Hizi ni ziara za Rais au ni kampeni za uchaguzi?

Hizi ni ziara za Rais au ni kampeni za uchaguzi?

Shida yako ipo wap. ? Nini hasa tatizo kwa sabab miradi hio inasimamiwa na serikal.inapozinduliwa ni lazima atajwe aliyehusika na kuitekeleza sasa ulitaka atajwe nani? B
 

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwan yule jamaa aliepeleka report ng'ambo kwa wafadhili wake alikua anafanya nin huko mwanza na ngorongoro hadi anagalagala barabarani?
na alikua amevaa suti, kanzu au?
na wafuasi wake waliohudhuria ile mikutano walikua wamevaa bendera na sare za mashuka au za Chama?
Yule ni kiongozi wa Chama cha Siasa tu na si Rais wa Nchi.Hapa kinachohojiwa ni ZIARA ZA RAIS WA JMT,je ni ziara za kichama za kampeni au ni za kiserikali akiwa katika cheo chake cha Urais? Jikite hapo kumjibu mtoa mada.
 
Nadhani hizo zilikuwa salamu kwa Wananchi wa Mtwara waliorudisha kadi za CCM!
Kuwa hata iweje 2025 lazima CCM ishinde uchaguzi.
 
Yule ni kiongozi wa Chama cha Siasa tu na si Rais wa Nchi.Hapa kinachohojiwa ni ZIARA ZA RAIS WA JMT,je ni ziara za kichama za kampeni au ni za kiserikali akiwa katika cheo chake cha Urais? Jikite hapo kumjibu mtoa mada.
alipoenda kuomba kura alikua na sura gani, na anapopeleka mrejesho kwa wapiga kura wake unataka awe namna upendavyo wewe right? actualy raisi yupo sahihi kabisa, ni gubu tu za mtoa hoja na wasiopenda raisi kupendwa na wapiga kura wake.
 
Nimefuatilia hicho kinachoitwa ziara za rais huko mkoani mtwara. Kuanzia Jana mkutano wa Mtwara mjini na Leo Tandahimba. Nilichogundua, hizi sio ziara za kazi Bali ni kampeni za uchaguzi.

Sababu zangu ni zifuatazo:
1. Sababu ya kwanza, Kila anayesimama anampigia debe Rais kana kwamba ni mkutano wa kampeni. Mara Rais kaleta maji , umeme, kajenga barabara, mara royal tour nk. Kama Leo kwenye mkutano wa Tandahimba Kuna kiongozi mmoja kadai kuwa Rais Samiah ndio Rais wa kwanza tangu uhuru kuleta maendeleo Mkoa wa Mtwara. Nadhani haya yalitakiwa yasemwe 2025 wakati wa kampeni. Kuelezea Yale mafanikio ya Rais na kwanini achaguliwe Tena.

2. Jambo la pili, Wasemaji kugusia uchaguzi wa 2025. Nimeshangaa Viongozi waliopewa nafasi kudai 2025 kwenye uchaguzi mkuu Dr Samiah Hana mpinzani. Kwa mfano kwenye mkutano wa Leo hapo Tandahimba mbunge kadai, ya kwamba uchaguzi wa 2025 watamshindilia kura nyingi za urais Mh Samiah.

3. Jambo la tatu, Mikutano kujaa sare za CCM. Nadhani sio sahihi kufanya mkutano wa ziara ya Rais kuonekana katika mrengo wa kichama. Yani walioenda pale ni wanachama wa mapinduzi na hivyo kuujenga picha ya mkutano wa CCM. Kwa mfano alipoongea yule mbunge Tunza Malapa, wengi walidhani ni CCM, wakawa wanampigia makofi, ila alipomaliza kuongea na yule MC kumtaja Kama mbunge wa vitu maalum CHADEMA, umati karibia wote ulipigwa na butwaa maana hawakutegemea mbunge wa chama kingine awe pale. Kisaikilojia walijua ni mkutano wa CCM pekee yao.

