizi wake nae aliitwa hadi Rais wa wanyonge.Rais Samia Ndio chaguo la watanzania kuendelea kuwaongoza mpaka 2030,Ndio maana Anaendelea kupokea na kupata mapokezi makubwa kutoka kwa wananchi kila mahali anapopita na kutua .wananchi wana shauku kubwa sana ya kumuona .Ndio maana unaona watu wakikanyagana wazee kwa vijana,akina mama kwa watoto kila mmoja anataka kumuona Rais samia na kumsikiliza.Hii yote ni kutokana na uchapa kazi wake uliyogusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti ambao kwa sasa sauti zao zinasikika kupitia Rais wao. Ambaye amekuwa mtetezi wao.
Unaelewa maana transition?. Yani tangu aingie madarakani havishuki Bei Bali vinapanda. Transition inge make sense Kama Bei aliyoikuta ingebaki pale pale au kuongezeka kidogo.Hivyo vyote ulivyotaja ni swala la mtambuka au transition tu kama ilivyokuwa vivid ikafutika. Issue ni je sera zimebadilika? Ndo mana tunasemaga nyie huwaga hamna akili na hamtaki kukili hilo
Kama wanapanda kwa hiari yao basi si tatizo maana wamepewa usafiri bure, maana mtu hauwezi kupanda gari huku unajua linakwenda usipopataka kwenda.Bahati mbaya sana leo huko Tandahimba kuna raia watatu wamefariki walipakiwa kwenye lori ili kwenda kuongeza idadi na wengine takribani kumi wamejeruhiwa na sasa wamelazwa hospitali.
RIP waliofariki na ugua pole majeruhi wote!
CCM wacheni kubeba watu kwenye malori mtaangamiza wengi!
Naona unahamisha magoli. Mimi naongelea ziara za serikali kuwa mikutano ya siasa. Wanajaza wanachama wa CCM na mwenyekiti wa CCM mkoa anakaa mbele.kwahiyo unataka Rais asizingumze hadharini na kusifiwa na watu waliomchagua? wanaona anachofanya Rais wao..
kama hupendezwi nae na actually yawezekana hupendezwi nae na unaghadhabu nae sana, sasa si ukae nyumbani utulie gubu liendelee kukutafuna ndani kwa ndani.
Rais ni Rais tu awe kanisani, msikitini, kwenye mikutano ya hadhara au kampeni ya chama chake,upinzani kwenye msiba, sherehe yeyote ile yule ni Rais tu.
Na atasifiwa sana tu.
Kwan Mbowe au Lisu hawasifiwi? Kuna watu wasifia hadi watukana juu ya hawa viongozi.
sasa eti ukae mahali halafu uanze kujiuliza eti huyu anafanya ziara au kampeni, sijui anasifiwa sana,
Hiyo inabaki kua nadharia na tafisiri yako binafsi isiyoathiri sheria wala taratibu za nchi.
Na sio mbaya, ni vizuri kua hivyo, mwisho wa siku unaweza kuibua wazo linaloweza kusaidia kuondoa hali unayokumbana nayo na pengine inawakumba na wengine wengi tu.
Vijijini watu wanalazimishwa na ye yote atakayekataa atatishiwa kutopewa huduma zo zote za serikali ya kijiji.Kama wanapanda kwa hiari yao basi si tatizo maana wamepewa usafiri bure, maana mtu hauwezi kupanda gari huku unajua linakwenda usipopataka kwenda.
Ni lini aliomba ridhaa ya kuwa Rais?. Tuache upotoshaji. Cha msingi ushauri Rais afanye mikutano ya CCM kivyake na ziara za serikali ziwe purely serikali sio kujinadi na kuomba kura.sio kweli ila uko sahihi kulingana na upeo na matazamo wako na hiyo ni haki yako.
anachofanya Rais samia ni kuwaeleza wananchi waliamchagua mambo waliyoahidi ambayo tayari yamefanyika yanachofanyika hivi sasa, na yanayokusudiwa kufafanyika tuendako.
haiwezekani alipoenda kuomba ridhaa na kura alivaa nguo za ccm na mabango ya ccm eti sasa anapoenda kuwapa mrejesho avae shuka, ndicho unachotaka right?
akawalazimishe wa vyama vingine pia waje kwenye mikutano yake ya hadhara? si ni mikutano ya hadhara na ni hiaria ya mtu yeyote kuhudhuria ama la asihudhurieNaona unahamisha magoli. Mimi naongelea ziara za serikali kuwa mikutano ya siasa. Wanajaza wanachama wa CCM na mwenyekiti wa CCM mkoa anakaa mbele.
Umeelewa nachosema?. Umesoma sababu nilizotoa?. Mikutano ya CCM itofautishwe na ziara ya serikali. Umewahi kuona ziara ya Waziri mkuu anapoenda sehemu?. Ile ndio ziara Sasa.Shida yako ipo wap. ? Nini hasa tatizo kwa sabab miradi hio inasimamiwa na serikal.inapozinduliwa ni lazima atajwe aliyehusika na kuitekeleza sasa ulitaka atajwe nani? B
Wewe wasema.Jiandae kisaikolojia usije ukafs kwa presha samia ni hadi 2030
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
ni lini na wapi alijitokeza mtu akapinga kuwa huyu hakuchaguliwa?Ni lini aliomba ridhaa ya kuwa Rais?. Tuache upotoshaji. Cha msingi ushauri Rais afanye mikutano ya CCM kivyake na ziara za serikali ziwe purely serikali sio kujinadi na kuomba kura.
Asante kwa kukiri kuwa ile ni mikutano ya hadhara ya CCM na sio ziara za serikali. Akajifinze kwa Waziri Mkuu jinsi anavyofanya ziara za serikali hakuna uchama Bali uwajibishwaji.akawalazimishe wa vyama vingine pia waje kwenye mikutano yake ya hadhara? si ni mikutano ya hadhara na ni hiaria ya mtu yeyote kuhudhuria ama la asihudhurie
kweli unahitaji maombi ya kiloAsante kwa kukiri kuwa ile ni mikutano ya hadhara ya CCM na sio ziara za serikali. Akajifinze kwa Waziri Mkuu jinsi anavyofanya ziara za serikali hakuna uchama Bali uwajibishwaji.
Sema ukweli kuwa amekuwa Rais kwa sababu ya ubovu wa katiba yetu. Hakuna aliyemchagua, Bali amekuwa Rais by default. Huo ndio ukweli.ni lini na wapi alijitokeza mtu akapinga kuwa huyu hakuchaguliwa?
huyu mama hakua naibu wa raisi ispokua alikua makamu wa rais maana yake asipokuepo rais kwa sababu yeyote ile basi yeye ndie anakua Rais.
na ndio sababu amekua RAISI bila tashwishwi yeyote ispokua kwa wachache ikiwa ni pamoja na econonist ambao mioyo yao ni migumu na kwakweli wanaumia na hakuna cha kuwafanya zaid ya kuwaombea uponyaji