4. Jambo la nne, wasanii wanaotumbuiza wote ni Kama wanamuimba Mh Samiah. Yani kila msanii akiimba lazima apayuke Samiah oyeeh!. Hii inaleta picha ya kampeni na kumjenga Mh Samiah kuliko kuwa ziara ya kazi.

5. Jambo la mwisho, mabango, t-shirt nk Zina picha ya Samiah na maneno ya kuashiria kampeni. Hii siyo sahihi kabisa.

Kwa ushauri hizi ziara ziwe za kikazi, Rais aondokane na haya makampeni. Afike kwa wananchi aulize shida zao na Kama wahusika wapo wajibu tuhuma zao.
Mmeanza kulia lia. Hata nyie chadema mmezunguka nchi nzima mnapiga kamprni za kukitoa chama pendwa madarakani. Ngoja ccm isawazishe mashimo mana mlijiona kwamba mnapendwa kumbe watu walikuwa wanakuja kushangaa tu msukule Lisu
 
Mkuu 'econonist', kidogo mimi ninakushangaa wewe, pamoja na kuwasilisha mada liyojitosheleza kabisa; kwamba wewe ndio kwanza unaiona hali hii ya Samia kuwa kwenye Kampeni.
Huyu Kampeni zake zilianza mara tu aliposhika kiti cha urais, na hata siku moja hajafanya tofauti na kujiuza achaguliwe kuendelea kwenye nafasi hiyo.
Alipoingia, wewe hukuona alivyokimbilia harakaharaka kujiuza kwa wasanii? Hukuona matukio aliyofanya ili awaweke wasanii wamuuze katika kazi zao?

Wewe unadhani hayo mabango yaliyotapakaa mijini ya "Nani kama mama" yapo huko kufanya kazi gani?

Wakati akijaribu kuwanunua CHADEMA, unadhani aliwapenda sana hao jamaa, huoni sasa anavyowanyanyapaa baada ya kuona kuwa mtego wake haukuwanasa?

Nikubaliane na wewe, hizi tabia za kiongozi kufanya kampeni za kisiasa, na kuacha kuhudumu kwa kufuata ratiba za mipango ya kazi ni kuharibu kazi za wananchi.

Hao washangiliaji, wabunge, mawaziri na viongozi wengine wote wateuliwa wa huyu mtu mmoja, kazi zao wote wanazielekeza katika kumpigia kampeni mtu huyo huyo, ili na wao waendelee kujaza matumbo yao, na siyo kuleta maendeleo kwa wananchi.

Lugha zinakuwa ni za huyu mtu mmoja, kaleta hiki na kile, kajenga shule, kaleta barabara, kaleta maji; mwishowe tutaanza kuambiwa hata kwenda chooni tutakuwa tunamtegemea mtu huyu huyu mmoja.

Na kwa baadhi ya watu wetu wajinga ndani ya nchi hii wanauamini upuuzi wote huu!

Hovyo Kabisa.
Nakubaliana na wewe kabisa mkuu.
 
Cha kusikitisha zaidi, hawa waliofariki na waliojeruhiwa,huenda hata sababu iliyokuwa ikiwapeleka huko hawawezi kuieleza kwa ufasaha. Huenda wameahidiwa kutakuwepo na mlo (wali) kwenye hadhara hiyo, au wameahidiwa vijisenti kadhaa ambavyo wangepewa baada ya kuhudhuria hapo!

Inasikitisha sana.
Inasikitisha Sana mkuu. Watu wanabebwa kwa ahadi ya pesa au chakula.
 
Kama hawana shida
Nimefuatilia hicho kinachoitwa ziara za rais huko mkoani mtwara. Kuanzia Jana mkutano wa Mtwara mjini na Leo Tandahimba. Nilichogundua, hizi sio ziara za kazi Bali ni kampeni za uchaguzi.

Sababu zangu ni zifuatazo:
1. Sababu ya kwanza, Kila anayesimama anampigia debe Rais kana kwamba ni mkutano wa kampeni. Mara Rais kaleta maji , umeme, kajenga barabara, mara royal tour nk. Kama Leo kwenye mkutano wa Tandahimba Kuna kiongozi mmoja kadai kuwa Rais Samiah ndio Rais wa kwanza tangu uhuru kuleta maendeleo Mkoa wa Mtwara. Nadhani haya yalitakiwa yasemwe 2025 wakati wa kampeni. Kuelezea Yale mafanikio ya Rais na kwanini achaguliwe Tena.

2. Jambo la pili, Wasemaji kugusia uchaguzi wa 2025. Nimeshangaa Viongozi waliopewa nafasi kudai 2025 kwenye uchaguzi mkuu Dr Samiah Hana mpinzani. Kwa mfano kwenye mkutano wa Leo hapo Tandahimba mbunge kadai, ya kwamba uchaguzi wa 2025 watamshindilia kura nyingi za urais Mh Samiah.

3. Jambo la tatu, Mikutano kujaa sare za CCM. Nadhani sio sahihi kufanya mkutano wa ziara ya Rais kuonekana katika mrengo wa kichama. Yani walioenda pale ni wanachama wa mapinduzi na hivyo kuujenga picha ya mkutano wa CCM. Kwa mfano alipoongea yule mbunge Tunza Malapa, wengi walidhani ni CCM, wakawa wanampigia makofi, ila alipomaliza kuongea na yule MC kumtaja Kama mbunge wa vitu maalum CHADEMA, umati karibia wote ulipigwa na butwaa maana hawakutegemea mbunge wa chama kingine awe pale. Kisaikilojia walijua ni mkutano wa CCM pekee yao.

4. Jambo la nne, wasanii wanaotumbuiza wote ni Kama wanamuimba Mh Samiah. Yani kila msanii akiimba lazima apayuke Samiah oyeeh!. Hii inaleta picha ya kampeni na kumjenga Mh Samiah kuliko kuwa ziara ya kazi.

5. Jambo la mwisho, mabango, t-shirt nk Zina picha ya Samiah na maneno ya kuashiria kampeni. Hii siyo sahihi kabisa.

Kwa ushauri hizi ziara ziwe za kikazi, Rais aondokane na haya makampeni. Afike kwa wananchi aulize shida zao na Kama wahusika wapo wajibu tuhuma zao.
Ametat
Hii kwa Tanzania yetu si ngeni mkuu labda kama we ni mgeni nchi hii... Ni Ushubwada tu ndio umejaa hakuna kingine

Na despite ya kuwepo kwa vivid Gap la kiutendaji ajitokeze wananchi yeyote ahoji mambo ya Rushwa, Uwajibikaji mbaya wa watumishi, Dpw nk Uone atakavyoandamwa hutaamini

Hii nchi ni kama tu ina laana vile maana si bure yani😂
Sikia dogo. Maendeleo yoyote lazima kuwe na rushwa. Ukiona sehemu hakuna rushwa ujue hakuna maendeleo. Kimbia hapo mana hakuna Cha kuiba
 
Na lazima atapigwa chini, wala asijisumbue
Chadema ikipata mbunge hata mmoja uchaguzi ujao mniite mbwa achilia mbali kura za urais ambazo probably itakuwa asilimia zero. Kinachowaangamiza ni kushadadia matukio bila hoja ya Msingi. Wananchi tumeielewa dp world na malengo mazuri ya rais. Tumewapuuza TEC na mambo Yao yote
 
Nimefuatilia hicho kinachoitwa ziara za rais huko mkoani mtwara. Kuanzia Jana mkutano wa Mtwara mjini na Leo Tandahimba. Nilichogundua, hizi sio ziara za kazi Bali ni kampeni za uchaguzi.

Sababu zangu ni zifuatazo:
1. Sababu ya kwanza, Kila anayesimama anampigia debe Rais kana kwamba ni mkutano wa kampeni. Mara Rais kaleta maji , umeme, kajenga barabara, mara royal tour nk. Kama Leo kwenye mkutano wa Tandahimba Kuna kiongozi mmoja kadai kuwa Rais Samiah ndio Rais wa kwanza tangu uhuru kuleta maendeleo Mkoa wa Mtwara. Nadhani haya yalitakiwa yasemwe 2025 wakati wa kampeni. Kuelezea Yale mafanikio ya Rais na kwanini achaguliwe Tena.

2. Jambo la pili, Wasemaji kugusia uchaguzi wa 2025. Nimeshangaa Viongozi waliopewa nafasi kudai 2025 kwenye uchaguzi mkuu Dr Samiah Hana mpinzani. Kwa mfano kwenye mkutano wa Leo hapo Tandahimba mbunge kadai, ya kwamba uchaguzi wa 2025 watamshindilia kura nyingi za urais Mh Samiah.

3. Jambo la tatu, Mikutano kujaa sare za CCM. Nadhani sio sahihi kufanya mkutano wa ziara ya Rais kuonekana katika mrengo wa kichama. Yani walioenda pale ni wanachama wa mapinduzi na hivyo kuujenga picha ya mkutano wa CCM. Kwa mfano alipoongea yule mbunge Tunza Malapa, wengi walidhani ni CCM, wakawa wanampigia makofi, ila alipomaliza kuongea na yule MC kumtaja Kama mbunge wa vitu maalum CHADEMA, umati karibia wote ulipigwa na butwaa maana hawakutegemea mbunge wa chama kingine awe pale. Kisaikilojia walijua ni mkutano wa CCM pekee yao.

4. Jambo la nne, wasanii wanaotumbuiza wote ni Kama wanamuimba Mh Samiah. Yani kila msanii akiimba lazima apayuke Samiah oyeeh!. Hii inaleta picha ya kampeni na kumjenga Mh Samiah kuliko kuwa ziara ya kazi.

5. Jambo la mwisho, mabango, t-shirt nk Zina picha ya Samiah na maneno ya kuashiria kampeni. Hii siyo sahihi kabisa.

Kwa ushauri hizi ziara ziwe za kikazi, Rais aondokane na haya makampeni. Afike kwa wananchi aulize shida zao na Kama wahusika wapo wajibu tuhuma zao.
Hakuna raisi apo
 
alipoenda kuomba kura alikua na sura gani, na anapopeleka mrejesho kwa wapiga kura wake unataka awe namna upendavyo wewe right? actualy raisi yupo sahihi kabisa, ni gubu tu za mtoa hoja na wasiopenda raisi kupendwa na wapiga kura wake.
Kwani amewahi kuomba kuchaguliwa kuwa Rais?. Ni lini hiyo?. Kwa kifupi Rais atenganishe mikutano ya CCM na mikutano au ziara ya kiserikali.
 
Nimefuatilia hicho kinachoitwa ziara za rais huko mkoani mtwara. Kuanzia Jana mkutano wa Mtwara mjini na Leo Tandahimba. Nilichogundua, hizi sio ziara za kazi Bali ni kampeni za uchaguzi.

Sababu zangu ni zifuatazo:
1. Sababu ya kwanza, Kila anayesimama anampigia debe Rais kana kwamba ni mkutano wa kampeni. Mara Rais kaleta maji , umeme, kajenga barabara, mara royal tour nk. Kama Leo kwenye mkutano wa Tandahimba Kuna kiongozi mmoja kadai kuwa Rais Samiah ndio Rais wa kwanza tangu uhuru kuleta maendeleo Mkoa wa Mtwara. Nadhani haya yalitakiwa yasemwe 2025 wakati wa kampeni. Kuelezea Yale mafanikio ya Rais na kwanini achaguliwe Tena.

2. Jambo la pili, Wasemaji kugusia uchaguzi wa 2025. Nimeshangaa Viongozi waliopewa nafasi kudai 2025 kwenye uchaguzi mkuu Dr Samiah Hana mpinzani. Kwa mfano kwenye mkutano wa Leo hapo Tandahimba mbunge kadai, ya kwamba uchaguzi wa 2025 watamshindilia kura nyingi za urais Mh Samiah.

3. Jambo la tatu, Mikutano kujaa sare za CCM. Nadhani sio sahihi kufanya mkutano wa ziara ya Rais kuonekana katika mrengo wa kichama. Yani walioenda pale ni wanachama wa mapinduzi na hivyo kuujenga picha ya mkutano wa CCM. Kwa mfano alipoongea yule mbunge Tunza Malapa, wengi walidhani ni CCM, wakawa wanampigia makofi, ila alipomaliza kuongea na yule MC kumtaja Kama mbunge wa vitu maalum CHADEMA, umati karibia wote ulipigwa na butwaa maana hawakutegemea mbunge wa chama kingine awe pale. Kisaikilojia walijua ni mkutano wa CCM pekee yao.

4. Jambo la nne, wasanii wanaotumbuiza wote ni Kama wanamuimba Mh Samiah. Yani kila msanii akiimba lazima apayuke Samiah oyeeh!. Hii inaleta picha ya kampeni na kumjenga Mh Samiah kuliko kuwa ziara ya kazi.

5. Jambo la mwisho, mabango, t-shirt nk Zina picha ya Samiah na maneno ya kuashiria kampeni. Hii siyo sahihi kabisa.

Kwa ushauri hizi ziara ziwe za kikazi, Rais aondokane na haya makampeni. Afike kwa wananchi aulize shida zao na Kama wahusika wapo wajibu tuhuma zao.
Mshaanza kugwayagwaya mapema. Ulitaka Rais asikaguwe kazi anazozitolea mabilioni?
 
Kwani amewahi kuomba kuchaguliwa kuwa Rais?. Ni lini hiyo?. Kwa kifupi Rais atenganishe mikutano ya CCM na mikutano au ziara ya kiserikali.
hilo litabaki moyoni mwako.
uendelee kubaki nalo na kutembea nalo kama gubu au uliachie upate relief maisha yasonge...
 
Mmeanza kulia lia. Hata nyie chadema mmezunguka nchi nzima mnapiga kamprni za kukitoa chama pendwa madarakani. Ngoja ccm isawazishe mashimo mana mlijiona kwamba mnapendwa kumbe watu walikuwa wanakuja kushangaa tu msukule Lisu
Mkuu hujanielewa. Sijakataa kuwa CHADEMA wamezunguka nchi nzima walifanya mikutano au kampeni sio shida, maana CHADEMA hawana serikali. Lakini ni muhimu Rais atofautishe ziara ya serikali na mkutano wa CCM.

Hoja yangu ni kwamba ziara za serikali zinaendeshwa na Kodi ya wananchi na mikutano ya CCM inaendeshwa kwa michango ya wananchama. Sasa unapotumia ziara ya serikali kufanya mikutano ya CCM , hautendi haki.
 
Mkuu hujanielewa. Sijakataa kuwa CHADEMA wamezunguka nchi nzima walifanya mikutano au kampeni sio shida, maana CHADEMA hawana serikali. Lakini ni muhimu Rais atofautishe ziara ya serikali na mkutano wa CCM.

Hoja yangu ni kwamba ziara za serikali zinaendeshwa na Kodi ya wananchi na mikutano ya CCM inaendeshwa kwa michango ya wananchama. Sasa unapotumia ziara ya serikali kufanya mikutano ya CCM , hautendi haki.
Mikutano ya chadema inaendeshwa na mabeberu ndo mana Lisu ameenda kutoa feedback
 
Chadema ikipata mbunge hata mmoja uchaguzi ujao mniite mbwa achilia mbali kura za urais ambazo probably itakuwa asilimia zero. Kinachowaangamiza ni kushadadia matukio bila hoja ya Msingi. Wananchi tumeielewa dp world na malengo mazuri ya rais. Tumewapuuza TEC na mambo Yao yote
Mbona kwa Sasa CHADEMA haina mbunge (kwa mujibu wa msimamo wa chama) lakini mafuta yamepanda Bei, umeme wa shida ,tozo, simenti Bei juu , ufisadi juu, Deni la nje juu etc.

Tatizo lenu mnatumia nguvu nyingi kwa CHADEMA, wakati kuendesha serikali kunawashinda. Mnawaza kuwaibia CHADEMA kura huku kuendesha serikali hamuwezi.
 
Back
Top Bottom